Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Update ya majeruhi wetu:

Wesley Fofana
,
Reece James,
Marc Cucurella,
Romeo Lavia,
Benoit Badiashile,
Lesley Ugochukwu,
Trevoh Chalobah na
Robert Sanchez

Nicolas Jackson
yupo mashindani ya Africa Cup of Nations.

Ben Chilwell and Carney Chukwuemeka hawa wamerudi lakini hawatajumuishwa kwenye game ya leo na Boro.
 
Na wewe ndugu unamchukia Poche kwa kila kitu.

Hiyo kauli ina shida gani? Kasema tusitegemee beji itashinda mechi au kuwa na jina kubwa ndio kushinda mechi

Kwa maana kwamba wachezaji wasibweteke bali wanatakiwa wajitoe kimwili na kiakili kushinda hiyo mechi.
Leta hiyo hotuba hapa kwa kiingereza, hajasema hivyo

Angalia kauli za wanaume wanaojua kufundisha soka

Jurgen Klopp before facing Chelsea in Sept 2016:

"We need to improve because they are so experienced. They can play a game where nothing works but always stay cool. No-one cares. We are much younger and we need good moments in a game to take the next good moment. That's how it is in life. Experience, when you use it right, makes you stronger and I'd say that's Chelsea's only real advantage is they are more experienced."

Pamoja na uchanga wa Liverpool waliifunga Chelsea kwenye hiyo mechi
1704815646869.png

https://twitter.com/Blue_Footy/status/1744746903198183854/photo/1
 
Ian Maatsen kashaondoka kwenda Dortmund ila kasaini mkataba wa miaka miwili
1704815940810.png
 
Na atakuja kuwa moto wa kuotea mbali na atanunuliwa euro 100+ ndani ya muda mfupi ujao , Dortmund sio wajinga wale
We ngoja uone watakamvomfanya kuwa beast ,timu yetu ina tatizo la kuua vipaji recently
Option ya kumnunua haipo ni mkopo tu, Chelsea wanataka kumuuza kwa ushindani kipindi cha kiangazi na ndio maana wameforce mkataba wa miaka miwili zaidi hadi Jun 2027
 
Sasa unataka mashabiki tumpangie kocha nini cha kusema?

Kwani kwenye mkataba wake kuna kipengele kilichomuelekeza nini cha kusema au kutokusema?
Mkuu hata Rais wa nchi hapangiwi cha kuongea ila kama wewe ni kiongozi utachagua maneno ya kuongea kwenye public na kwa watu unaowaongoza, kiloa neno unalokosea kuongeza lina consequences zake
 
Naona kama leo P{ochettino kajitahidi kupanga nsafu ya ushindi hata kama aliongea vibaya kwenye press conference jana
4-2-3-1

-------------- Palmer ---------------

Sterling ------- Gallagher------ Madueke

-----Enzo -----------------Caicedo ----

Colwill ------Silva -----Disasi ----Gusto

---------------Petrovic---------------

Sub
  1. Bettinelli,
  2. Bergstrom,
  3. Gilchrist,
  4. Williams,
  5. Golding,
  6. Mudryk,
  7. Washington,
  8. Broja
 
Hiyo poster mbona inasema kasaini mkataba na Chelsea mpaka 2027, wewe unasema kaenda Dortmund na kasinya miaka miaka miwili
Umenielewa tofauti au maandishi yangu yalmekuja kiutata ila ni vizuri poster imefafanua
Kule kaenda mkopo tu bila buy obligation na ndio amana Chelsea wamemsainisha extension ya miaka miwili ili waweze kumuuza kwa ushindani July 2024
 
Umenielewa tofauti au maandishi yangu yalmekuja kiutata ila ni vizuri poster imefafanua
Kule kaenda mkopo tu bila buy obligation na ndio amana Chelsea wamemsainisha extension ya miaka miwili ili waweze kumuuza kwa ushindani July 2024
Sijajua tuna tatizo gani ila IAN ni mchezaji mzuri na anaweza kutusaidia hiki kipindi ambacho timu inakumbwa na majeruhi kila dakika. Kule anaenda kuwa fire asee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom