lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,492
Hata akiwa na wote bado one of the big weakness ya Pochettino ni maamuzi kwenye kupanga wachezajiKwanza tumecheza bila proper namba kumi, Gallagher ile sio position yake lakini kutokana na ufinyu wa wachezaji ikambidi acheze hapo. Pia kumuanzisha Palmer kama false 9 nadhani Poch alitaka ku impress mashambulizi kwa kuzingatia uwezo wa Palmer finishing zake lakini pia alitaka awe na washambuliaji wengi wenye quality kwa kumuweka na Madueke ndani ndio maana Broja akaanzia nje. Hii inasaidia kwenye transition kutoka kushambuliwa kuja kushambuliwa hasa ukiwa na wachezaji wenye kasi na ilitokea ila kwa upumbavu wa Madueke hatukufanikiwa kupata chochote.
Second ni udhaifu kwenye kuusoma mchezo na kufanya best possible subs. Haina excuse Kocha mzuri hata limited resources alizo nazo anatumia vizuri. Kuendelea kumuweka Colwill kwenye LB inafanya timu ilemewe, Colwill hawezi kutract winga wa opponents, hawezi kupeleka mashambulizi kama wingback, ameishia kucheza rafu na kushika wachezaji wanapomzidi speed. Best posotion ya Palmer ni wide wing akitokea kulia, kocha mzuri anatakiwa kujua hilo. Kuwaweka wachezaji out of their positions ni udhaifu miubwa ambao unaigharimu timu. Ghallagher kacheza mara nyingi hiyo nafasi na kacheza vizuri. Gallagher sio CM wa kucheza deep, yeye ni CM wa kushambulia na kudefend. B2B na mara nyingi
Tuseme tu Pochettino kwenye hardplay na softplay ameshindwa kazi