Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

mtaishia kuongea lazima kombe lije Blue color
waambie nitonye hawa wameshachoka
waende kupumzika kwani ngoma hawaiwezi kabisa

hehehe,dah sipati picha washenzi nyie mkichukua kombe mweh,sijui kama patakalika humu ndani,yaani mara kumi achukue arsenal kuliko nyie ndo mmeanza maneno hivi,na huyo kocha wenu asiyejua kuongea kwenya interview sijui ataropoka mashudu gani siku hiyo.
 
Last edited by a moderator:
Tutakua na game ya Newcastle wikend hii na pia ktk ya wiki ijayo tutakua ugenini dhidi ya WBA, kabla ya kwenda kwa Man City tena kwa game ya FA.

Ni wakati mzuri kwa Akina Ba kucheza! Jana Ba alicheza sekunde 30 na akaokoa kona iliyokua inaelekea langoni kwa Chelsea!

***** sikomi na hiyo mechi mnayokutana na man city naongeza kuweka dau kwa mhindi mnakufa,yaani nitawabetia mnakufa mpk hela yangu irudi.
 
Tutakua na game ya Newcastle wikend hii na pia ktk ya wiki ijayo tutakua ugenini dhidi ya WBA, kabla ya kwenda kwa Man City tena kwa game ya FA.

Ni wakati mzuri kwa Akina Ba kucheza! Jana Ba alicheza sekunde 30 na akaokoa kona iliyokua inaelekea langoni kwa Chelsea!

Ile ilinitoa ushuzi mkuu
 
Mkuu km kawaida yangu! Usipeleke hiyo pesa mkuu! Utaliwa! Kaweke kwa Chelsea mkuu!

***** sikomi na hiyo mechi mnayokutana na man city naongeza kuweka dau kwa mhindi mnakufa,yaani nitawabetia mnakufa mpk hela yangu irudi.
 
ile nayo ligi?? kawaulize kilichowakuta barcelona,kapigwa kwenye njia kuu na kwenye mchepuko.
Hao Munich hawataki ata kuisikia chelsea! Kwasababu wanaijua shughuli yake na kwamba iliwanyang'anya tonge mdomoni!

hehehe,dah sipati picha washenzi nyie mkichukua kombe mweh,sijui kama patakalika humu ndani,yaani mara kumi achukue arsenal kuliko nyie ndo mmeanza maneno hivi,na huyo kocha wenu asiyejua kuongea kwenya interview sijui ataropoka mashudu gani siku hiyo.
Ubingwa mmeshaanza nyie kututangaza kwasababu tumeifunga timu ambayo ni kiboko yenu! Lazima mtutangaze tu! Na kweli mtakoma tukichukua ubingwa!
 
mbona lakini bado swansea walkuwa wanacheza mpira mzuri tu! Dah namsikitkia kweli.

Me nimesikitika zaidi, Swansea ndiyo pass masters wa EPL, wako nafasi ya 12, wako Europa, FA round ya 5 na bado alikua ana majeruhi kibao wengine ndio wemerudi juzijuzi and on top of that yeye ndiye kocha pekee aliyeshinda kikombe ndani ya miaka kibao.

Sababu kubwa eti kwa sababu hataki kusaini mkataba wa muda mrefu na matokeo mabovu yaliyokua yamemuandama. Sasa ngoja tuone huyo Gary Monk atafanya nini
 
Me nimesikitika zaidi, Swansea ndiyo pass masters wa EPL, wako nafasi ya 12, wako Europa, FA round ya 5 na bado alikua ana majeruhi kibao wengine ndio wemerudi juzijuzi and on top of that yeye ndiye kocha pekee aliyeshinda kikombe ndani ya miaka kibao.

Sababu kubwa eti kwa sababu hataki kusaini mkataba wa muda mrefu na matokeo mabovu yaliyokua yamemuandama. Sasa ngoja tuone huyo Gary Monk atafanya nini


Inasikitisha; lakini ndo maisha ya makocha. Ukiajiliwa ujue ipo siku utafukuzwa tu.
 
Inasikitisha; lakini ndo maisha ya makocha. Ukiajiliwa ujue ipo siku utafukuzwa tu.

Na ndiyo maana ni makocha wachache sana wanaokubalj kuwekeza kwenye academies na wao wanalazimishwa na club policies or else utawekeza vipi wakati hauna uhakika kama kibarua chako kitamaliza hata miaka miwili.
 
Umeona ee! Kazi ya akademi ni kazi ya kocha wa timu ya "under 21"
Kazi ya meneja inapaswa kujitahidi kuleta mataji haraka.
Na ndiyo maana ni makocha wachache sana wanaokubalj kuwekeza kwenye academies na wao wanalazimishwa na club policies or else utawekeza vipi wakati hauna uhakika kama kibarua chako kitamaliza hata miaka miwili.
 
Michael Laudrup, kibarua kimeota nyasi

Nadhani hata yeye mwenyewe was looking for a bigger club and this has cost him.

Tofauti na msimu uliopita, he didn't seem to bother with the results.

Kama commitment na motivation ilipungua vile.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom