Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hata Maatsen anafaa kuwa starter ,Yule dogo akicheza kuna kitu anaongeza , anaweza kushambulia na kurudi nyuma kukaba .
Poch aachane na ujinga wake
 
Cole Palmer:

"Nilifurahia kucheza nafasi hiyo usiku wa leo lakini kusema ukweli kabisa, niko vizuri katika nafasi yoyote ya ushambuliaji. Iwe kama nambari 10, wide winga wa kushoto au kulia au hata kama striker, nina furaha kufanya kazi kwa ajili ya timu."

"Nimefurahi sana kuwa na jukumu usiku wa leo na kufunga na kusaidia ndicho kitu ninachopenda kufanya.

"Ilikuwa umaliziaji mzuri na [Jackson] alistahili hilo. Nimefurahiya sana kwa Nico."

"Tumeonyesha usiku wa leo, dhidi ya upande mzuri sana, kile tunachohusu na tunahitaji tu kuendeleza uchezaji huu mzuri sasa na tunatumaini kupata ushindi zaidi."
 
Hongereni The Blues, kumfunga Brighton sio kazi nyepesi tuulizeni sisi Manyumbu tunaijua shughuli yake.
Kwa pira mlilopiga jana sijaona timu yoyote ya kuwasumbua hapo England, mnaenda kudominate ligi kwa miaka 10 kama ndugu zetu Asenyau



#Chelsea Ndoo
#Wacko Jacko Kiatu
 
Cucurella kama RB jana kacheza vizuri japo alikuwa na makosa ya hapa na pale, kaweka juhudi ambayo huwa inakosekana kwa wachezaji wetu
Colwill kucheza kama CB anakuwa mzuri sana, Pochettino akiendelea tena kumchezesha kama LB afukuzwe kazi huyo mshenzi anatuharibia timu na wachezaji
Cole Plamer ni mchezaji mwenye akili sana, anafaa sana kule mbele, anaipa timu uhai kule mbele
Pivot ya Enzo na Caicedo itatusaidia sana
 
Cucurella kama RB jana kacheza vizuri japo alikuwa na makosa ya hapa na pale, kaweka juhudi ambayo huwa inakosekana kwa wachezaji wetu
Colwill kucheza kama CB anakuwa mzuri sana, Pochettino akiendelea tena kumchezesha kama LB afukuzwe kazi huyo mshenzi anatuharibia timu na wachezaji
Cole Plamer ni mchezaji mwenye akili sana, anafaa sana kule mbele, anaipa timu uhai kule mbele
Pivot ya Enzo na Caicedo itatusaidia sana
Hata Jackson jana kamwaga sana jasho na kacheza vizuri sana
Hawa kina Sterling na dribblings zao za kiwaki ndiyo zilizokuwa zinamnyima magoli
 
naona mnachambua ubingwa
images - 2023-09-28T132216.946.jpeg
 
  • Kicheko
Reactions: K11
Cucurella kama RB jana kacheza vizuri japo alikuwa na makosa ya hapa na pale, kaweka juhudi ambayo huwa inakosekana kwa wachezaji wetu
Colwill kucheza kama CB anakuwa mzuri sana, Pochettino akiendelea tena kumchezesha kama LB afukuzwe kazi huyo mshenzi anatuharibia timu na wachezaji
Cole Plamer ni mchezaji mwenye akili sana, anafaa sana kule mbele, anaipa timu uhai kule mbele
Pivot ya Enzo na Caicedo itatusaidia sana
Hiyo ya Enzo na Caicedo imekaa poa sana, ila sijui Kwa kocha wetu huyu mwehu, timu yake bila Galagah poch hapati usingizi, huwa anapata raha kumuona Galagah anavyofanya juhudi bila maarifa.
 
Cucurella kama RB jana kacheza vizuri japo alikuwa na makosa ya hapa na pale, kaweka juhudi ambayo huwa inakosekana kwa wachezaji wetu
Colwill kucheza kama CB anakuwa mzuri sana, Pochettino akiendelea tena kumchezesha kama LB afukuzwe kazi huyo mshenzi anatuharibia timu na wachezaji
Cole Plamer ni mchezaji mwenye akili sana, anafaa sana kule mbele, anaipa timu uhai kule mbele
Pivot ya Enzo na Caicedo itatusaidia sana

Nimegundua kuwa makocha sometimes ni matatizo makubwa kwa wachezaji. Wanaweza kufanya wachezaji kuflop.

Ivi kweli una Enzo na Caicedo unashindwa kuwa tumia. Bali unawachezesha kwenye nafasi zisizo zao. Makocha sometimes ni disasta tu. Chelsea kila mtu ana namba yake pale lakini bqdo unashindwa kuwatumia.
 
Hiyo ya Enzo na Caicedo imekaa poa sana, ila sijui Kwa kocha wetu huyu mwehu, timu yake bila Galagah poch hapati usingizi, huwa anapata raha kumuona Galagah anavyofanya juhudi bila maarifa.

Ni ujinga tu. Kama unampenda kuna mechi nyingi tu lakucheza mpe lakini zile za kupata ushindi wape wengine wakupe matokeo
 
Hiyo ya Enzo na Caicedo imekaa poa sana, ila sijui Kwa kocha wetu huyu mwehu, timu yake bila Galagah poch hapati usingizi, huwa anapata raha kumuona Galagah anavyofanya juhudi bila maarifa.
Tangu Enzo apelekwe na. 10 kaflop na Pochettino haoni hilo
Enzo anacheza vizuri akicheza na. 8 na Caicedo acheze na. 6
Na. 10 aachiwe Palmer wacheze na Chukwuemeka akipona
 
Hata Maatsen anafaa kuwa starter ,Yule dogo akicheza kuna kitu anaongeza , anaweza kushambulia na kurudi nyuma kukaba .
Poch aachane na ujinga wake
Yule dogo akienda kwa kocha anaejitambua kama wakina Pep au Arteta atazid kuwa mzuri
 
Cucurella kama RB jana kacheza vizuri japo alikuwa na makosa ya hapa na pale, kaweka juhudi ambayo huwa inakosekana kwa wachezaji wetu
Colwill kucheza kama CB anakuwa mzuri sana, Pochettino akiendelea tena kumchezesha kama LB afukuzwe kazi huyo mshenzi anatuharibia timu na wachezaji
Cole Plamer ni mchezaji mwenye akili sana, anafaa sana kule mbele, anaipa timu uhai kule mbele
Pivot ya Enzo na Caicedo itatusaidia sana
Jiandae J3
Enzo 10 pivot ya caicedo na Galagher
Halaf anamalizia na Colwil kama LB

Poch ni kocha wa hovyo
 
Hiyo ya Enzo na Caicedo imekaa poa sana, ila sijui Kwa kocha wetu huyu mwehu, timu yake bila Galagah poch hapati usingizi, huwa anapata raha kumuona Galagah anavyofanya juhudi bila maarifa.
Na saiv Anampa armband Galagher ila Poch ni tatizo kwetu
 
Jtatu twende na hii line up

4-2-3-1

----------------Jackson --------------------

Mudryk -----------Palmer ------------Madueke

---------Caicedo ---------------Enzo ---------

Maatsen -------Colwill ------Disasi -----Cucurella

-------------------Sachez ---------------------

Ila Pochettino atatuwekea hii

----------------Jackson --------------------

Mudryk -----------Enzo ------------Sterling

---------Caicedo ---------------Gallagher ---------

Colwill -------Silva------Disasi -----Cucurella

-------------------Sachez ---------------------
 
Jtatu twende na hii line up

4-2-3-1

----------------Jackson --------------------

Mudryk -----------Palmer ------------Madueke

---------Caicedo ---------------Enzo ---------

Maatsen -------Colwill ------Disasi -----Cucurella

-------------------Sachez ---------------------

Ila Pochettino atatuwekea hii

----------------Jackson --------------------

Mudryk -----------Enzo ------------Sterling

---------Caicedo ---------------Gallagher ---------

Colwill -------Silva------Disasi -----Cucurella

-------------------Sachez ---------------------
Jackson hatakuwepo ana kadi nyingi za njano
 
Jiandae J3
Enzo 10 pivot ya caicedo na Galagher
Halaf anamalizia na Colwil kama LB

Poch ni kocha wa hovyo
Mechi zote tulizoshindwa kupata matokeo ni ushenzi wa Pochetino mwenyewe kucheza mfumo wa kipumbavu na kuwachezesha wachezaji nafasi zisizofaa
 
Kwani hajagundua kuwa Galagher anerithi mikoba ya uchawi kutoka kwa Obi Michael.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom