Nyoeni hizo dreads hahahahah
Si mulisaini kwa hela nyingi hawa Wachezaji huku mukiwapiku Liverpool wachezaji 3 kwakuwa wana vipaji?Siamini kocha ni tatizo ila naamini wachezaji hawana uwezo.
Sterling na Jackson wapate nafasi ngapi ili wafunge magoli?
Mudyk uchezaji gani ule wa kupambana na vitu visivyoonekana
Unazungumzia Top 6 ipi kwa mfano?Colwill sio LB
Enzo sio no 10
Halaf kuna Pochetino anayeamim Enzo ni no 10, Colwil ni LB
Pochetino sio kocha wakutupeleka nchi yq ahadi, na kwa hali hii tusitegemee hata kuwepo ndani ya top 6
Sababu zilizotufanya tumsajil Palmer naona kabisa Poch hataki.
Fukuza hii Pochetino kabla hali haijawa tete zaidi ya hapa
Kaangalie Matokeo uje utusimulieAston villa wakula ngapi?
Elewa nilichoandikaUnazungumzia Top 6 ipi kwa mfano?
Nadhani ungeweza angalau kuingia Top 10 kwasasa.
Potter potato alikuwa kiaziKocha ni shida,
Tulishindwa tafuta kocha mzuri twende nae Pre season, tukamchukua huyu tapel wakiargentina.
Kocha ni tatizo, angalia spurs muangalie Bissouma anavyocheza hivi sasa na yule bissoumq wa msim uliopita na kabla yq hapoSiamini kocha ni tatizo ila naamini wachezaji hawana uwezo.
Sterling na Jackson wapate nafasi ngapi ili wafunge magoli?
Mudyk uchezaji gani ule wa kupambana na vitu visivyoonekana