Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kapumzikeni vizuri international break, mvute pumzi ya kutosha mana najua mpaka inafika x-mas watakua wamebaki watu 2 tu humu..

Nzi wa buluu nyie!😁

Repost: Picha nimechukua humu humu, msije mkaniua😂
View attachment 2774845
James, Badiashile, Chalobah, Malo gusto watakuwa wamesharudi.
Tutakuwa hatuna tu Nkunku, Chilwell, Lavia na Fofana
 
Mkicheza na promoted teams huwa mnaziwashia sana moto na kusahau ubovu wote mlio nao.

Kuanzia kwa Luton na jana Burnley..

Just a reminder, don't be carried away guys! Bado mna safari.
 
To be honest
Bado hatuna team ya kumsumbua arsenal. Labda mpaka February huko ndipo naweza kuwa na guts za kumtaka yeyote.
Ni Derby mkuu yoyote anapgika tu,usifikiri itakua game rahis kw Arsenal.
Derby then nyumbani haitakua rahis kw yeyote, hao kondoo wanapasuka vizuri tu.tunza hii comment.
 
Mkicheza na promoted teams huwa mnaziwashia sana moto na kusahau ubovu wote mlio nao.

Kuanzia kwa Luton na jana Burnley..

Just a reminder, don't be carried away guys! Bado mna safari.

Tunalitambua hilo mkuu. Bdo tunasafari ndefu kurejesha ile Chelsea ya roho mbaya uwanjani
 
To be honest
Bado hatuna team ya kumsumbua arsenal. Labda mpaka February huko ndipo naweza kuwa na guts za kumtaka yeyote.
Chelsea inabadilika kulingana na anayecheza naye, mechi na Liverpool game ilikuwa ya hali ya juu. Game na Westham tulicheza vizuri, Game na Aston Villa pia tulicheza vizuri sana
Naamini vs Asernal vijana na kocha watakuja tofauti, tukiweza kuwafanyia pressing ya hali ya juu Arsenal na kuweza kuboresha umiliki wa mpira tutawafunga
 
Chelsea inabadilika kulingana na anayecheza naye, mechi na Liverpool game ilikuwa ya hali ya juu. Game na Aston Villa pia tulicheza vizuri sana
Naamini vs Asernal vijana na kocha watakuja tofauti, tukiweza kuwafanyia pressing ya hali ya juu Arsenal na kuweza kuboresha umiliki wa mpira tutawafunga
Uwezo wa kumfunga Arsenal haupo labda bahati iingilie kati. Arsenal wako ahead (uwanjani) kwa project yao kwa kila kitu vs Chelsea. Timu bado inafungwa cheap goals na bado ukuta wa disasi na silva ni mwepesi sana kwa timu zenye pace. Kushinda mechi kadhaa dhidi ya mid team kisitupofushe macho na kudhani tunaweza kumatch na timu zinazofukuzia ubingwa
 
Chelsea mchezaji huyo, mbadala wa Caicedo. Anauzwa £100 mil😂

Brighton watahakikisha mpaka wawafilisi nzi wa buluu nyie!
Snapinsta.app_382772206_17976362138569599_8828166516941460524_n_1080.jpg
 
Uwezo wa kumfunga Arsenal haupo labda bahati iingilie kati. Arsenal wako ahead (uwanjani) kwa project yao kwa kila kitu vs Chelsea. Timu bado inafungwa cheap goals na bado ukuta wa disasi na silva ni mwepesi sana kwa timu zenye pace. Kushinda mechi kadhaa dhidi ya mid team kisitupofushe macho na kudhani tunaweza kumatch na timu zinazofukuzia ubingwa
sio kirahis hivyo! Sisi ni wabovu ila liva walishindwa kuchukua point, achilia mbali kudominate mchezo.
Man u na ubovu wake akikutanaga na City huwa anampapasa kama mkewe. So gemu za derby usizichukulie kiwepesi hivyo.
 
sio kirahis hivyo! Sisi ni wabovu ila liva walishindwa kuchukua point, achilia mbali kudominate mchezo.
Man u na ubovu wake akikutanaga na City huwa anampapasa kama mkewe. So gemu za derby usizichukulie kiwepesi hivyo.
Sawa we jifariji, kwanza umeangalia game huko uone jamaa sio tu kwamba wanauwezo ila wana fighting spirit ya hali ya juu.
 
Mwanaume bado tumedindisha tunataka tena.. Tuwakute mshaloa ili kazi iwe rahisi.

Nzi wa buluu nyie!😂
Snapinsta.app_360088655_1017635162932774_6481183504734784582_n_1080.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom