juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
james katika kuongeza mkataba msim uliopita tu.Panga la FFP inaweza ikalazimisha hilo, kama sio msimu huu, msim u ujao tusipokaa sawa tutapigwa hadi points 15 ambazo zinaweza kutuweka pabaya kwenye ligi
View attachment 2949820
Na huyu Duncan Castle sio source ya kuiamini katika habar zetu.
na hizi habar zote zinakuja kwa sababu tumefanya vibaya.
Wapo wakina lukaku,sterling,kepa,cucurela 50/50 hawa wote huenda wakaondoka
Lukaku saudi wanamnyemelea

