Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
hongereni kwa ushindi kwa kweli kha sina hamu nimemuwekea mzigo man city mhindi kauchukua wote,anyway mbinu nzuri na kapanga kikosi kizuri mourinho kwa kweli anahitaji pongezi kwa hilo amekuja kivingine kabisa leo,tofauti na nilivyoexpect ila yule mtoto hazard nyoko zae hafai hata kidogo.
Mkuu kabla ya kuipeleka hiyo pesa yako kwa muhindi ulitakiwa kujua kua kampuni kubwa ya kubeti iliingia mkataba na Chelsea km mwezi mmoja ivi uliopita! Na walivyofunga mkataba tu wakatoa ofa ya kupanda kwa bei Mara mbili! Na waliamua kuingia mkataba na Chelsea Kwasababu ni timu ambyo haipotezi au haifungwi! Sasa wewe makampuni Makubwa tena wataalam Wa biashara wanawekeza kwa Chelsea Alafu wewe unakwenda kuweka kwa City? Pole sn!