Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1712236326096.png
 
Kikosi cha pamoja kati ya Chelsea na Manchester United kwenye Uwanja wa Stanford Bridge tarehe 4 Aprili 2024. Ndiyo, nimeweka kwa maoni yangu kutokana na wachezaji wanaopatikana kwa mchezo wa leo. Wacha tuone jinsi wachezaji hawa wanavyopambana uwanjani!
1712237901245.png
 
Mnapenda tuwakaange goal ngapi leo nyie chelkenge maana saizi nyie ni moja ya vibonde wetu hapo England.
Screenshot_20220408-123115.jpg
 
Chelsea vs man utd ..

Hii game zamani ilikuwa na attention kubwa Sana ,ila siku hizi Ni kama burnely anacheza na southmptom ...

Hakuna lengo lolote la kuangalia hii game ,...

Sio title contenders

Sio top 4 contenders

Kiufupi Hakuna maana yeyote ya kuangalia hii game
 
Mauricio Pochettino ameweka msisitizo mkubwa na hata shinikizo kwa wachezaji kucheza na kushinda usiku huu.

Pochettino alitoa hotuba kwenye uwanja wa mazoezi - amechoshwa na mawazo ya wachezaji kuwa wako salama. testi ya akili usiku wa leo kwa wachezaji kujibu mashabulizi kwa kushinda

Maoni yangu
Tulikuwa tunamlaumu kocha tangu mwanzo kwa kutokuwa na demand kubwa kutoka kwa wachezaji

Sasa naona ameanza, akiendelea hivi, Chelsea itakuwa inashinda mechi nyingi za kutosha kuwepo kwenye michuano ya Ulaya

Nasikia pia kuwa mazoezi tangu Juzi yamelenga kwenye kujilinda na msisitizo kwenye kukimbia wakati wanamiliki mpira na wakati hawamiliki mpira

Again Tatizo la wachezaji wa Chelsea hasa kubwa niu wakati hawana mpira, tunatengeneza nafasi nyingi na nzuri sana ila wakipoteza tu mpira wanmaganda kama minazi ya pwani au milingoti ya kujengea na kuacha timu pinzani zikifanya kaunta na kutufunga
Hii mentality ya Pochettino ikiendelea hivi atakuwa sasa anajifahamu na mashabiki wengi tutaacha kumuandama
Tusubiri tuone bounce back ya leo
1712252037462.png
 
Chelsea VS Man United
Stadium: Stanford Bridge
Date 4 April 2024
East African Time: 22:15GMT
LIne up

Pochettinoi ni so sturbon, unaanzaje combo ya Disasi na Badiashile wakati inatoboka sana
Halafu hataki kupumzisha wachezaji, Enzo kipekee alitakiwa angepumzika ili amtumie Casadei

------------- Jackson--------------

Mudryk -----Gallagher-------Palmer

------Enzo -----------Caicedo------

Cucurella -- Badiashile --Disasi --Gusto

--------------Petrovic--------------

SUBS
  1. Bettinelli
  2. Chalobah
  3. Gilchrist
  4. Thiago Silva
  5. Casadei
  6. Chukwuemeka
  7. Tauriainen
  8. Madueke
  9. Sterling
 
Utakuta leo tunapogiwa mpira mwingi na hawa nyumbu,
Yani tutawafanya waonekane prime barce

17 min.Chel 1-0 Man u
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom