Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Endrick: “I was attracted by the Premier League, the city of London and the fact that English is the economically dominant language in the world. And obviously, Chelsea is a strong brand that has won two Champions Leagues trophies” (@TheAthleticFC)

Endrick: “Nilivutiwa na Premier League, jiji la London na ukweli kwamba Kiingereza ndiyo lugha inayoongoza kiuchumi duniani. Na ni wazi, Chelsea ia jina lenye nguvu ambayo imeshinda mataji mawili ya Ligi ya Mabingwa” (@TheAthleticFC) #CFC

Maoni yangu
Kipaji cha kipekee cha Enrick hakika itaipaiza Real Madrid kwenye ngazi nyingine ya ubora akiungana na Mbape. Kwa upande mwingine, Kendry Paez, mwanasoka mahiri katika umri mdogo wa miaka 16 tu ataipeleka Chelsea kwenye ukurasa mpya cha mafanikio kutokana na ustadi wake wa ajabu kwenye kiungo na winga. Akishirikiana na akina Palmer, Nkunku, Jackson, Omar, Angelo, Mudryk, Chelsea itatesa sana
Tuombe Mungu tusipitiwe na panga la FFP
1711231760320.png
1711232740886.png

 
Hawa wachezaji watakuwa fit baada ya International Break. Unadhani Chelsea tunaweza toboa hadi no. 7? au 6?
  1. Christopher Nkunku
  2. Romeo Lavia
  3. Levi Colwill
 
Hawa wachezaji watakuwa fit baada ya International Break. Unadhani Chelsea tunaweza toboa hadi no. 7? au 6?
  1. Christopher Nkunku
  2. Romeo Lavia
  3. Levi Colwill
Lavia na Nkunku wasicheze kabisa mpaka walau katikati ya April. Nahofia kama watakua hawajapona vizuri ndani ya mechi 2-3 wanarudi majeruhi tena
 
Tulikua tunawasema Pulisic na RLC ni injury prone chakushangaza hawa wameondoka na management imeleta injury prone pro max hasa Nkunku, Lavia, Fofana. Sasa kina Pulisic na RLC ndio wanawasha moto huko AC Milan na ni wachezaji tegemeo sana huoni wakipata injury huko waliko.

Hatujifunzi hata kidogo
 
Tulikua tunawasema Pulisic na RLC ni injury prone chakushangaza hawa wameondoka na management imeleta injury prone pro max hasa Nkunku, Lavia, Fofana. Sasa kina Pulisic na RLC ndio wanawasha moto huko AC Milan na ni wachezaji tegemeo sana huoni wakipata injury huko waliko.

Hatujifunzi hata kidogo
Kocha anawapa mazoezi yasiyokuwa rafiki na misuli yao japo idara ya afya nayo imeshindwa kazi. Wao ni sehemu ya technical team ya kumshauri kocha juu ya afya za wachezaji lakini naona hawafanyi kazi yao ipasavyo.
 
Chelsea wanawake wanacheza leo saa moja na nusu na Westham
Kenry Paez na Caicedo wanacheza leo saa tano usiku dhidi ya Italy
 
Kocha anawapa mazoezi yasiyokuwa rafiki na misuli yao japo idara ya afya nayo imeshindwa kazi. Wao ni sehemu ya technical team ya kumshauri kocha juu ya afya za wachezaji lakini naona hawafanyi kazi yao ipasavyo.
Ndugu hebu acha hizi habari za uzushi sio vyema bhana.

Hivi ukiona bench la ufundi unahisi kunakua na watu gani? Majukumu yao yanakua hasa ni kwenye nini?
 
Tulikua tunawasema Pulisic na RLC ni injury prone chakushangaza hawa wameondoka na management imeleta injury prone pro max hasa Nkunku, Lavia, Fofana. Sasa kina Pulisic na RLC ndio wanawasha moto huko AC Milan na ni wachezaji tegemeo sana huoni wakipata injury huko waliko.

Hatujifunzi hata kidogo
Chelsea doctors ni department mbovu dunia nzima hata za timu zetu simba na yanga haziwez kuwa hivyo ni wajinga hawafai hata kuigwa
 
Wewe kila kitu ni uzushi kwa sababu uko ndani ya box nene, ni ngumu kuhabarika
Tatizo mnachukulia vitu simple simple sana. Nimecheza mpira mpaka ngazi ya mkoa ambayo ni very local na ni muda kidogo lakini kwa experience yangu mara kadhaa tulikua tunaletewa mtu wa mazoezi ya viungo tukiwa camp kwa maandalizi.

Leo hii unataka kuanza kutujaza Poch huwa anawapangia koni wachezaji kuwapigisha tizi kina Caicedo wale watu wa bench kazi yao ni nini? Poch kazi yake kusimamia mazoezi kwa kushirikiana na watu wake wa viungo pamoja na makocha wengine wa makipa n.k It all about proffessionalism kama isingekua ivyo tusingekua tunaona kundi kubwa la watu kwenye mabench ya makocha.

Mkuu hebu kubali kuufungua ubongo wako. I believe you are smart than this bro
 
Tatizo mnachukulia vitu simple simple sana. Nimecheza mpira mpaka ngazi ya mkoa ambayo ni very local na ni muda kidogo lakini kwa experience yangu mara kadhaa tulikua tunaletewa mtu wa mazoezi ya viungo tukiwa camp kwa maandalizi.

Leo hii unataka kuanza kutujaza Poch huwa anawapangia koni wachezaji kuwapigisha tizi kina Caicedo wale watu wa bench kazi yao ni nini? Poch kazi yake kusimamia mazoezi kwa kushirikiana na watu wake wa viungo pamoja na makocha wengine wa makipa n.k It all about proffessionalism kama isingekua ivyo tusingekua tunaona kundi kubwa la watu kwenye mabench ya makocha.

Mkuu hebu kubali kuufungua ubongo wako. I believe you are smart than this bro
Kwani benchi la ufundi linajifanyia tu mazoezi au chini ya mwongozo wa Poche. Mbona kama mnaendelea kumtenga Poche na majukumu yake. Hakuna kinachofanyika kwenye mazoezi bila head coach, kuanzia ratiba aina ya mazoezi muda wa mazezi, intesity ya mazoezi nk.
 
Tatizo mnachukulia vitu simple simple sana. Nimecheza mpira mpaka ngazi ya mkoa ambayo ni very local na ni muda kidogo lakini kwa experience yangu mara kadhaa tulikua tunaletewa mtu wa mazoezi ya viungo tukiwa camp kwa maandalizi.

Leo hii unataka kuanza kutujaza Poch huwa anawapangia koni wachezaji kuwapigisha tizi kina Caicedo wale watu wa bench kazi yao ni nini? Poch kazi yake kusimamia mazoezi kwa kushirikiana na watu wake wa viungo pamoja na makocha wengine wa makipa n.k It all about proffessionalism kama isingekua ivyo tusingekua tunaona kundi kubwa la watu kwenye mabench ya makocha.

Mkuu hebu kubali kuufungua ubongo wako. I believe you are smart than this bro
Halafu sijui kwa nini ulijibu hivi, hii inaonyesha husomi coments za wenzako yote. Nime-mention hadi idara ya medical ila wewe umechukua tu ile ya kumtetea Pochettino, inaonyesha jinsi ulivyomfia huyu jamaa wenu Poche.
Kocha anawapa mazoezi yasiyokuwa rafiki na misuli yao japo idara ya afya nayo imeshindwa kazi. Wao ni sehemu ya technical team ya kumshauri kocha juu ya afya za wachezaji lakini naona hawafanyi kazi yao ipasavyo.
 
BREAKING: John Terry, Eden Hazard na Cesc Fabregas wameteuliwa kuwania nafasi ya PL Hall of Fame.
1711374133498.png
1711374144549.png
1711374155718.png
 
Halafu sijui kwa nini ulijibu hivi, hii inaonyesha husomi coments za wenzako yote. Nime-mention hadi idara ya medical ila wewe umechukua tu ile ya kumtetea Pochettino, inaonyesha jinsi ulivyomfia huyu jamaa wenu Poche.
Ndugu nimesoma comment yako yote japo nadhani hukunielewa. Mimi nimezungumzia kocha wa viungo nje ya medical team ambao ni madaktari sasa. Huyu kocha wa viungo ndio anashauri mazoezi gani yafanyike kabla ya kuanza mazoezi (warmup exercizes before official exercize) aidha kukimbia, stretching n.k sawa na wakati wa mechi yale mazoezi sio maelekezo ya Poch ni ya huyu kocha wa viungo ndio kazi yake.

Sasa ambacho mimi ninakikataa ni unaposema haya yote ni maelekezo ya Poch na wakati yeye ni msimamizi tu japo haimaanishi hajui mazoezi ya kuwapa wachezaji.
 
Bayern Munich have identified Ian Maatsen as a potential Alphonso Davies replacement should he leave. (
@Plettigoal)

Kuna watu humu wanaamini huyu dogo hamna kitu ila baada ya misim 2 wote tutalia wimbo mmoja kama ule wa kdb,salah bora wakat huo kulikuwa na watu ila safari hii ni roho mbaya ya kushindwa kumpa nafasi huyu dogo
 
Ndugu nimesoma comment yako yote japo nadhani hukunielewa. Mimi nimezungumzia kocha wa viungo nje ya medical team ambao ni madaktari sasa. Huyu kocha wa viungo ndio anashauri mazoezi gani yafanyike kabla ya kuanza mazoezi (warmup exercizes before official exercize) aidha kukimbia, stretching n.k sawa na wakati wa mechi yale mazoezi sio maelekezo ya Poch ni ya huyu kocha wa viungo ndio kazi yake.

Sasa ambacho mimi ninakikataa ni unaposema haya yote ni maelekezo ya Poch na wakati yeye ni msimamizi tu japo haimaanishi hajui mazoezi ya kuwapa wachezaji.


Ukipata mda nenda google kwa english yako mwenyewe utakayoweka Ila hakikisha Gacon test na Pochetino yapo katika sentensi moja ukipata utuletee majibu

FYI. sisemei poch anahusika ila nataka nikupinge unaposema kocha hausiki katika mazoezi.

Kocha anahusika katika kila department, Ndio maana hata Conte kama sijakosea kuna baadhi ya vyakula alikuwa anawakatza wachezaji wake wasile

Na ndio maana kila kocha huwa anabench lake la ufundi analokuja nalo
Kocha hajagi yeye tu kama makocha wabongo kwa wenzetu kocha lazima aje na technical bench lake

 

Attachments

  • IMG_2366.jpeg
    IMG_2366.jpeg
    394.1 KB · Views: 11
  • IMG_2367.jpeg
    IMG_2367.jpeg
    724.1 KB · Views: 13
Ndugu nimesoma comment yako yote japo nadhani hukunielewa. Mimi nimezungumzia kocha wa viungo nje ya medical team ambao ni madaktari sasa. Huyu kocha wa viungo ndio anashauri mazoezi gani yafanyike kabla ya kuanza mazoezi (warmup exercizes before official exercize) aidha kukimbia, stretching n.k sawa na wakati wa mechi yale mazoezi sio maelekezo ya Poch ni ya huyu kocha wa viungo ndio kazi yake.

Sasa ambacho mimi ninakikataa ni unaposema haya yote ni maelekezo ya Poch na wakati yeye ni msimamizi tu japo haimaanishi hajui mazoezi ya kuwapa wachezaji.
Wewe nadhani umefocus kwa wanaorudi kutoka injuries, mimi nilifocus general treatment ya wachezaji hadi wanaingia kwenye injuries. Kocha na Watu wa medical wanatakiwa kufanya kazi kwa pamoaj kuhakikisha wale wazima hawaingii kwenye majeruhi yasiyotakiwa na pia wale wanaorudi wanarudishwa kwenye fitness kwa utaratibu sahihi wa kitabibu. So kocha atahusika na watu wa medical, hakuna wa kukwepa
 
Chelsea wako karibu kupewa adhabu ‘kali’ ya Ligi Kuu ya England.
Tukipokonywa point 15 tunakuwa wapi kwenye table wandugu
Sasa tuna 39
Tukitoa 15 baki 24
Chelsea wanakabiliwa na adhabu ikiwa ni pamoja na kukatwa pointi au kufukuzwa katika Ligi Kuu ya Uingereza iwapo watapatikana na hatia ya kukiuka sheria za matumizi chini ya umiliki wa Abramovich.
@ByRobDavies '
@JacobSteinberg
 
Andrey Santos on first Strasbourg's start [vs Nantes]:
  • 41/45 passes completed (Team record)
  • Ran 12 km (Match record)
  • Won 11/15 of his duels
  • 11 Recoveries (Match record)
  • Fouled 4 times (Match record)
1711399710154.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom