Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea wana misimu miwili mfululizo hawajawahi kushinda at the Hawthorns, huwa wanachapwa tu na hii match ishawacost makocha wawili vibarua vyao, AVB na De Matteo

Mourihno leo kawaangusha sana na Sub zake...Torres bado hayupo fit kabisa..nafkiri labda mngekuwa mnaongoza 3-0 ningeelewa uamuzi wa kumtumia...
Pia ni kama mliridhika na goli 1 na kumuingiza Obi na kumtoa Oscar..
Ila jamaa walicheza vizuri pale katikati hasa baada ya kuingia Mulumbu...
 
Chelsea defense is rubbish without JT and David Luiz is a huge liability at the back

hahaha lakini lile goli mkuu nahisi kama kipa nae anahusika maana kama alikuwa anataka autokea akaucheze ule mpira alafu ghfla akasita na kumuachia forward akipiga kichwa.
 
Mourihno leo kawaangusha sana na Sub zake...Torres bado hayupo fit kabisa..nafkiri labda mngekuwa mnaongoza 3-0 ningeelewa uamuzi wa kumtumia...
Pia ni kama mliridhika na goli 1 na kumuingiza Obi na kumtoa Oscar..
Ila jamaa walicheza vizuri pale katikati hasa baada ya kuingia Mulumbu...

Ukimuacha Matic, Ivanovic na Azplicueta, the rest wamecheza hovyo hovyo including the manager
 
hahaha lakini lile goli mkuu nahisi kama kipa nae anahusika maana kama alikuwa anataka autokea akaucheze ule mpira alafu ghfla akasita na kumuachia forward akipiga kichwa.

JT akiruka na mtu kugombania mpira wa kichwa basi tegemea atakua wa kwanza kuupata, Luiz alikua anamsindikiza tu Anichebe na kosa kubwa ni la kocha, kumuacha Gaz aendelee na mechi wakati kaumia
 
hahaha lakini lile goli mkuu nahisi kama kipa nae anahusika maana kama alikuwa anataka autokea akaucheze ule mpira alafu ghfla akasita na kumuachia forward akipiga kichwa.

Kipa hakuwa na kosa lolote..hata asingetoka bado asingeweza kucheza kile kichwa.....
Kosa ni la Luiz 100% na isitoshe hakukuwa na mchezaji mwingine wa WBA wa kumark zaidi ya Anichebe...
Uzembe mkubwa sana...
 
Most interesting EPL season so far! The movie is still in great suspense. May be Jose deliberately forced a draw to continue his mind games
 
Davis Luiz huwa mara nyingi sipendi akicheza beki maana mpaka mpira ukiisha bila kusababisha gori ajisikii raha, Awe anakaa bench tu au match zile ngumu acheze palepale katikati huku nyuma bana anaharibu sana aaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhhhhhhhhhh,,,,,hata tukimuombea njaa arsenal, kesho man city lazima apite na itakuwa vigumu sana kumtoa pale akikaa

gori?? hahaaaa tulieni dawa iwaingie maana mna mdomo sana
 
Mi hata siongei na hivi niko safarini hata picha siweki...
 
kuna mnyaNtuzu mmoja hapa nilimwambia huwa wanakazia timu kubwa ndogo wanalegeza..

hahaaaa wataelewa tu maana wakishinda wanakuwaga wapana humu jukwaani mpaka basi...sasa jana wametulizwa
 
Mourihno leo kawaangusha sana na Sub zake...Torres bado hayupo fit kabisa..nafkiri labda mngekuwa mnaongoza 3-0 ningeelewa uamuzi wa kumtumia...
Pia ni kama mliridhika na goli 1 na kumuingiza Obi na kumtoa Oscar..
Ila jamaa walicheza vizuri pale katikati hasa baada ya kuingia Mulumbu...
Chezea mulumbu,utalia kwa kuvuta kamasi bila machozi!
 
......no wonder team yako nayo iliingia na kujiamini mno.


#MosQw !to.

Ndiyo; timu nzuri na kocha mzuri lazima aamini kazi yake; kocha 'avarage' ndo utamsikia mpira dakika 90.:fencing:
tulihitaji kushinda na ndo maana tulianza kufunga goli; yaliyotokea yanaweza kutokea popote.
jambo zuri ni kwamba tuna mfululizo wa mechi nyingi bila kufungwa; sisi CFC tukitoa droo ni kama tumefungwa; ndo maana hata wewe umefurahi au vipi mkuu Mbu?


 
Kweli kabisa Ntuzu; sisi kwetu droo ni kama kufungwa hata majirani wanajua. Maana yake timu iko sawa; sisi hatufungwi na wakubwa; kuhusu kuwabania 'wakubwa' ni sawa kwa sababu ili uwe bingwa lazima uwafunge wakubwe wenzako.

:smile-big:
Hatujafungwa Jana! Tumetoka sare!

Tunakuja etihad jiandae vzr!
 
think like a man. nani katulizwa wewe au sisi?
tunakufunga kila tunapotaka alafu leo unaongea?

tukutane kiwanjani au wewe ni WBA?:shock:
hahaaaa wataelewa tu maana wakishinda wanakuwaga wapana humu jukwaani mpaka basi...sasa jana wametulizwa
 
hahaaaa wataelewa tu maana wakishinda wanakuwaga wapana humu jukwaani mpaka basi...sasa jana wametulizwa


Kwani Jana tumepoteza? Sisi draw ni km kufungwa na ndio Maana mtu km wewe unafurahi! Lkn Hiyo nafasi ya kwanza ni yetu na ubingwa ni wetu kwa mujibu Wa ratiba ilivyo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom