juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Broja 1-0
Hawa wachezaji akili yao ni moja
Mudryik
Madueke
Anthony
Martnel.
Elanga
Richarlson
Jackson
Broja
Nketah
Jackson anakitu akifanyia kazi swala la kufanya maamuzi katika nyakati sahihi atakuwa striker moja mzuri sana na akafanyia kazi finishing yake
Hivyo viwili tu akiviweka vizuri anakuwa bonge la mchezaji
Vingine vyo anafanya vizuri sana
Madueke ni nafasi tu kujiamini
Mudryk anahitaji kocha tu atakae mpolish
Hakuna player ni wajinga wajinga awajiongezi kupachika mabaoJackson anakitu akifanyia kazi swala la kufanya maamuzi katika nyakati sahihi atakuwa striker moja mzuri sana na akafanyia kazi finishing yake
Hivyo viwili tu akiviweka vizuri anakuwa bonge la mchezaji
Vingine vyo anafanya vizuri sana
Madueke ni nafasi tu kujiamini
Mudryk anahitaji kocha tu atakae mpolish
Scare tu ya kwenye kiuno, yuko mazoezini na wenzakeWazee nasikia NKUNKU ameumia tena, hizi taarifa ni za kweli?
Kuna wachezaji wapo chelsea ni mizigo wanawategea wenzao. Fofana, James, Chiwel, Lavia, NkukuWazee nasikia NKUNKU ameumia tena, hizi taarifa ni za kweli?
Ndg, acha kuota mchanaMnakaonaje kale ka kipa ketu, mi naona ni hazina kubwa sana....
Napata imani tunaweza toboa top four. Timu inatembea na magoli yanaanza kupatikana. Broja tuendelee kuishi naye maana hata tukichukia ni wa kwetu tu hatuna pa kumpeleka.
Nkunku atarudi lakini si leo, anahitaji dakika nyingi uwanjani.
Kumuuza Conor Gallagher dirisha hili ni kunyoosha mikono juu kwamba Top Four sasa ni kusahau.
Mimi kila siku naona top 4 ipo wazi sana, timu za juu zetu pia hazina consistency kwenye matokeo...bado naona top four ipo wazi sanaNdg, acha kuota mchana
Poche bado hajarekebisha timu
Bado midfield inapwaya, bado mabeki wana makosa ya binafsi
Bado majeruhi ya wachezaji muhimu inatuandama
Tukipata nafasi ya 7 ni matokeo mazuri kabisa kwa Pochettino
Gallagar ni takataka, hana msaada wowote.Mnakaonaje kale ka kipa ketu, mi naona ni hazina kubwa sana....
Napata imani tunaweza toboa top four. Timu inatembea na magoli yanaanza kupatikana. Broja tuendelee kuishi naye maana hata tukichukia ni wa kwetu tu hatuna pa kumpeleka.
Nkunku atarudi lakini si leo, anahitaji dakika nyingi uwanjani.
Kumuuza Conor Gallagher dirisha hili ni kunyoosha mikono juu kwamba Top Four sasa ni kusahau.