Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Siwez mlaum petrovic japo pale alifanya kosa ila Jins tunavyocheza 2nd half na how we defend hapo ndipo maswali yanapokuja

Jay rodriguez ametukosa mwishon akahit cross bar

Jins tunavyojilinda hapo ndipo maswal yanapokuja
Hatuna mabeki wenye uwezo wa kukuwin mipira ya juu, timu nzima pia sio nzuri kwenye kuwin duels
 
Hamna kitu hapa , ni nilishasema .Hatufiki popote na huyu tutusa Poch na watoto wake ,
Tunahitaji a no nonsense coach
Ule ujinga wa " lads gave everything unaendelea "
 
Mauricio Pochettino

“Wanatakiwa watambue kuwa tunakosa kitu ndiyo maana tupo hapa tulipo, leo ni wazi kwamba tunapokuwa hatuna mpira hatuchezi vizuri na hatukuwa na uwezo wa kupora a kurudisha mpira kwenye umiliki wetu na kuwaruhusu kuvuka kwa urahisi kutoka eneo moja hadi lingine."

Maoni yangu
Hayo ni majukumu ya kocha mkuu lakini sasa Pochettino analia kama shabiki wa Chelsea
 
Palmer kawanyima wenzake nafasi ya kufunga mara nyingi, pamoja na kuwa niu mchezaji mzuri lakini Kocha anatakiwa amshinikize ajue umuhimu wa kuwachezesha wenzake yeye kama winga
 
Kuna shabiki anamtetea Pochettino kaandika hivi
Chelsea ilitengeneza nafasi 7 kubwa dhidi ya Burnley leo na wakakosa 5.
Sote tumnyooshee kidole meneja badala ya kuangalia tatizo halisi

Maoni yangu
Huwezi kumtenga Pochettino kutoka kwa makosa hayo ya wachezaji, matokeo duni, uchezaji duni na chochote kitakachotokea.

Hatayarishi timu kama kocha, Kwamba vijana wanacheza kamawahuni wa mtaani au maplay boys. Hakuna mfumo wa uchezaji, hakuna ukatili, hakuna mentality, hakuna mkakati wa kushinda mechi, hakuna mbinu, timu inacheza shaghalabaghala tu.
 
Baca vs Las Palmas, Joao Felix akitokea bench anapga bonge moja la Assist, Poch Nene anamkataa mchezaji km huyu, nilianzaga kutilia mashaka uwezo wake wa ukocha tokea hapo.
 
Confirmed
Chelsea wanapanga kuwauza Reece James na Conor Gallagher msimu huu wa majira ya joto
Klabu inataka kuingiza zaidi ya pauni milioni 100 katika mapato ya ziada ili kuepuka kukiuka Kanuni za Faida na Uendelevu za Ligi Kuu (FFP).
  1. Conor Gallagher = £50
  2. Reece James = £60
Pia hawa watauzwa
  1. Ian Maatsen
  2. Trevoh Chalobah
  3. Lewis Hall
  4. Armando Broja
  5. Romelo Lukaku
  6. Hakim Ziyech
  7. Kepa
  8. Sterling
 
Vimo havichezi sema timu haina muunganiko tu
Vimo vinasehemu yake ndugu kwenye mpira. Usajili haukujali hilo, wachezaji watakaofuata wawe na vimo hasa CB na Striker
Nimemuoa leo Enzo akijitahidi kumpiga Dara O'Shea kwa matako
Enzo urefu wake 1.78m wakati Dara ni 1.85m kwa mfano tu
 
Confirmed
Chelsea wanapanga kuwauza Reece James na Conor Gallagher msimu huu wa majira ya joto
Klabu inataka kuingiza zaidi ya pauni milioni 100 katika mapato ya ziada ili kuepuka kukiuka Kanuni za Faida na Uendelevu za Ligi Kuu (FFP).
  1. Conor Gallagher = £50
  2. Reece James = £60
Pia hawa watauzwa
  1. Ian Maatsen
  2. Trevoh Chalobah
  3. Lewis Hall
  4. Armando Broja
  5. Romelo Lukaku
  6. Hakim Ziyech
  7. Kepa
  8. Sterling
Lembu, Acha masiraha Huyo injury prone Reece James unamuuzia nani £ 50ml ???

£ 50ml hii ni pesa ya kusajili Mchezaji ambaye ni RELIABLE PLAYER.
 
Vimo vinasehemu yake ndugu kwenye mpira. Usajili haukujali hilo, wachezaji watakaofuata wawe na vimo hasa CB na Striker
Nimemuoa leo Enzo akijitahidi kumpiga Dara O'Shea kwa matako
Enzo urefu wake 1.78m wakati Dara ni 1.85m kwa mfano tu
Hiyo tofauti ndogo sana haina athari,kama timu inaleta matokeo mazuri,ukitaka kuamini kwenye hilo Chelsea inafungwa zaidi magoli ya miguu na sio vichwa
 
Ebu soma Behdad Eghbali anavyosema kuhusu mmiliki wa Brighton. Kwa maneno yake anaitamani Brighton ambayo ina soko la kati na timu iliyokaa katikati ya table na kuimarikia hapoo. Nasema anatumia 10% kwenye mishahara na anashinda mechi kadhaa sawa sawa na timu zilizotumia pesa nyingi na huyo Tonny Bloom anatenengeza faida kubwa. Wau!

Tukumbuke kuwa huyo ndie mwenye share kubwa pale Chelsea na pia ndie anayetarajiwa kumrithi Tod Boehly kama Mwenyekiti na Mtendaji mkuu wa Chelsea kuanzia 2027. Tumekwisha

1711862493747.png
 
Confirmed
Chelsea wanapanga kuwauza Reece James na Conor Gallagher msimu huu wa majira ya joto
Klabu inataka kuingiza zaidi ya pauni milioni 100 katika mapato ya ziada ili kuepuka kukiuka Kanuni za Faida na Uendelevu za Ligi Kuu (FFP).
  1. Conor Gallagher = £50
  2. Reece James = £60
Pia hawa watauzwa
  1. Ian Maatsen
  2. Trevoh Chalobah
  3. Lewis Hall
  4. Armando Broja
  5. Romelo Lukaku
  6. Hakim Ziyech
  7. Kepa
  8. Sterling
Puuza hizi habar za Duncan Castles
 
Aston Villa ya Steven Gerald na Aston Villa ya Unai Emery

Chelsea ya Lampard vs Chelsea ya Thomas Tuchel

Leverkusen ya Pre Alonso vs Levarkusen ya Alonso

Ni mifano muhim ya kocha mzuri
 
Puuza hizi habar za Duncan Castles
Panga la FFP inaweza ikalazimisha hilo, kama sio msimu huu, msim u ujao tusipokaa sawa tutapigwa hadi points 15 ambazo zinaweza kutuweka pabaya kwenye ligi
1711868877750.png
 
Kwa nini Casadei alisimamishwa kwa mkopo Leicester City na kuja kugandishiwa kwenye benchi? Nani aliwajibika kwa uamuzi huu wa kipumbavu?
Bodi na kocha mara kwa mara hufanya maamuzi ya kipumbavu ambayo yanapelekea timu kufanya vibaya na kufanya vibaya zaidi.
1711879299123.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom