juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Alert ilionekana Joelinton akatukosa free header na kocha akaendea kucheza na badishaile iliniuma maana tumefungwa free header ,huu ni ujinga.
Halaf mtu anakwambia Poch hana makosa




Alert ilionekana Joelinton akatukosa free header na kocha akaendea kucheza na badishaile iliniuma maana tumefungwa free header ,huu ni ujinga.




Ndg, wachezaji ni kama kuku wa kufugwa, ukisema wachezaji wana mapungufu unakoseaPamoja kwamba unasema Kocha ana mapungufu lakini pia wachezaji wengi wana mapungufu (wamekutana pipa na mfuniko).
Hii timu akipewa kocha mwenye akili anabeba kombe. Kumbuka Lampard alisota na timu ambayo TT alikuja akabeba nayo UCL.Kumbuka Wakati wa conte tulikuwa na wachezaji wenye uwezo mkubwa ila mfumo wa mwanzo ndio ulikuwa na matatizo ndio maana akabadilisha mfumo
Haya niambie Poche anaimprove vipi mapungufu ya uwezo mdogo wa Sterling, Jackson, Mudyk, Broja na Madueke kwenye kufunga magoli?
Kwahiyo Poche akibadilisha mfumo ndio wakina Jackson mapungufu ya ufungaji yataisha na wataanza kufunga magoli?
Mbona kwa City walitumbukiza 4Kwa kweli binafsi hata silaumu safu ya ulinzi kwa maana kwamba kama unashindwa kufunga magoli basi tegemea wewe ndio utafungwa.
Ishu kuu hapa ni kuongelea mapungufu ya washambuliaji wetu kwanini wanashindwa kutumia nafasi za wazi kufunga magoli?
Kama unataka tuboreshe tuu safu la ulinzi tusifungwe magoli basi kocha abadili mfumo tuwe tunajilinda tuu, tuachane na ushambuliaji hauna maana kwa sasa.
------- Sterling ------ Palmer -----
--- Gallagher - Caicedo - Enzo ----
Cucu - Colwil - Silva - Disasi - James
Game ya NC tuliongoza tangu 2005 kucheza na silly individual mistake nyingi sana. Lile game lilivutugika kwa sababu wachezaji hawakutaka kucheza kabisa. Kama vile hakuna serious push kutoka kwa kocha, Silva sio mchezaji wa kufanya ujinga uleGame ya Newcastle chance ngapi tumetengeneza???(1st half ngapi n 2nd half ngap)
2nd half mara ngapi tumefika kwenye box la newcastle????
Tangu 1st half unaona kabisa team inahitaj mabadiliko 2nd half inaanza hufanya unakuja fanya mabadliko huku tushafungwa goal 3 unategemea hayo mabadiliko yatakuwa na matokeo chanya?
Kocha ni kama derevaHalaf mtu anakwambia Poch hana makosa![]()
kocha hawezi kufuatilia matukio akanusa hatari hili limenishangaza , kabla ya Silva kufanya like kosa tayari alifanya kosa la namna hiyo hiyo bahati nzuri akawa karibu na kibendera ikawa Kona , kisha akafanya hivyo hivyo karibu na goli tukapigwa chuma, Pili Joelinton karuka free header akatukosa na alijilaumu sana ilikuwa ni free kwelikweli , baada ya muda tukafungwa free header Tena na beki wakati sio corner , huu ni ujinga angekuwa morihno au Fergie asingevumilia huu ujinga , TATU Badiashile anakubali kuzungukwa na Gordon akiingia kwenye box badala ya kumbana akimbilie kwenye kibendera nje ya box what a poor defender , kocha ana colwill nje anayeweza kucheza katikati vizuri na kuwin duels, poch Kuna wakati anakuwa na mentality za wanawake kuamka na off mood na kujizima data.Kingine niwakumbushe kuna aina mbili za makocha
1. Kuna kocha ambaye anakamilisha maandalizi na mipango ya mechi kwenye uwanja wa mazoezi kulingana na mpinzani anayeenda kucheza naye.
Huyu kocha akiingia kwenye mechi hutamuona akibabaika wala kufanya sub za hataka, akiamini kwamba home work alifanya vuzuri uwanja wa mazoezi ni wachezaji tuu waimplement uwanjani.
2. Kuna Kocha ambaye uwanja wa mazoezi anafanya yale mambo basics ila kwenye mechi kila dakika inavyokwenda anabadilisha mbinu na mifumo kulingana na mpinzani anavyocheza, mfano nzuri ni Tuchel
Poche ni kocha anayemaliza kila kitu kwenye uwanja wa mazoezi, Kwahiyo wale wachezaji anaowapa dhamana ya kuimpliment mbinu zake uwanjani ndio wanamuangusha.
Mhe kwa taadhima zote, makocha wazuri wanachanganya mbinu kuna mbinu na mikakati ya kwenye mazoezi, na kuna mbinu na mikakati ya uwanjani kama utabiri juu ya mpinzani emeenda tofauti. Kwa ligi za ulaya timu zinabadilika nazo ukitegemea mfumo mmoaj tu utaua timuKingine niwakumbushe kuna aina mbili za makocha
1. Kuna kocha ambaye anakamilisha maandalizi na mipango ya mechi kwenye uwanja wa mazoezi kulingana na mpinzani anayeenda kucheza naye.
Huyu kocha akiingia kwenye mechi hutamuona akibabaika wala kufanya sub za hataka, akiamini kwamba home work alifanya vuzuri uwanja wa mazoezi ni wachezaji tuu waimplement uwanjani.
2. Kuna Kocha ambaye uwanja wa mazoezi anafanya yale mambo basics ila kwenye mechi kila dakika inavyokwenda anabadilisha mbinu na mifumo kulingana na mpinzani anavyocheza, mfano nzuri ni Tuchel
Poche ni kocha anayemaliza kila kitu kwenye uwanja wa mazoezi, Kwahiyo wale wachezaji anaowapa dhamana ya kuimpliment mbinu zake uwanjani ndio wanamuangusha.
Ebu tutajie wachezaji wabovu kwenye hii timu, kama wako wapo benchi au walitakiwa kuwa benchiWakati wa Hazard, Willian, Kante, Kovacic, luiz, n.k performance yao ilivyokuwa chini tulikuwa tunasema wachezaji ni wavivu hawajitumi, mgomo baridi ila walikuwa na uwezo mkubwa sana uwanjani.
Hawa wachezaji tulionao sasa hata wajitume mara 10 ya Gallagher uwanjani, still wengi uwezo wao mdogo uwanjani.
Hata wale wachache angalau wanaojiweza kiuwezo wanamezwa na hao wengi ambao hawana uwezo.
Tunao wachezaji wengi wa midtable teams na sio level ya THE BLUES, uwezo wao ndio umefika mwisho, hawafundishiki zaidi. Atakuja kocha mwingine the same lawama kwa makocha zitaendelea hapa.
Nasikia January tunasajili wachezaji wazoefu watatukocha hawezi kufuatilia matukio akanusa hatari hili limenishangaza , kabla ya Silva kufanya like kosa tayari alifanya kosa la namna hiyo hiyo bahati nzuri akawa karibu na kibendera ikawa Kona , kisha akafanya hivyo hivyo karibu na goli tukapigwa chuma, Pili Joelinton karuka free header akatukosa na alijilaumu sana ilikuwa ni free kwelikweli , baada ya muda tukafungwa free header Tena na beki wakati sio corner , huu ni ujinga angekuwa morihno au Fergie asingevumilia huu ujinga , TATU Badiashile anakubali kuzungukwa na Gordon akiingia kwenye box badala ya kumbana akimbilie kwenye kibendera nje ya box what a poor defender , kocha ana colwill nje anayeweza kucheza katikati vizuri na kuwin duels, poch Kuna wakati anakuwa na mentality za wanawake kuamka na off mood na kujizima data.
Sijaona popote mchezaji analaumiwa huku kocha kakaa pale kama vile hausikiHahahaha
Mi nakubaliana na wewe chief kwamba tusilaumu tuu mapungufu ya kocha bila pia kulaumu individuals errors/mistake za wachezaji + uwezo wao
Umeeleza vizuri sana, beki mvivu kwenye kuruka mipira ya kichwa, beki anasahau kufanya marking, mchezaji anapiga pass za ovyo ovyo, mshambuliaji anabaki na kipa anambabua au kupaisha kweli haya nayo ya kumlaumu kocha?
Ile mechi ya juzi ukiiangalia individuals error zilikuwa nyingi sana kuliko mapungufu ya kocha.
We unaona Arteta kuna kitu mule? tofauti y Arteta na Poch ni mmoja anafundisha chelsea wkt mwingine Arse88.Hii timu akipewa kocha mwenye akili anabeba kombe. Kumbuka Lampard alisota na timu ambayo TT alikuja akabeba nayo UCL.
Mimi naona tuna wachezaji wazuri sana, kocha tu hana ukatili alionao akina Arteta, Kipara, na hao wengineo mnaowajua
🤣🤣🤣...umefufuka leo mkuu....Arteta yuko juu ya tawi ananing'inia sasahv....Pochettino anapigana viwiko na kina Fulham huko chinichini...utofauti mkubwa sanaWe unaona Arteta kuna kitu mule? tofauti y Arteta na Poch ni mmoja anafundisha chelsea wkt mwingine Arse88.
Kwani hio billion yote katumia pochetinho.Pep au Klop ungempa £1.B ya usajili, nadhani wangechukua makombe ya kila aina, wasingesajili wachezaji ovyo ovyo kama tulivyofanya. View attachment 2827307
Exactly kocha ni kama mwanaume mwenye mwanamke mjamzito ,unaona mwanamke anableed unamuangalia TU,analalamika tumbo au kichwa kinauma upo kimnya.Ndio kilichokuwa kinaendelea uwanjani awareness ya wachezaji ilikuwa chini sanaSijaona popote mchezaji analaumiwa huku kocha kakaa pale kama vile hausiki
Hujamuelewa Lukub said: Huyo Pochettino alitakiwa aingilie kati, individual error ni dalili kwamba mchezaji hayupo mchezoni
Alitakiwa kufanya sub imediately ili kupeleka ujumbe kwa wanaobaki
Pochettino ni zinga la kocha mjinga sana hasa ni mgumu kwenye kufanya sub pale inapohiotajika