Kuna watu bado wanaendelea kumtetea Poch tu????Lavia na Nkunku kwenye benchi
Leo hakuna cha Caicedo wala Enzo
Pochettinoi bado uwendawazimu hajamuisha, makipa wawili benchi ya nini?
Maatsen kamkosea nini Pochettino asipewe nafasi ya kuanza?
View attachment 2851548
Inasikitisha sanaHizo nafasi za wazi za kufunga magoli STERLING anazichezea kuna watu hapo watamlaumu kocha.
Hiv unahisi watu wanamlaum Poch kwa nafasi tunazokosaHizo nafasi za wazi za kufunga magoli STERLING anazichezea kuna watu hapa watamlaumu kocha.
Yani kama hamjamfam sterling tangu yuko liverpool then city basi mjue mnashida sanaHizo nafasi za wazi za kufunga magoli STERLING anazichezea kuna watu hapa watamlaumu kocha.
Wamuingize Mkuku aje kuokoa jahazi🤠🤠Chuma
Sioni leo tukitoboa![]()
Mjiandae kwa excuse nyingine ya tulicheza j4 wachezaj hawajarecover vizuri





Nitafutie Kimbukiko🤠🤠🤠...ana mdomomdomo sana yule jamaa...Bora Mkohoti yy sikuhzi ameamua kutuombea njaa ila sio kuzungumziq hili genge lake la mdundikoChummmaaaaaa
Tunaye kocha zezeta kwenye mpira anayefanana na akina Jackson an BrojaIle timu iliyojaa Wareno sio ya kuidharau kabisa
Poch akiendeleza uzezeta wake ule ,hatuchomoki leo , na ukiangalia hii ni must win game
Yaani inabidi leo tushinde ili kujiwekea atleast mahali salama zaidi