Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kweli kabisa Ntuzu; sisi kwetu droo ni kama kufungwa hata majirani wanajua. Maana yake timu iko sawa; sisi hatufungwi na wakubwa; kuhusu kuwabania 'wakubwa' ni sawa kwa sababu ili uwe bingwa lazima uwafunge wakubwe wenzako.

:smile-big:


Hawa jamaa Wa ajabu sn! Mawazo Yao ni mgando sn!
 
JT akiruka na mtu kugombania mpira wa kichwa basi tegemea atakua wa kwanza kuupata, Luiz alikua anamsindikiza tu Anichebe na kosa kubwa ni la kocha, kumuacha Gaz aendelee na mechi wakati kaumia

sitii neno hapo mourinho alijiamini sana tatizo ile mechi.
 
Leo Usiku mnarudi nafasi yenu mliyozoea #3 ....Mourihno bado anatengeneza timu kashasema hilo...
Ntuzu Unafikiri kukaa pale Juu ni Rahisi tu??
 
Leo Usiku mnarudi nafasi yenu mliyozoea #3 ....Mourihno bado anatengeneza timu kashasema hilo...
Ntuzu Unafikiri kukaa pale Juu ni Rahisi tu??


Wewe ni mgeni Wa kauli za Mourinho!

Ubingwa upo kwa chelsea msimu huu!
 
Kama hujui meneja anacheza nafasi gani team yake ikiwa uwanjani then log off, kojoa ukalale

kwikwikwikwikwiiii... ikiuma sema aisee:loco::loco:

meneja hachezi nafasi yoyote yeye ni planner na mbwabwajaji tu...

:A S 13:
 
Ubingwa utakuwepo kama team itakua haipotezi points dhidi ya team kama West Brom.


Ni kweli; hata hivyo mimi naamini kwamba ukitaka kuwa bingwa usipoteze pointi kwa timu ambazo ni washindani wenzako kwenye taji; kwa hilo CFC iko vizuri zaidi; bado mechi 3 muhimu:

CFC vs Spurs = home.
CFC vs Liver = away.
CFC vs Arsenal = home.
tunahitaji pointi 9. tukishindwa 9 tupate 7.

Chelsea on the right path..towards :first:
 
Tena kimya kibayaaaaa!


CFC, kiboko yao; sasa tutaongoza hadi wachukie; ile mechi ya tarehe 22 ; CFC vs Everton tutachukua pointi zote tatu; Chelsea ya sasa inacheza vizuri sana inapocheza na wanaogombea ubingwa;

tutachukua ubingwa bado mechi 12 tu.:coffee:
 
CFC, kiboko yao; sasa tutaongoza hadi wachukie; ile mechi ya tarehe 22 ; CFC vs Everton tutachukua pointi zote tatu; Chelsea ya sasa inacheza vizuri sana inapocheza na wanaogombea ubingwa;

tutachukua ubingwa bado mechi 12 tu.:coffee:


Ukipita kwenye thread ya Arsenal Yani Wenger na Geroud wako lawanani vibaya sn!
 
CHELSEA FC bingwa England mwaka huu. Nadhani Mourinho anaweza kuwapa taji la UEFA kwa mara nyingine. Ni suala la muda tu, tusubiri tuone.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom