Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kila siku najiuliza lukaku angekuwepo na akacheza na Jackson pochetino angepungukiwa Nini naona uhuni TU unaendelea huko mbele
 
Mkuu tutamlaumu tena mchana kweupe kwa sababu alishiriki ujinga wa kuwasajili watoto tupu kwa ajili ya first team.
Alimkataa Felix
Nani ajuaye wengine aliowakataa ili kuwakumbatia akina Noni Madueke
Hivyo vipaji vya watoto anaenda kuviua, kweli hi ndo Chelsea ya kutegemea gharaga na Raheem kutuokoa loh, mambo yana badilika kwa kasi, ila tatizo ni poxhitino sio wachezaji, ndo maana litimulia spurs
 
Kuna goal amefunga huyu dogo wa arsenal japo kiwa limekataliwa ila inaonesha ni jinsi gani dogo alivyokuwa na Sanaa ya kufunga
20230902_195311.jpg
 
Kila siku najiuliza lukaku angekuwepo na akacheza na Jackson pochetino angepungukiwa Nini naona uhuni TU unaendelea huko mbele
Kwa huu uongozi mpya masalia yote ya Abromovich hayatakiwi, yanaondolewa yote mdogomdogo.

Hapo wanataka makombe kwa usajili wao uongozi wao wenyewe.
 
Kuna baadhi ya wachezaji unaona kabisa wakat kabla hawajaj wakifika nje yq box unaona kabisa qnajaribu ila huku kwetu chance za kushoot zinatokea unaona ndio kwanza anapeleke pembeni
 
Kama point moja tunapata kwa shida kwa litimui bovu kama Bornamouth, hao wengine tutaweza kweli!
Hata Kwa Liverpool hiyo Moja tuliyopata ni juhudi za mganga tuu .

Michezaji mizito, hainyambuliki, kuachia mipira Kwa wakati kwenye space zero, dribbling inatia mpaka aibu yaani hii timu Sagula Sagula tuu.

Siku zote Moyo wa Timu ni Kiungo, lakini tazama viungo wa hii timu...
 
Striking force ni zero , kama tunashindwa kumalizia clear chances kama zile ,sijui tutafanikiwa kufunga magoli gani aisee .
Jackson anafanya useng£ sana pale mbele ,ameridhika .
Its so stupid
 
Mechi zetu tano zijazo
Tutapata points ngapi hapo
  1. Aston Villa (H)
  2. Brighton (H) CC.
  3. Fulham (A)
  4. Burnley (A)
  5. Arsenal (H)
 
Leo Mudyrk kacheza fresh kuliko siku za nyuma ,unless hujaangalia mpira .
Pasess chache kapewa na bado ametengeneza clear chances mbili ambazo yule mpumbavu Ghallagher na Jackson wameshindwa kumalizia
Sasa ile ya Gallagher ni clear chance kweli? Pass size ya kiuno nayo ni clear chance.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom