Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kila nikimuona Gusto anavyocheza halaf humu ndani kuna mtu anakwambia Gusto ni takataka na niwakawaida nabaki na choka kabisa

Hapo ndio najua kuna watu huwa hatuangalii mpira Tunaangalia livescore tu
 
Kila nikimuona Gusto anavyocheza halaf humu ndani kuna mtu anakwambia Gusto ni takataka na niwakawaida nabaki na choka kabisa

Hapo ndio najua kuna watu huwa hatuangalii mpira Tunaangalia livescore tu
Msijaribu ku provoke kile tunachohubiri humu. Sina hakika kama kuna mtu alishawahi mpoint Gusto kama mchezaji mbovu. Better be precise brotha
 
Ukweli ni kwamba hatuko vizuri , huwezi kutoboa epl kwa inconsistence kama hii , ushindi wa papatu papatu

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
Brother unatoboaje EPL wakati wamiliki wa timu wanafanya maamuzi ya ovyo ovyo.

Morale na Maamuzi ya Ushindi yanaanzia juu mpaka chini kwa wachezaji.

Roman alikuwa mshindi na maono yake yaliakisi kwenye timu kushinda makombe

Toddy ni mvurugaji na maono yake yana-akisi kwenye timu haieleweki tunakwenda wapi mwaka wa 3 huu.
 
Msijaribu ku provoke kile tunachohubiri humu. Sina hakika kama kuna mtu alishawahi mpoint Gusto kama mchezaji mbovu. Better be precise brotha
Yupo mtu hapa alisema wachezaji wengi ni wa kawaida sana
Nikatoa list aniambie ni wangapi na akina nani hakutoa jibu
Sisi tunasisitiza wachezaji wengi tulionao wapya ni wa viwango vya juu, Poche ndie anajitahidi kuwashusha form zao kwa vile ni clueless coach ninyi mnabisha
 
Chelsea wana uamuzi mkubwa wa kufanya na kwa mujibu wa chanzo kimoja, kuna mashaka juu ya uwezo wa kiufundi wa Conor Gallagher kwa sasa.

Pochettino anataka apewe mkataba mpya lakini watoa uamuzi wanaona Gallagher akiuzwa italeta faida ghafi kubwa na pia kuondokana na uwezo wake mdogo wa kiufundi.

‘Kiwango chake cha kucheza uwanjani hakina shaka, uwezo wake wa kukabili wapinzani na kurudisha mpira nyuma labda ndio nyenzo yake ya thamani zaidi,’ kilisema chanzo kimoja cha habari.

'Lakini daima kumekuwa na shaka juu ya upande wa kiufundi wa mchezo wake.'

Ambaye yuko kwenye vyanzo vingi vya habarim kwa sasa ni kiungo wa Everton Amadou Onana ambaye anaonekana ataziba pengo la Gallagher.

Chelsea tayari wameanza mazungumzo na Everton kumnunua Amadou Onana. The Blues wako tayari kulipa pesa nyingi ili kumpata kiungo huyo.

{Voetbalkrant}
 
Chelsea wana uamuzi mkubwa wa kufanya na kwa mujibu wa chanzo kimoja, kuna mashaka juu ya uwezo wa kiufundi wa Conor Gallagher kwa sasa.

Pochettino anataka apewe mkataba mpya lakini watoa uamuzi wanaona Gallagher akiuzwa italeta faida ghafi kubwa na pia kuondokana na uwezo wake mdogo wa kiufundi.

‘Kiwango chake cha kufanya kazi hakina shaka, uwezo wake wa kuchezea wapinzani na kurudisha mpira nyuma labda ndio nyenzo yake ya thamani zaidi,’ kilisema chanzo kimoja cha habari.

'Lakini daima kumekuwa na shaka juu ya upande wa kiufundi wa mchezo wake.'

Ambaye yuko kwenye vyanzo vingi vya habarim kwa sasa ni kiungo wa Everton Amadou Onana ambaye anaonekana ataziba pengo la Gallagher.

Chelsea tayari wameanza mazungumzo na Everton kumnunua Amadou Onana. The Blues wako tayari kulipa pesa nyingi ili kumpata kiungo huyo.

{Voetbalkrant}
Pep - Manager
Arteta - Manager
Klop - Manager

Poche - Head coach - Huna maamuzi juu ya wachezaji unaletewa mazagazaga ya kila aina kazi yako kuyaorganise yakupe matokeo
 
Yupo mtu hapa alisema wachezaji wengi ni wa kawaida sana
Nikatoa list aniambie ni wangapi na akina nani hakutoa jibu
Sisi tunasisitiza wachezaji wengi tulionao wapya ni wa viwango vya juu, Poche ndie anajitahidi kuwashusha form zao kwa vile ni clueless coach ninyi mnabisha
Poch hajawahi kuwa clueless coach
 
Mnaikumbuka hii?
IMG-20240214-WA0021.jpg
 
Chelsea imempa mkataba kocha mkuu wa Lyon Sonia Bompastor kuchukua nafasi ya Emma Hayes ambaye anaondoka kwenda USWNT mwishoni mwa msimu.

Hakuna kilichokamilishwa bado, na wanadai kuwa mazungumzo yanaendelea. Mkataba wa Bompastor na Lyon unaisha mnamo 2025.

Kazi ya Umeneja kwa Lyon tangu Aprili 2021:

Mechi 102
Kashinda 87
Droo 7
Kashindwa 6
Asilimia ya kushinda mechi ni 85.29%

Makombe ya Heshima:
  • Division 1 Féminine: 2021–22, 2022–23
  • Coupe de France féminine: 2022-23
  • Trophée des Championnes: 2022, 2023
  • Women's Champions League: 2021–22
1707941843107.png
 
Chelsea wanatazamiwa kumteua mkuu wa footbal operations wa Swansea City Josh Marsh kuwa meneja wao mpya wa mikopo. Anatarajiwa kuanza jukumu hilo mwezi Machi.
 
BREAKING NEWS:
Chelsea wametoa ofa ya kumsajili Mkuu wa Usajili wa Brighton Sam Jewell kwa mara ya pili ndani ya miezi 16. (kupitia
@SamWallaceTel)
1707993962849.png
 
Conor Gallagher anakuja mdogo mdogo.
 

Attachments

  • Screenshot_20240216_011250_Instagram.jpg
    Screenshot_20240216_011250_Instagram.jpg
    165.2 KB · Views: 9

Similar Discussions

Back
Top Bottom