Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tuseme ukweli asilimia kubwa ya wachezaji ni average. Wanashtuka siku moja moja kucheza vizuri siku nyingine wanalala au wanaamua kutulia.

Hakuna kitu km hicho. Tukubali tuna kocha mwenye uwezo mdogo hana mbinu zozotr zaidi ya kuwakimbiza wachezaj 10KM

Kocha mbahatishaji tu. Kocha kashindwa kuwaimprove wachezaji
 
Kocha hawezi kufanya kila kitu mkuu. Kuna wakati wachezaji wenyewe lazima wahusike kuipambania nembo. Palmer anakosa magoli ya yeye na kipa kocha afanyaje hapo? Offcourse siwezi kukataa kocha ana mchango kwenye hamasa ya timu ila tusimuangushie yeye jumba bovu peke yake tuna wachezaji wachovu, wajivuni na wameridhika.

Chelsea siyo ya kukaa namba 10 muda mrefu hivi, kuna upumbavu wa wachezaji hauvumiliki wamekaa kizembe. Huyu Madueke alipigwa bench mechi kadhaa akili ikamkaa sawa akarudi akafunga mechi 2 mfululizo mkaanza kumsifia humu ooh sio wa kukaa benchi haya angalia utumbo alioufanya leo? Hapa kocha utamlaumu nini ikiwa chezaji lenyewe halijielewi?

Mkuu hivi kipi umekiona kwa Pochetino katika miez 6 tangu awe kocha??
Pattern????
Improvement???
Tactics??

Kila mchezaj chini ya Pochetino ataonekana mbovu
 
Kocha hawezi kufanya kila kitu mkuu. Kuna wakati wachezaji wenyewe lazima wahusike kuipambania nembo. Palmer anakosa magoli ya yeye na kipa kocha afanyaje hapo? Offcourse siwezi kukataa kocha ana mchango kwenye hamasa ya timu ila tusimuangushie yeye jumba bovu peke yake tuna wachezaji wachovu, wajivuni na wameridhika.

Chelsea siyo ya kukaa namba 10 muda mrefu hivi, kuna upumbavu wa wachezaji hauvumiliki wamekaa kizembe. Huyu Madueke alipigwa bench mechi kadhaa akili ikamkaa sawa akarudi akafunga mechi 2 mfululizo mkaanza kumsifia humu ooh sio wa kukaa benchi haya angalia utumbo alioufanya leo? Hapa kocha utamlaumu nini ikiwa chezaji lenyewe halijielewi?
Palmer kukosa magoli ya wazi au jackosn kumiss ni juambo la kawaida, hilo linatokmea Liverpool, linatokea City
Wewe umefuatilia mpira na unaona kweli Pochettino anainfluence chochote hapo Chelsea??
Take the big picture sio hizo moment ndogo za akina Palmer kumis. Chelsea haichezi vizuru end of story
Tunacheza bila creativity, bila agression, kilegelege mno. Kocha bora atapata matokeo what ever what! ila hilo kwa Pochettino hakuna. Timu inazidi kudorora, inazidi kudidimia, inakwenda kinyume nyume kimatokea
 
POLENI KWA KUFUNGWA THE BLUES WENZANGU.

Kwa kweli hiyo mechi sijaangalia, sijajua nini kimetokea.

Ila kufungwa na timu ya championship tena ya nafasi ya 10 huko. Aisee THE BLUES imeoza kuanzia:-

1. wamiliki
2. viongozi
3. Kocha
4. Wachezaji
5. Mashabiki

Kilio changu kitaendelea kubaki kwa wamiliki katika kufanya sahihi maamuzi ya kiutendaji.

Uongozi mbovu = timu mbovu

Uongozi mbovu = Selection ya kocha mbovu

Uongozi mbovu = Usajili wa wachezaji wabovu
Hao wapo nafasi ya 12 na tena wana majeruhi 14 kwenye timu yao ya kwanza, hao waliocheza wengi ni academy wao. Habari ndio hiyo
 
Sasa kwa hiki kikosi si atabeba makombe yote. Angalia hapo chini kikosi alichofika nacho fainali ya UCL
Hiyo alibahatisha, ukitaka kujua kocha mzuri angalia pattern, trend, consistency
Anakamia baadhi ya mechi, hana consistyency hata alipokua Spurs, kocha wa hovyo na mtamuelewa baadaye kidogo tutakapoanza kugombea kushuka daraja kutupeleka anapostahili. Hata huko Championship hawezi kuirudisha timu EPL atabakia mkiani Championship.

Poche is spo weak, no tactics, poor decision making, hana mfumo wowote wa kuifanya timu icheze vizuri

Tunasubiri Tangazo tu la kufukuzwa huyu tapeli wa soka
 
POLENI KWA KUFUNGWA THE BLUES WENZANGU.

Kwa kweli hiyo mechi sijaangalia, sijajua nini kimetokea.

Ila kufungwa na timu ya championship tena ya nafasi ya 10 huko. Aisee THE BLUES imeoza kuanzia:-

1. wamiliki
2. viongozi
3. Kocha
4. Wachezaji
5. Mashabiki

Kilio changu kitaendelea kubaki kwa wamiliki katika kufanya sahihi maamuzi ya kiutendaji.

Uongozi mbovu = Selection ya kocha mbovu

Uongozi mbovu = Usajili wa wachezaji wabovu (Viwango duni na majeruhi)

Uongozi mbovu = timu mbovu
Maamuzi makubwa mabaya ya uongozi na wamiliki ni jinsi walivyomleta Pochettino
Too much processes end up to a stupid decision ya kumleta huyu mpuuzi
Roman Abramovich walikuwa wanamuongelea ndani kocha halafu anaitwa kupewa mkataba sio hawa wanamuinterview kocha kama mwalimu wa kuja kufundisha chekechea
 
Kila goti litasema tu hapa ni swala mda tu

Potter anamshinda hata Poch kwenye matumizi ya wachezaji


IMG_1326.jpg

Hm
IMG_1327.jpg
 
Watu mnaomtetea Poch hivi kitu gani mmekiona toka sasa Poch amefanikiwa kukitengeneza.

Ni miezi 6 now tangu awe kocha kipi amekifanya??
 
Samahani sana Silva kwa kufundishwa na clueless manager asiyekwua na tacktics. Unaonekana huchezi vizuri kwa sababu ya mfumo mbovu kocha kaweka kwenye timu
1704860509636.png
 
Kila goti litasema tu hapa ni swala mda tu

Potter anamshinda hata Poch kwenye matumizi ya wachezaji


View attachment 2867028
HmView attachment 2867029
You are very right, Enzo alicheza vizuri sana wakati wa potter tena akiwa bado ni mgeni wa London, ligi na timu
Tulitegemea sasa kazoez ndio tutamfaidi ila kaja mvurugaji akaanza kubadilisha badilisha vitu kiuwendawazimu tu
 
Watu wanaomtetea Toddy hivi ni maamuzi gani sahihi amefanikiwa kufanya tangu anunue timu zaidi ya miaka 2 now?
Wamefanya maamuzi mabaya ila Pochettino ndio kadidimiza timu kabisa. Kwa maamuzi mabaya ya akina Tod Chelsea chini ya kocha mzuri ingeweza kuwepo kwenye maeneo ya namba 5 au 6 tena hapo kwa sababu Tod Boehly walifanya stupid decision ya kuwaondoa haraka akina Marina, Bruce na Cech nna wengineo na kuwauza wachezaji hata wale wasiostahili.
Bado wamenunua wachezaji wazuri tena sana
  1. Gusto hii ni namba nyingine kabisa
  2. Enzo ni bonge la mchezaji na ameprove hilo chini ya Potter
  3. Caicedo ni kiungo bora kabisa
  4. Palmer haitaji kutetewa
  5. Mudryk ni winger mzuri
  6. Lavia ni the best
  7. Nkunku ndio usiseme
  8. Disasi ni bonge la CB, kinachomtokea ni uharamia wa soka. Disasi ni bora kuliko Rudiger alipohamia Chelsea msimu wake wa kwanza, ila chini ya Poche ataonekana mzito na hafai
  9. Badiashile alikuwa the best CB chini ya Potter, ila sas andio tena
Hiyo list yote na bado wapo zaidi, huwezi kusema Tod na Eghbali wamefanya decision mbaya
Kosa lao ni moja tu kumleta Pochettino, kwenye timu mimi sioni makosa makubwa sana zaidi ya hayo niliyoeleza hapoo juu
 
Kila goti litasema tu hapa ni swala mda tu

Potter anamshinda hata Poch kwenye matumizi ya wachezaji


View attachment 2867028
HmView attachment 2867029
Gap ilikuwa kubwa kati ya viungo na mabeki na pia arrangement ya timu uwanjani ilipwaya sana. Kuan wakati Silva na akina Disasi wanalalamika kutafuta wachezaji wa kuwapasia mipira hawapo, wapo behind opponent players na wamejipanga hovyo. Hawatafuti spaces ili wapasiwe mipira. Wanajilegeza kama wachezaji wa mtaani. No inspiration. Ile press conference aliyotoa Pochettino ataijutia sana kwa sababu hakunyoosha maneno kama makocha wengine. Hakuwaandaa wachezaji kuwa na agresiveness na positive winning mentality. Matokeo ya jana ni ya hiyo speech aliyotoa
 
Mkuu hivi kipi umekiona kwa Pochetino katika miez 6 tangu awe kocha??
Pattern????
Improvement???
Tactics??

Kila mchezaj chini ya Pochetino ataonekana mbovu
Hebu niambie kwa Chelsea hii ni mchezaji gani anaweza kupiga pass, nazungumzia zile killer pass inaifung7a defense ya timu pinzan?

Utapataje pattern ikiwa nusu ya wachezaji wa kuamza wana spend robo ya msimu KCMC? Nkunku, James, Chilwell, Lavia, Fofana, Ugochukwu, Sanchez.

Haya unatengenezaje tactics kwa Jackson anakosa magoli kama kaona moto. Lakini pamoja na hivyo Chelsea ndio timu inayoongoza kwa kutengeneza nafasi za kufunga na ndio inayoongoza kwa kukosa nafasi nyingi za wazi. Hili hamulioni mnasema kocha mbovu. SMH!

Nadhani mmemsahau Poch yule wa Spurs kutoka 2016 mpaka 2019
 
Palmer kukosa magoli ya wazi au jackosn kumiss ni juambo la kawaida, hilo linatokmea Liverpool, linatokea City
Wewe umefuatilia mpira na unaona kweli Pochettino anainfluence chochote hapo Chelsea??
Take the big picture sio hizo moment ndogo za akina Palmer kumis. Chelsea haichezi vizuru end of story
Tunacheza bila creativity, bila agression, kilegelege mno. Kocha bora atapata matokeo what ever what! ila hilo kwa Pochettino hakuna. Timu inazidi kudorora, inazidi kudidimia, inakwenda kinyume nyume kimatokea
Sikatai kukosa magoli kunatokea kwa Liver na Man City lakini mpaka kuongoza katika timu zilikotengeneza big chances na ndio timu iliyoongoza kukosa big chances sio issue ndogo tena. Mpaka kufikia hapo kocha kashatengeneza mfumo wa uchezaji na hawa average players lakini wao ndio wanamfelisha always
 
Sikatai kukosa magoli kunatokea kwa Liver na Man City lakini mpaka kuongoza katika timu zilikotengeneza big chances na ndio timu iliyoongoza kukosa big chances sio issue ndogo tena. Mpaka kufikia hapo kocha kashatengeneza mfumo wa uchezaji na hawa average players lakini wao ndio wanamfelisha always
Wewe nipe tadhmini ya mchezo kwenye big picture, hizi scenarios ndogondogo achana nazo, kulikuwa na pattern yeyote, kulikuwa na mentality yeyote, kulikuwa na uhitaji wa kucheza na kushinda
Unaweza kumrate namna gani Pochettino kupitia uchezaji wa wachezaji, au kocha huwa anapimwa kwenye nini?
Hao opponenty ni wabovu kupita maelezo ila sisi ni takataka tunastahili kuwepo dampo
 
  • Thanks
Reactions: K11
Wamefanya maamuzi mabaya ila Pochettino ndio kadidimiza timu kabisa. Kwa maamuzi mabaya ya akina Tod Chelsea chini ya kocha mzuri ingeweza kuwepo kwenye maeneo ya namba 5 au 6 tena hapo kwa sababu Tod Boehly walifanya stupid decision ya kuwaondoa haraka akina Marina, Bruce na Cech nna wengineo na kuwauza wachezaji hata wale wasiostahili.
Bado wamenunua wachezaji wazuri tena sana
  1. Gusto hii ni namba nyingine kabisa
  2. Enzo ni bonge la mchezaji na ameprove hilo chini ya Potter
  3. Caicedo ni kiungo bora kabisa
  4. Palmer haitaji kutetewa
  5. Mudryk ni winger mzuri
  6. Lavia ni the best
  7. Nkunku ndio usiseme
  8. Disasi ni bonge la CB, kinachomtokea ni uharamia wa soka. Disasi ni bora kuliko Rudiger alipohamia Chelsea msimu wake wa kwanza, ila chini ya Poche ataonekana mzito na hafai
  9. Badiashile alikuwa the best CB chini ya Potter, ila sas andio tena
Hiyo list yote na bado wapo zaidi, huwezi kusema Tod na Eghbali wamefanya decision mbaya
Kosa lao ni moja tu kumleta Pochettino, kwenye timu mimi sioni makosa makubwa sana zaidi ya hayo niliyoeleza hapoo juu
Daah aseeh haya maajabu sasa. Leo hii Graham Potter anasifiwa? Eti mchezaji fulani alikua bora chini ya Potter? Hao walikua bora chini ya Potter waliisaidia vipi timu na mbona ikaishia vile kocha kutimuliwa?
 
Hebu niambie kwa Chelsea hii ni mchezaji gani anaweza kupiga pass, nazungumzia zile killer pass inaifung7a defense ya timu pinzan?

Utapataje pattern ikiwa nusu ya wachezaji wa kuamza wana spend robo ya msimu KCMC? Nkunku, James, Chilwell, Lavia, Fofana, Ugochukwu, Sanchez.

Haya unatengenezaje tactics kwa Jackson anakosa magoli kama kaona moto. Lakini pamoja na hivyo Chelsea ndio timu inayoongoza kwa kutengeneza nafasi za kufunga na ndio inayoongoza kwa kukosa nafasi nyingi za wazi. Hili hamulioni mnasema kocha mbovu. SMH!

Nadhani mmemsahau Poch yule wa Spurs kutoka 2016 mpaka 2019
Miuu huyu kocha mtamtetea hadi mtajificha
 
Wewe nipe tadhmini ya mchezo kwenye big picture, hizi scenarios ndogondogo achana nazo, kulikuwa na pattern yeyote, kulikuwa na mentality yeyote, kulikuwa na uhitaji wa kucheza na kushinda
Unaweza kumrate namna gani Pochettino kupitia uchezaji wa wachezaji, au kocha huwa anapimwa kwenye nini?
Hao opponenty ni wabovu kupita maelezo ila sisi ni takataka tunastahili kuwepo dampo
Kwanza tumecheza bila proper namba kumi, Gallagher ile sio position yake lakini kutokana na ufinyu wa wachezaji ikambidi acheze hapo. Pia kumuanzisha Palmer kama false 9 nadhani Poch alitaka ku impress mashambulizi kwa kuzingatia uwezo wa Palmer finishing zake lakini pia alitaka awe na washambuliaji wengi wenye quality kwa kumuweka na Madueke ndani ndio maana Broja akaanzia nje. Hii inasaidia kwenye transition kutoka kushambuliwa kuja kushambuliwa hasa ukiwa na wachezaji wenye kasi na ilitokea ila kwa upumbavu wa Madueke hatukufanikiwa kupata chochote.
 
Miuu huyu kocha mtamtetea hadi mtajificha
Mkuu siwezi kujificha. Kwani mimi na wewe tuko hili jukwaa toka lini? Niondoke kwa sababu ya mijadala hii midogo noo haiwezekani. Mimi ni shabiki wa Chelsea anayekuja na kuondoka kocha au mchezaji ila Chelsea inabakia ndio mimi Chelsea sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom