Hotuba ya Pochettino kuendea mechi ya Karabao Cup Semi Final na Middlesbrough:
"Watu wanaweza kufikiria, sawa ni Chelsea, lakini hiyo inatafsiri kwa timu na
ikiwa tunaamini kuwa sisi ni Chelsea na tutashinda kwa sababu ya beji hii, nadhani tutakosea sana.
Tunahitaji kuwa wanyenyekevu ili kutambua kwamba, kwenda huko na kusema tunahitaji kuwakimbiza, kuwa wakatili, wote kwa pamoja, kulingana na matamanio yao. Kwa hali hiyo labda tutapata nafasi ya kushinda."
Pochettino ni mlevi na anaweza kuwa wa bangi, nachukia hotuba zake, muongeaji kupita kiasi na maneno yake hayana ushawishi kwa wachezaji na mashabiki hata kidogo.
Tutegemee hiyo mechi wachezaji wataanza kucheza kimlenda mlenda na hakutakuwa na msukumo wowote
Mashabiki hawakuipenda hii hotuba zaidi ya zote alizowahi kutoa huyu mwehu na nadhani hata kule kwenye uongozi
Makocha wote wanawaamasisha wachezaji waingie uwanjan i na mori ya ukatili ili kutoruhusu timu pinzani kucheza na kuchez akwa nia ya kushinda yeye anawaambukizia unyenyekevu na huruma
Natumaini wachezaji hawatafanya kama alivyosema
View attachment 2866060