Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Leo Sina shaka yeyote kuwa mnadraw na WBA...
Labda Refa afanye kama alivyofanya kwenye mechi ya kwanza..(Penati dk ya 94)...
Naitazamia kwa hamu battle ya Pale katikati baina ya Mulumbu na Yacob Vs Matic/Ramires/Lampard...
 
Chelsick leo hamtoki...na lazima mutuachie wanaume hiyo nafasi yetu...game haijachangamka kabisa...bt WBA wanaanza kushambulia hapa dk ya 27
 
Chelsick leo hamtoki...na lazima mutuachie wanaume hiyo nafasi yetu...game haijachangamka kabisa...bt WBA wanaanza kushambulia hapa dk ya 27



Umeona ubao unavyosomeka?

Mtafanya kz sn kurudi kileleni!
 
Chelsea have conceded their first goal in 459 minutes,dk ya 88 w.brom 1 -chelsea 1
 
And finaly chelsea have lost two crucial points.its time now for man city and arsenal to correct their mistakes
 
Davis Luiz huwa mara nyingi sipendi akicheza beki maana mpaka mpira ukiisha bila kusababisha gori ajisikii raha, Awe anakaa bench tu au match zile ngumu acheze palepale katikati huku nyuma bana anaharibu sana aaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhhhhhhhhhh,,,,,hata tukimuombea njaa arsenal, kesho man city lazima apite na itakuwa vigumu sana kumtoa pale akikaa
 
Leo Sina shaka yeyote kuwa mnadraw na WBA...
Labda Refa afanye kama alivyofanya kwenye mechi ya kwanza..(Penati dk ya 94)...
Naitazamia kwa hamu battle ya Pale katikati baina ya Mulumbu na Yacob Vs Matic/Ramires/Lampard...

Yametimia....
Hawa WBA kwa mchezo wao ulivyo na Mfumo wa Chelsea game niliiona ngumu sana na draw imewatosha..
Ligi ngumu sana hii Wiki hii nafasi ya kwanza ijayo nafasi ya Tatu...
 
Yametimia....
Hawa WBA kwa mchezo wao ulivyo na Mfumo wa Chelsea game niliiona ngumu sana na draw imewatosha..
Ligi ngumu sana hii Wiki hii nafasi ya kwanza ijayo nafasi ya Tatu...

Chelsea wana misimu miwili mfululizo hawajawahi kushinda at the Hawthorns, huwa wanachapwa tu na hii match ishawacost makocha wawili vibarua vyao, AVB na De Matteo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom