Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hizi ndio mechi za kupata point 3 hata kama kikosi kiweje. Yan mechi kama hizi ndio zinadetermine mindset na mentality ya wachezaji na bench la ufundi yan hata kama tunakosa wachezaji muhimu. Leo tutajua hapa
 
FT 0-0

Kwa hiki nilichokiona leo tusahau hata ndoto za kuingia top 4. Wachezaji wameridhika sana hawapambani kabisa. Chilwell anapigiwa pasi hakimbii anataka pasi imkute. Walau Sterling na Gallagher wanaonesha kuwa hai. Thiago Mungu anamlinda bado yumo.
 
Yan kuna uwezekano mkubwa wa Poch kufanya vizuri akiwa Fulham au Bournemouth kuliko hapa Chelsea. Tuna wachezaji hatuna timu
 
FT 0-0

Kwa hiki nilichokiona leo tusahau hata ndoto za kuingia top 4. Wachezaji wameridhika sana hawapambani kabisa. Chilwell anapigiwa pasi hakimbii anataka pasi imkute. Walau Sterling na Gallagher wanaonesha kuwa hai. Thiago Mungu anamlinda bado yumo.
Mbona unaogopa kumtaja Cole Palmer?😃
 
Angalia alivyokuwa anapanga Pre season kikos chake halaf na sasa.

Je colwill ni LB tangu lini?

Jins tunavyoshambua unaona kabisa hakuko sawa, tunakaa sana na mpira badala ya kuachia
Mkuu kumbe Chilwell naye ni injury prone inawezekana kuna dalili alionyesha akaona ampunguzie dakika kuliko kumuanzisha moja kwa moja. Lakini pia kimfumo inawezekana kuna kitu alihitaji kwa Colwill kuliko kumuanzisha Maatsen au Chilwell
 
Mkuu kumbe Chilwell naye ni injury prone inawezekana kuna dalili alionyesha akaona ampunguzie dakika kuliko kumuanzisha moja kwa moja. Lakini pia kimfumo inawezekana kuna kitu alihitaji kwa Colwill kuliko kumuanzisha Maatsen au Chilwell
kuanzia mwanzom mwa msim anampanga Colwil kama LB,

Tuna wachezaj ambao wanahitaj mwalim anaeweza wapush kwenda level nyingine na sio za hawa trust the process.

Poch kimbinu hamna kitu,
 
Hawa Bournemouth wangepata timu inayojielewa wangekula chuma nyingi sana kwa jinsi wanavyofunguka!
 
Ukweli ni kwamba Chelsea hatuna kocha pale, timu haina mvuto kabisa aina mbinu aina kasi aina kiongozi, wachezaji ni wachovu hawataki kujituma kweli Chelsea ndo ya kushangilia draw na bonamouth........
 
1694874073540.jpg
 
kuanzia mwanzom mwa msim anampanga Colwil kama LB,

Tuna wachezaj ambao wanahitaj mwalim anaeweza wapush kwenda level nyingine na sio za hawa trust the process.

Poch kimbinu hamna kitu,
Kwa ratiba ya huko mbeleni hata kupata point 1 itakuwa ni shida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom