Kuna shabiki anamtetea Pochettino kaandika hivi
Chelsea ilitengeneza nafasi 7 kubwa dhidi ya Burnley leo na wakakosa 5.
Sote tumnyooshee kidole meneja badala ya kuangalia tatizo halisi
Maoni yangu
Huwezi kumtenga Pochettino kutoka kwa makosa hayo ya wachezaji, matokeo duni, uchezaji duni na chochote kitakachotokea.
Hatayarishi timu kama kocha, Kwamba vijana wanacheza kamawahuni wa mtaani au maplay boys. Hakuna mfumo wa uchezaji, hakuna ukatili, hakuna mentality, hakuna mkakati wa kushinda mechi, hakuna mbinu, timu inacheza shaghalabaghala tu.