Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ntuzu leo tupo pamoja


Mimi Leo siongei sn! Nimeshaongea sn Hapo nyuma Mimi pamoja na agosti 8 na Mentor Leo naonesha vitenda vile nilikua Nasema!

Ila nasikitika sn ningekua nimeshaua game kwa Goli km 3 ivi
 
Last edited by a moderator:
Has David Luiz let David Silva out of his back pocket yet?

hahahah....today's display from D. luiz was calmer than usual although him and Ramires need to work on their shots..target!!! and Willian his corners..otherwise...proud of the boys!
 
what dya say haters!??

nkwela Ntuzu agosti 8 , Invisible Peasant miss chagga...hayo ndo mambo yetu...we are not favourites and we dont want to be!!! we just win...
#cfc #ktbffh

tuonane asubuhi for picture updates....


Mkuu Mentor tumesema sn na tumeichambua sn hii game tangu wiki 3 nyuma huko Mimi na wewe Na agosti 8 . Lkn watu walikua wanatubeza Na kutuzarau sn!

Sins mengi ya kuongea sn! Nikushukuru wewe na agosti 8 na Wapenzi wote Wa Chelsea na Zaidi nimshukuru Jose Mourinho kwa kazi nzuri sn anayoifanya pamoja na wachezaji Wa Chelsea wote kwa ujumla!

In god we trust, in Jose we trust and in Chelsea we trust!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mentor tumesema sn na tumeichambua sn hii game tangu wiki 3 nyuma huko Mimi na wewe Na agosti 8 . Lkn watu walikua wanatubeza Na kutuzarau sn!

Sins mengi ya kuongea sn! Nikushukuru wewe na agosti 8 na Wapenzi wote Wa Chelsea na Zaidi nimshukuru Jose Mourinho kwa kazi nzuri sn anayoifanya pamoja na wachezaji Wa Chelsea wote kwa ujumla!

In god we trust, in Jose we trust and in Chelsea we trust!

hongereni kwa ushindi kwa kweli kha sina hamu nimemuwekea mzigo man city mhindi kauchukua wote,anyway mbinu nzuri na kapanga kikosi kizuri mourinho kwa kweli anahitaji pongezi kwa hilo amekuja kivingine kabisa leo,tofauti na nilivyoexpect ila yule mtoto hazard nyoko zae hafai hata kidogo.
 
Last edited by a moderator:
hongereni kwa ushindi kwa kweli kha sina hamu nimemuwekea mzigo man city mhindi kauchukua wote,anyway mbinu nzuri na kapanga kikosi kizuri mourinho kwa kweli anahitaji pongezi kwa hilo amekuja kivingine kabisa leo,tofauti na nilivyoexpect ila yule mtoto hazard nyoko zae hafai hata kidogo.

Mkuu Jana na juzi nilikushauri pitia vyanzo vya habari mbalimbali vya kimataifa vya michezo uone ni jinsi gani wachambuzi Wa soccer wanatoa maoni juu ya game ya Jana! Kwa kweli walikua wanasema ukweli na wengine walisema game ya Jana ingekua sulihu! Na pia Km ungepitia wavuti Wa habari Wa Chelsea kwanza ukaona kila kauli ya inayoyolewa na wachezaji na Kocha juu ya game ya Jana ungeweza kuona ni kitu gani kinakwenda kutokea! Na pia ungepitia wavuti ya city ukaona na wao walikua na maoni gani?

Mimi nilikua nakupa msimamo na maelezo ya uhakika Kwasababu nilikua Najua wazi Tunakwenda kufanya nini! Ukiangalia wachezaji Kocha na yeye! Yani dalili za Ushindi zilikuwepo! Na pia sisi ktk ukrasa wetu Wa Chelsea tulitoa uchambuzi mapema kabisa Wa hii game nikiwa mimi na agosti 8 na Mentor na baadhi ya Wapenzi wengine Wa chelsea tulijua wazi Lazima tushinde!

Na kwa game ya Jana Nafikiri mtaanza kuitangaza Chelsea bingwa maana imeifunga timu kiboko yenu!

Pole sn Mkuu kwa kuliwa pesa na mhindi!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom