Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wakati wa Hazard, Willian, Kante, Kovacic, luiz, n.k performance yao ilivyokuwa chini tulikuwa tunasema wachezaji ni wavivu hawajitumi, mgomo baridi ila walikuwa na uwezo mkubwa sana uwanjani.

Hawa wachezaji tulionao sasa hata wajitume mara 10 ya Gallagher uwanjani, still wengi uwezo wao mdogo uwanjani.

Hata wale wachache angalau wanaojiweza kiuwezo wanamezwa na hao wengi ambao hawana uwezo.

Tunao wachezaji wengi wa midtable teams na sio level ya THE BLUES, uwezo wao ndio umefika mwisho, hawafundishiki zaidi. Atakuja kocha mwingine the same lawama kwa makocha zitaendelea hapa.

Mkuu uko serious kabisa unavyosema tunawachezaj wabovu?

Chukua kile kiungo cha Enzo n Caicedo mpelekee kocha anayejielewa
Chukua James,Colwill hata Palmer na wengineo ambao wapo wapeleke kwenye makocha wanaojielewa uone kama hutopigwa kama ngoma
 
Sijaona popote mchezaji analaumiwa huku kocha kakaa pale kama vile hausiki
Hujamuelewa Lukub said: Huyo Pochettino alitakiwa aingilie kati, individual error ni dalili kwamba mchezaji hayupo mchezoni
Alitakiwa kufanya sub imediately ili kupeleka ujumbe kwa wanaobaki
Pochettino ni zinga la kocha mjinga sana hasa ni mgumu kwenye kufanya sub pale inapohiotajika

Sub ilifaa ifanyike 2nd half inavyoanza hapo hapo unafanya sub

Cha ajabu mtu anafanya sub wakat tushafungwa 3
 
Nitaendelea kusimama na Poche mpaka mwisho, kwa maana ni kocha mwenye uwezo mkubwa ila wachezaji ndio wanamuangusha uwanjani (Wengi wao wana uwezo mdogo & lack of experience).

Exprienced players kama Sterling & James wana utoto/uzembe mwingi.

Silva simlaumu kabsa umri umeshamtupa mkono kwa sasa anatupa bonus uwanjani.

Poch kipi amekifanya hata baada ya kuwa na experienced player??? Huko alipotoka
 
We unaona Arteta kuna kitu mule? tofauti y Arteta na Poch ni mmoja anafundisha chelsea wkt mwingine Arse88.

Mkuu acha utani
Angalia Arteta anapokuwa kwenye touchline na anavyoreact kufanya sub pale anapoona hali siyo halaf njoo kwa Poch
 
Mkuu acha utani
Angalia Arteta anapokuwa kwenye touchline na anavyoreact kufanya sub pale anapoona hali siyo halaf njoo kwa Poch angalia Arteta Alivyoisuka Defenc ya Arsenal halaf sisi leo tuko wapi tunafungwa magoal yale yale kila gameweek
 
Hapo nimetoa mfano wa hizo sajili nyingi za ovyo zilizofanyika, still tunalalamikia makocha. Chelsea tuna mapungufu mengi sana zaidi ya Kocha.

Hao waliosajili wangapi wamebaki na wangapo wako U21

Unataka kusema Sajili ya Enzo,Caicedo n Lavia ni sajili za hovyo,Palmer


Sajili za hovyo tulizofanya
Nizile za summer iliyopita ya Boehly ya kina Cucurela,Koulibay na hata hii ya Sanchez

Siku tukipata kocha anaetaka kuwin makombe ndio tutaona Uwezo halisi wa hawa wachezaj wetu
Kwa Poch hakuna kocha hapa ni swala la mda tu wote tutaongea lugha moja
 
Hapo nimetoa mfano wa hizo sajili nyingi za ovyo zilizofanyika, still tunalalamikia makocha. Chelsea tuna mapungufu mengi sana zaidi ya Kocha.
Usajili upi wa hovyo?
Orodhesha hapa kwa wachezaji aliopewa Pochettino
  1. Petrovic wa hovyo hata hataki kumtum ia kipa mzuri kama yule
  2. Colwill wa hovyo?
  3. Maatsen wa hovyo - hata hataki kumtumia?
  4. Gusto wa hovyo?
  5. James wa hovyo?
  6. Chilwell wa hovyo?
  7. Silva wa hovyo?
  8. Badiashile ni wa hovyo?
  9. Disasi ni wa hovyo?
  10. Caicedo ni wa hovyo?
  11. Enzo ni wa hovyo?
  12. Nkunku wa hovyo?
  13. Lavia ni wa hovyo?
  14. Mudryk wa hovyo?
  15. Sterling ni wa hovyo?
  16. Palmer ni wa hovyo?
  17. Gallagher ni wa hovyo
Mimi najua wachezaji wasiofikia viwango vya makombe pale hawafiki hata 5 katika 30
Kama hii listi niliyotoa ni wa hovyo basi hata Pochettino ni wa hovyo X17

Najua Pochettino sio mbaya kiasi tunavyomlipua, ial anatakiwa kuthibitisha hilo, aweze kuithibiti timu ilete matokeo, hao wachezaji ni wazuri sana
Leo unawaona wabovu kwa sababu ya kocha kawafanya waonekane hivyo

Kesho hao hao wachezaji wakianza kubeba makombe mtawaremab na kuwaona ni world class
 
For example, leo Dias wa City kacheza fyongo hadi katoa goli mbili za buree kwa RB LEIPZIG na dk ya 45 Kipara kamuweka nje akamuingiza Ake
Angekuwa Poche hapo angesota naye hadi dk ya 89 nakuambia
 
Sasa nyie kenge mnataka nani awe kocha wenu?
20231125_232617.jpg
 
Mkuu Hawa unaowaona wanamponda poch ni walimpa sifa nyingi sana baada ya mechi ya Manchester city.
It's a Chelsea thing.
Tunamponda Pochettino kwa ufahidhina wake, tena alivyocheza vizuri dhidi ya City ndio hasira inakuwa kubwa zaidi, bora angefungwa. Alituonyesha kuwa Chelsea ni nzima na inaweza fanya makubwa zaidi Ila yeye kwenye mechi za kushinda ndio tunafungwa. Mjinga sana huyo.
 
James, Gusto na Cucurella hawatakuwepo, nanai atacheza RB?
 
Hebu tujikumbushe kidogo baadhi ya michango yetu wakati ligi bado mbichi

Ndugu yangu lembu Una chochote cha kuongezea?
IMG_20231130_174756.jpg
Screenshot_2023-11-30-17-37-14-763_com.quoord.jamiiforums.activity.jpg
Screenshot_2023-11-30-17-37-33-280_com.quoord.jamiiforums.activity.jpg
Screenshot_2023-11-30-17-37-54-502_com.quoord.jamiiforums.activity.jpg
Screenshot_2023-11-30-17-38-15-048_com.quoord.jamiiforums.activity.jpg
 
Through passes and progressive passes per 90 minutes chart this season
Enzo leading the EPL

1701357438986.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom