Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

20230604_005828.jpg
 
Difence isiyojua kujiposition wala kufanya marking ni defense gani
Ubora wa hii timu ndio ubora wa kocha, havitenganishwi hivi vitu viwili
Halafu mistakes za ovyo ,ukiangalia magoli yote tuliyofungwa leo
 
Difence isiyojua kujiposition wala kufanya marking ni defense gani
Ubora wa hii timu ndio ubora wa kocha, havitenganishwi hivi vitu viwili
Fouls nyingi uneccesary na ndio tumekuwa yellow cards nyingi n red card
 
Pochettino hataijenga Chelsea yenye kushindania makombe
Ataijenga timu ya kukomaa na timu kubwa kama akina Sunderland
Chelsea ikitaka mafanikio ya kubeba makombe iwekeza kwa kocha anayeweza kuisuka timu ya kucheza kwa nguvu, kukaa na mipira na kuwa na usanisi kwenye pasi na kufunga. Tuna timu kama ya mtaani tu hata hawa akina Caicedo na Enzo hawachezi kama kwenye timu walizotoka
Chelsea leo imeonekana hovyo kwa sababu wamerudi default hawakupress kama walivyofanya kwa City Liverpool na Arsenal.
Mta press mpaka lini? Tulieni mkandwe
 
Taratibu mashabiki wa Chelsea tunaanza kuwa sugu na matokeo kama wa Arsenal na Manure
Mtani Usitulinganishe Arsenal na timu yenu iliyokosa Ubunifu ya Chelsea.

Wenzenu Arsenal tulishahama huko muda mrefu 🤗
 
Tumecheza kama walevi na poche kapanga team kama mlevi mkuu Disasi na Caisedo pasipo kujali chochote walipaswa kuanza,hii team ya ajabu sana ,mechi ya man u watacheza kama wanapigania Roho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom