Chelsea wanakabiliwa na adhabu ikiwa ni pamoja na kukatwa pointi au kufukuzwa katika Ligi Kuu ya Uingereza iwapo watapatikana na hatia ya kukiuka sheria za matumizi chini ya umiliki wa Abramovich.
@ByRobDavies '
@JacobSteinberg
Chelsea ilishapeleka taarifa ya kutopata taarifa sahihi ya matumizi hasa kwenye mauzo ya Hazard kutoka Lille kuja Chelsea. Hivyo kwa namna fulani hiyo ni kinga ya rungu ambalo tungetandikwa kwa sababu tayari taarifa wanazo.
 
• We don’t need a new ST, we need Nagelsmann
• We don’t need a new LW, we need Nagelsmann
• We don’t need a new CB, we need Nagelsmann
• We don’t need a new GK, we need Nagelsmann

Chelsea NEED Julian Nagelsmann — 𝙉𝙖𝙜𝙚𝙡𝙨 is your 𝙢𝙖𝙣𝙣, @todd_boehly

By
@VdykCFC
Nilisema sana kipindi kile baada ya poch kuondoka

Enrique o Naglesman ilikuwa ni bingo hata baada ya Naglesman kukataa ila Enrique alikuwa yuko tayari

Ila kutokana na wakurugenzi wetu kuwa vichwa panzi kufanya interview utafikiri unataka employ wafanyakaz mwisho wa siku inajikuta unajichanganya na unashindwa nini unataka
 
José Mourinho:

"Siku zote nitakuwa zaidi ya kocha".

"Katika vilabu vingine wewe ni kocha, katika vilabu vingine lazima uwe kocha, mkurugenzi wa ufundi, mkurugenzi wa mawasiliano, mtetezi wa klabu na wachezaji ... nataka kuwa kocha".

"Nilikuwa kocha wa Inter, Real Madrid, Chelsea, Porto.
Katika vilabu vingine, sikuwa kocha".
 
Chelsea wanatafuta mtaalamu mkuu wa kitengo afya cha kusaidia kuthibiti majeruhi ya wachezaji . Mtaalamu huyo mpya pia atasimamia afya za wachezaji wapya wataosajiliwa huku Chelsea ikipania kutimiza hayo msimu huu wa kiangazi.
@kierangill_DM
 
Mkuu nimeisoma hiyo Test ambapo nimegundua ni mazoezi ya kawaida hasa mwanzo wa msimu hayafanyiki kila mara.
Nenda katafute Gacon Test ujue nani anaefanya hayo mazoezi ni kocha wa viungo au ni poch
Hiyo tabia anayo pia Antonio Conte ana kawaida ya kuwafanyisha wachezaji mazoezi maalumu mostly kwenye pre season. Mara nyingi huwa kuwatoa wachezaji kwenye mapumziko na kuwarudisha mchezoni haraka.

Hayo mazoezi ni yakawaida kabisa na wanafanya wachezaji wote
 
Mkuu nimeisoma hiyo Test ambapo nimegundua ni mazoezi ya kawaida hasa mwanzo wa msimu hayafanyiki kila mara.

Hiyo tabia anayo pia Antonio Conte ana kawaida ya kuwafanyisha wachezaji mazoezi maalumu mostly kwenye pre season. Mara nyingi huwa kuwatoa wachezaji kwenye mapumziko na kuwarudisha mchezoni haraka.

Hayo mazoezi ni yakawaida kabisa na wanafanya wachezaji wote
Mkuu haya mazoezi yanafanyika mara kwa mara, na kwa upande wa Pochettino sio rafiki kwa baadhi ya wachezaji na kwa wengine inapelekea kuwa na matatizo ya mara kwa mara ya misuli
Kule Southampton, Spurs na hata PSG alikuwa akifanya na baadhi ya wachezaji hawakuipenda
Na mazoezi sio tu Gaco Test pia kuna other several hard drill excercises
Sisemi haya mazoezi ni mabaya ila mara nyingi kwa wachezaji hasa wale ambao ni injury prone haya mazezi huwapa majeraha ya mara kwa mara. mfano mzuri ni Reece James
Kuna baadhi ya wachezaji wanaamua kukimbia kabisa uwanja wa mazoezi

May be sasa lile suala la Pochettino kuwa na wachezaji wake watakaofit kwenye falsafa yake na aina ya mazoezi yake ni muhimu na kama uongozi hawako tayari kumpa huo uhuru maana yake Poche hatafanikiwa akiwa kocha wa Chelsea.


View: https://www.youtube.com/watch?v=DXoH1wX6SNI
 
Mkuu nimeisoma hiyo Test ambapo nimegundua ni mazoezi ya kawaida hasa mwanzo wa msimu hayafanyiki kila mara.

Hiyo tabia anayo pia Antonio Conte ana kawaida ya kuwafanyisha wachezaji mazoezi maalumu mostly kwenye pre season. Mara nyingi huwa kuwatoa wachezaji kwenye mapumziko na kuwarudisha mchezoni haraka.

Hayo mazoezi ni yakawaida kabisa na wanafanya wachezaji wote
A number of Tottenham players have privately expressed concerns that Mauricio Pochettino's energy-sapping training sessions have contributed to the club's lengthy injury list.
 
Mkuu haya mazoezi yanafanyika mara kwa mara, na kwa upande wa Pochettino sio rafiki kwa baadhi ya wachezaji na kwa wengine inapelekea kuwa na matatizo ya mara kwa mara ya misuli
Kule Southampton, Spurs na hata PSG alikuwa akifanya na baadhi ya wachezaji hawakuipenda
Na mazoezi sio tu Gaco Test pia kuna other several hard drill excercises
Sisemi haya mazoezi ni mabaya ila mara nyingi kwa wachezaji hasa wale ambao ni injury prone haya mazezi huwapa majeraha ya mara kwa mara. mfano mzuri ni Reece James
Kuna baadhi ya wachezaji wanaamua kukimbia kabisa uwanja wa mazoezi

May be sasa lile suala la Pochettino kuwa na wachezaji wake watakaofit kwenye falsafa yake na aina ya mazoezi yake ni muhimu na kama uongozi hawako tayari kumpa huo uhuru maana yake Poche hatafanikiwa akiwa kocha wa Chelsea.


View: https://www.youtube.com/watch?v=DXoH1wX6SNI

Mkuu mbona hata maelezo ya hiyo video ni programme ya wiki mbili mostly ni kati pre season. Hii inaweza kuwa baada ya wachezaji kutoka likizo ndefu au inaweza kuwa baada ya kurudi kutoka likizo fupi katikati ya msimu.
 
Mkuu mbona hata maelezo ya hiyo video ni programme ya wiki mbili mostly ni kati pre season. Hii inaweza kuwa baada ya wachezaji kutoka likizo ndefu au inaweza kuwa baada ya kurudi kutoka likizo fupi katikati ya msimu.
A number of Tottenham players have privately expressed concerns that Mauricio Pochettino's energy-sapping training sessions have contributed to the club's lengthy injury list.
Hiyo video ni ilustration tu, mazoezi yanafanya mara kwa mara, kiingereza wanatumia neno Intermintent, using'ang'ane na pre season. Halafu sio Poche tu anatoa mazoezi magumu, kwa hiyo usimtete sana

Orodha ya makocha wanaoongoza kwa kutoa mazoezi magumu kwa wachezaji
  1. Antonio Conte
  2. Diego Simeone
  3. Marcelo Buelsa
  4. Jurgen Klopp
  5. Erick Ten Hag
Sijui hata Poche atakuwa kwenye rank namba ipi
Ila point kuu hapa, sehemu kubwa ya majeruhi inatokea kwenye mazoezi na Kocha mkuu na wasaidizi wake kwa kushirikiana na watu wa medical wanatakiwa kupewa mwongozo mzuri wa kila mchezaji juu ya mazoezi
Case za hao injury prone wao ni tofauti na hao wengine, wakipewa tu mazoezi kichwa kichwa wataendlea kula mishahara ya bure
 
😁😁😁😁
 

Attachments

  • IMG_2376.jpeg
    IMG_2376.jpeg
    976.9 KB · Views: 2

Attachments

  • IMG_2377.jpeg
    IMG_2377.jpeg
    910.8 KB · Views: 2
  • IMG_2376.jpeg
    IMG_2376.jpeg
    976.9 KB · Views: 1
Romeo Lavia kwa bahati mbaya atakosa sehemu iliyosalia ya kampeni ya msimu wa 2023-24 kufuatia kuumia tena katika mchakato wake wa kupona..

Tathmini za hivi majuzi za kimatibabu zimethibitisha kwamba Lavia, ambaye alipata jeraha kubwa la paja dhidi ya Crystal Palace mnamo Desemba, hataweza kuchezea Chelsea tena hadi msimu huu uishe.
1711556662686.png
 
Sikatai kama tulikuwa tuna injury safari hii ni kama zimezidi sana kuliko hata mwanzoni

Pitia hii link
Hata mimi nimempa link wachezaji wa Spurs wakilalamika kuhusu mazoezi ya Pochettino yanayosababisha majeruhi kuongezeka na sidhani kama ameisoma kwa vile inakinzana na dhana yake kuwa Pochettino hausiki
 
Romeo Lavia kwa bahati mbaya atakosa sehemu iliyosalia ya kampeni ya msimu wa 2023-24 kufuatia kuumia tena katika mchakato wake wa kupona..

Tathmini za hivi majuzi za kimatibabu zimethibitisha kwamba Lavia, ambaye alipata jeraha kubwa la paja dhidi ya Crystal Palace mnamo Desemba, hataweza kuchezea Chelsea tena hadi msimu huu uishe.
View attachment 2946164
Idara ya matibabu ichunguzwe, labda hawamsaidii kocha ktk kupunguza haya majeraha. Hawafanyi kazi yao kitaaluma, kwa nini waruhusu mchezaji kucheza wakati hajapona kwa 100%

In December, Romeo Lavia’s comeback was being accelerated due to technical staff pressing for his return as they needed a midfielder but the rehab of the player was not 100% done. There was some steps that needed to be taken but the technical staff did not listen to medical advice. The player was injured again soon after the match. (@sachatavolieri)

Mnamo Desemba, Romeo Lavia aliharakishwa kurudi kutokana na wafanyakazi wa kiufundi kushinikiza arejeshwe kwani walihitaji CM lakini uponyaji wa mchezaji huyo haukukamilika kwa 100%. Kulikuwa na baadhi ya hatua ambazo zilirukwa lakini wafanyakazi wa kiufundi hawakusikiliza ushauri wa idara ya matibabu. Mchezaji huyo sasa amejeruhiwa tena mara baada ya mechi. (@sachatavolieri)

Tukumbuke kuwa Lavia alikuwa akicheza mara zote akiwa na Soton na hakuwa na historia ya kujeruhiwa marta kwa mara.
Kuna TATIZO KUBWA kwa Kocha (Pochettino) kwenye management ya team ikiwa ni pamoja na benchi lake la ufundi kuruhusu mambo yenye kuadhiri afya ya wachezaji kutokea hivi. Na kwa sababu tuna wamiliki wasio kuwa na uzoefu na mpira wa miguu na pia wenye kujifanya wanajua sana haya yataendelea kutokea hadi Chelsea yetu iteketee kabisa
Nitawashangaa hawa wamarekaani kama tukiendlea kuwa na Pochettino msimu ujao
Sitashangaa pia wachezaji wakianza kulalamika baada ya Pochettino kuondoka
 
Days (games) missed via injury in 23/24 as of today 27 March 2024:

DEFENCE:

Sanchez - 66d (14)
Colwill* - 36d (7)
Badiashile - 187d (26)
Fofana* - FULL SEASON
Cucurella - 77d (18)
Chilwell - 111d (19)
James* - 161d (31)
Disasi - None

MIDFIELD:
Lavia* - FULL SEASON
Caicedo - 8d (2)
Ugochukwu* - 112d (23)
Enzo - 10d (3)
Gallagher - None
Chukwuemeka - 162d (27)

ATTACK:
Nkunku* - 205d (32)
Palmer - None
Sterling - None
Mudryk - 16d (4)
Madueke - 21d (5)
Jackson - None
 
Pochettino: “Roméo Lavia is sad, it’s a really difficult situation. He's only played 30 minutes after joining us”.

“When the club signed him he arrived with problems from Southampton, and then when he was ready he suffered a problem in his feet”.
 
Back
Top Bottom