Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sijawahi kumuelewa Sterling, jamaa ni takataka sana.
Jamaa mzuri, kakosa tu consistency na ndio maana ni vizuri kocha awekeze kwa Mudryk sana kwa sababu mchezaji mkongwe kama Sterling akianza kuwa inconsistent kwa umri huo sio picha nzuri. Ni kama Silva, msimu huu amekuwa akifanya silly mistakes nyingi tofauti na misimu ya nyuma.
 
Mechi ya jana ndio nimeamini hii timu bado sana, itahitaji sio chini miaka 4 ya kujitafuta ili kurudi kwenye njia ya ushindi wa makombe.

Kocha ndio shida hapa

Poch anaiandaa team icheze vizuri dhid ya hawa wakubwa ila against wadogo ni kama hakuna kitu anachofanya

Tangu league imeeanza ushaona kabisa mipira ya juu inatusumbua why anashindwa tafuta suluhisho
 
Kwa Poch hapa hamna kitu
Tuko gw13 tumeonekana kuwa bora against top teams ilwa kwa hawa ambao tunapaswa kuchukua point tumekuwa poor.

Ni heri kicheza mpira mbovu huku unapata matokeo kuliko cheza mpira mzuri halaf matokeo mnapata kwa mbindd

Hawq matajiri kama walisemq target ni uefa msim huu basi wanahitaj kufanya maamuzi ya haraka

Ukiangalia spurs wanavyocheza halaf uangalie na sisi unabaki unacheka

Huyu Poch hamna kitu hapa
 
Tuchel = Same players same Problems

Potter = Same players same Problems

Poche = New Players same problems

Another coach = Same players same Problems

Matatiz yetu ya sasa yapo kimbinu tofauti na mwanzoni
Jiulize why tumekuwa hatuna consistenc ya matokeo bora
Tunacheza vizuri against top team ila dhid ya hawa wadogo tunahangaika


Tunajua kabisa tunaenda cheza na Newcastle ambao wanatumia long balls + minguvu why tunashindwa match?

Against West ham,Nottingham,Brentford hawa wote tunajua wanakaa nyuma kwa nini tunashindwa kuwafunga?

Mara ngapi tunaruhusu magoal ya mipira ya juu na mtu yuko unmarked? Utasemaje ni same problem?

Matatizo ya sasa yapo kwa kocha zaidi

If you cant score make sure you dont concede

Una score 4 unaruhusu 4 ndio nini

Against spurs Tunaongoza 2-1 ila spurs wakapata goal mipira ya juu
Defenc yetu iko porous poch ameshindwa kuisuka yani tukishambuliwa kwq nguvu 80% wapinzani wanapata goal
Hatuna uwezo wa kuzuia hata kama tunaongoza 1-0 unajua kabisa hili goal litarudi
 
Mashabiki wa Chelsea baada ya mechi ya Man City:

"Palmer ni mbwa, Sterling AMERUDI, James ni nahodha wangu, Cucurella bomba sana, Gallagher ni GOAT, Chelsea IMERUDI mahali pake, Tunashindania ubingwa wa EPL, "

Mchezo mmoja baadaye:

"James hafai kuwa nahodha, Cucurella hafai kuichezea Chelsea, Gallagher auzwe tu, Silva mzee sana, Sterling ni shit, Pochettino OUT, Chelsea yahovyo sana, ".
 
Kwa Poch hapa hamna kitu
Tuko gw13 tumeonekana kuwa bora against top teams ilwa kwa hawa ambao tunapaswa kuchukua point tumekuwa poor.

Ni heri kicheza mpira mbovu huku unapata matokeo kuliko cheza mpira mzuri halaf matokeo mnapata kwa mbindd

Hawq matajiri kama walisemq target ni uefa msim huu basi wanahitaj kufanya maamuzi ya haraka

Ukiangalia spurs wanavyocheza halaf uangalie na sisi unabaki unacheka

Huyu Poch hamna kitu hapa
Nimeangalia leo Manure na Aston Villa wanavyobembeleza magoli bila hata kucheza vizuri, nikajiuliza sisi tunakwama wapi?
Tujiulize pia Pochettino kashindwa PSG chini ya Messi, Neymar, Mbape na mastaa wengine je hawa watato wa Chelsea atawaweza kweli
Kwa nini Chelsea inashindwa kutumia mbinu zile zile tulizotumia kwa Liver, Arsenal na City?
 
Pamoja kwamba unasema Kocha ana mapungufu lakini pia wachezaji wengi wana mapungufu (wamekutana pipa na mfuniko).

Mapungufu ya wachezaji ni jukumu la kocha kutengeneza mfumo utakao walinda na si kuzidi kuyaonesha

We kama kocha ushaona defenc yako inashida mipira ya juu unachukua hatua gani kutatua hilo tatizo

Kwa wiki unacheza mara moja unashindwa kujua mpinzan wako anacheza mpira gani?

Wakat wa Conte hali kama hii ilitokea Conte akaswitch mfumo na kwenda na 352 au 343 mwisho wa siku tukawa mabingwa hapo ni baada ya kusulibiwa na Arsenal 3-0 pale Emirates
 
Hii mechi ya Newcastle haikuwa ngumu ni ujinga wa poche kumuweka bench Disas na Caisedo hilo TU alijipiga risasi mwenyewe,silva Kwa umri wake hawezi kukaba eneo kubwa ,Disasi na collwill wanamsaidia sana wakikosekana hawa watu wawili Silva yupo mashakani anabaki na akili kama SILAHA kubwa lakini nguvu zimeisha.
 
Kumbuka Wakati wa conte tulikuwa na wachezaji wenye uwezo mkubwa ila mfumo wa mwanzo ndio ulikuwa na matatizo ndio maana akabadilisha mfumo

Haya niambie Poche anaimprove vipi mapungufu ya uwezo mdogo wa Sterling, Jackson, Mudyk, Broja na Madueke kwenye kufunga magoli?

Kwahiyo Poche akibadilisha mfumo ndio wakina Jackson mapungufu ya ufungaji yataisha na wataanza kufunga magoli?

Unataka kusema Sterling anauwezo mdogo Tuangalie mpira

Ni chance ngapi dhidi ya Magpies tulitengeneza chance ngapi??aerial duel ngapi tulizishinda

Ni clear chance ngapi tumetengeneza kila game??

Kwa nini Tunastruggle dhid ya hawa wadogo?
(West ham,Brentford,Nottingham Forest,Newcastle etc


If you cant score make sure you dont concede

Je unauhakika team yetu ikiwa inaongoza 1-0 inaweza zuia hilo goal kwq mda wote????

Angalia Arsenal,City,Liverpool wakiwa wanaongoza. Unaona kabisa kunachance wanaweza pata hata bao la 2 halaf njoo kwetu tukiwa tunaongoza moja unaona kabisa kuna chance hili goal linarudi.

Niswala la mda tutakuja wote hapa kukubaliana Poch hakuwa mtu sahihi kwenye hii project
December n January Loading…………….
 
Kwa kweli binafsi hata silaumu safu ya ulinzi kwa maana kwamba kama unashindwa kufunga magoli basi tegemea wewe ndio utafungwa.

Ishu kuu hapa ni kuongelea mapungufu ya washambuliaji wetu kwanini wanashindwa kutumia nafasi za wazi kufunga magoli?

Kama unataka tuboreshe tuu safu la ulinzi tusifungwe magoli basi kocha abadili mfumo tuwe tunajilinda tuu, tuachane na ushambuliaji hauna maana kwa sasa.


------- Sterling ------ Palmer -----

--- Gallagher - Caicedo - Enzo ----

Cucu - Colwil - Silva - Disasi - James

Game ya Newcastle chance ngapi tumetengeneza???(1st half ngapi n 2nd half ngap)

2nd half mara ngapi tumefika kwenye box la newcastle????

Tangu 1st half unaona kabisa team inahitaj mabadiliko 2nd half inaanza hufanya unakuja fanya mabadliko huku tushafungwa goal 3 unategemea hayo mabadiliko yatakuwa na matokeo chanya?
 
Game ya Newcastle chance ngapi tumetengeneza???(1st half ngapi n 2nd half ngap)

2nd half mara ngapi tumefika kwenye box la newcastle????

Tangu 1st half unaona kabisa team inahitaj mabadiliko 2nd half inaanza hufanya unakuja fanya mabadliko huku tushafungwa goal 3 unategemea hayo mabadiliko yatakuwa na matokeo chanya?
Alert ilionekana Joelinton akatukosa free header na kocha akaendea kucheza na badishaile iliniuma maana tumefungwa free header ,huu ni ujinga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom