Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu nilikwambia Lkn tangu juzi na Jana! Sio km Lazima tuongee Kwasababu tumeshinda!

Sisi kauli mbiu yetu ya Jana ilikua "WE LOVE THE BIG GAME"

haya hongereni bana mi sina usemi nimenyamaza sasa nalia tu na moyes wangu
 
sasa mkuu wewe mshabiki wa chelsea inawezekanaje usiipe nafasi ya kushinda timu yako hata mimi man u niliipa nafasi ilivyokuwainacheza na chelsea na kulala jana sikutegemea kama kuna mshabiki wa chelsea ambae hakuwa ameipa nafasi timu yake hata ikicheza na bayern

Ni kweli Mkuu Lkn kwa game ya Jana Ushindi kwa City ulikua Hakuna!
 
Mourinho anajua la kufanya; itafaa kama gemu ijayo Andre Schurrle na Mo Salah wakicheza na Oscar ili Willian na Hazard wakae benchi kidogo ili kuwa fiti kwa ajili ya kuikabili City kwenye FA.

Mkuu ni kweli! Ila jambo jingine ni kwamba New Castle ni timu iliyotufunga msimu huu! Na ata Hapo nyuma waliwahi kutufunga Hapo Darajani! Si Wa kubeza ata kidogo! Kwasababu msimu ukishavuka nusu kila timu hujitshidi kukamilisha malengo yake!

Nikianza na Striker Wa hiyo game km Torres kapona anapaswa kuanza au Ba. Willian, Hazard, Ramires,Azpricuiter na Luiz wanapaswa kupumzika wasicheze hiyo game!
 
Jose Mourinho,Jose Mourinho, Jose Mourinho
Jose Mourinho,Jose Mourinho, Jose Mourinho
Jose Mourinho,Jose Mourinho, Jose Mourinho

Fantastic Chelsea!
KTBFFH
COYB
 
Once blue always blue
Branislav-Ivanovic-scores-007.jpg

Chelsea--players-019.jpg

David-Luiz-celebrates-014.jpg

David-Silva-misses-006.jpg

David-Silva-sends-a-shot--011.jpg

Eden-Hazard-009.jpg

Eden-Hazard-016.jpg

Edin-Dzeko-and-Nemanja-Ma-004.jpg

Gary-Cahill-challenges-Vi-012.jpg

Joe-Hart-020.jpg

Jose-Mourinho-001.jpg

Jose-Mourinho-003.jpg

Manchester-Citys-Silva-ch-008.jpg

Steven-Jovetic-013.jpg

Manchester-City-Fan-002.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom