Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

hakuna mtu kama yy kwa kupaki basi.
ImageUploadedByJamiiForums1391411144.252704.jpg
 
namumshkuru mungu aguero anaumwa ila lazima mkalie ndo naenda kwa mhindi nw kubet for the first time naenda kubet nikiwa na uhakika wa kurudisha hela yangu naenda kuweka mzigo wa 100k chelsea anafungwa na man city


We kabla ya kwenda huko pitia vyanzo vya habari vya michezo na wachambuzi mbali mbali na wavuti ya habari ya City uone wanasemaje juu ya game ya Leo!

Chezea Mourinho wewe?? Chezea Chelsea wewe???

Wachambuzi wengi wamebashiri hii game kua sare yeyote ile na pia hawajaacha kumzungumzia Mourinho umahili wake! Alafu Mdengereko Wa Kisiju unamponda Mourinho!

Bado masaa tu uone shughuli pevu!

In Jose Mourinho we trust! In Chelsea We Trust

Holler!!!!!!!
 
namumshkuru mungu aguero anaumwa ila lazima mkalie ndo naenda kwa mhindi nw kubet for the first time naenda kubet nikiwa na uhakika wa kurudisha hela yangu naenda kuweka mzigo wa 100k chelsea anafungwa na man city


Naomba nikupe pole ndugu Mndengereko kwa kufungwa na Stoke City; mwaka huu mchungu sana kwenu, baadhi yenu mmeanza kushabikia Man City sasa! Kaz ipo..:deadhorse:
 
Washabiki wa Man United wamehamia Man City..baada ya kufungwa kila kukikcha.:biggrin1:
We kabla ya kwenda huko pitia vyanzo vya habari vya michezo na wachambuzi mbali mbali na wavuti ya habari ya City uone wanasemaje juu ya game ya Leo!

Chezea Mourinho wewe?? Chezea Chelsea wewe???

Wachambuzi wengi wamebashiri hii game kua sare yeyote ile na pia hawajaacha kumzungumzia Mourinho umahili wake! Alafu Mdengereko Wa Kisiju unamponda Mourinho!

Bado masaa tu uone shughuli pevu!

In Jose Mourinho we trust! In Chelsea We Trust

Holler!!!!!!!
 
Washabiki wa Man United wamehamia Man City..baada ya kufungwa kila kukikcha.:biggrin1:


THEY ALSO HAVE TO STOP US

Hayo ni maneno ya Mourinho ktk wavuti ya habari ya Chelsea!

Wiki iliyopita Tulikua na mijadala mbali mbali hasa hii game ya Leo! Na ktk michango mingi tuligusia kua Lazima na wao vichwa vinawauma ni namna gani wawazuie Chelsea! Huu ukweli unadhihirika toka kwa Mourinho mwenyewe akitia mkazo Wa kushambulia tu na kuwahimiza wachezaji wake kutumia uwezo wao kushambulia na kucheza mpira!

Maneno km haya ametoa Fenandinho kwamba unapo cheza na timu kubwa Lazima uwe makini na ucheze kwa tahadhari Kwani Ukifanya kosa kidogo Lazima upigwe! Kwahiyo Fenandinho anaangalia ni namna gani ya kuweza kuwazuia wachezaji Wa Chelsea!

Ni mchana sasa muda unazidi kujongea kuelekea Etihad!

Cc agosti 8 Mentor
 
Last edited by a moderator:
Mtatulia tu dawa iwaingie leo...


Hayo ni maneno kutoka Kigogo Lkn kutoka ulaya na kwa wataalam Wa soccer wengi wanasema sare yeyote ile! Alafu wewe unakuja na vichekesho vyako!
 
Last edited by a moderator:
THEY ALSO HAVE TO STOP US

Hayo ni maneno ya Mourinho ktk wavuti ya habari ya Chelsea!

Wiki iliyopita Tulikua na mijadala mbali mbali hasa hii game ya Leo! Na ktk michango mingi tuligusia kua Lazima na wao vichwa vinawauma ni namna gani wawazuie Chelsea! Huu ukweli unadhihirika toka kwa Mourinho mwenyewe akitia mkazo Wa kushambulia tu na kuwahimiza wachezaji wake kutumia uwezo wao kushambulia na kucheza mpira!

Maneno km haya ametoa Fenandinho kwamba unapo cheza na timu kubwa Lazima uwe makini na ucheze kwa tahadhari Kwani Ukifanya kosa kidogo Lazima upigwe! Kwahiyo Fenandinho anaangalia ni namna gani ya kuweza kuwazuia wachezaji Wa Chelsea!

Ni mchana sasa muda unazidi kujongea kuelekea Etihad!

Cc agosti 8 Mentor

Mimi hapa hata kazi sifanyi...nipo physically tu! I wish I was my own boss..walahi ningeondoka saiv nikalale home.

Halafu mwambie dada ako mwallu aache kunzingua!!!!
 
Last edited by a moderator:
Mimi hapa hata kazi sifanyi...nipo physically tu! I wish I was my own boss..walahi ningeondoka saiv nikalale home.

Halafu mwambie dada ako mwallu aache kunzingua!!!!

Yani nilivyoanza kusoma post yako tu nikaanza kufurahi! Ulivyo mtaja na mwallu ndo nikacheka Zaidi! Maana dada yng huyo kwa vichekesho ni balaa!

Cc mwallu
 
Last edited by a moderator:
MKuu Ntuzu hakuna sare pale matokeo yatakuwa 3-2 au 2-1 au 3-1. Subiri muda ufike.
Hayo ni maneno kutoka Kigogo Lkn kutoka ulaya na kwa wataalam Wa soccer wengi wanasema sare yeyote ile! Alafu wewe unakuja na vichekesho vyako!
 
THEY ALSO HAVE TO STOP US

Hayo ni maneno ya Mourinho ktk wavuti ya habari ya Chelsea!

Wiki iliyopita Tulikua na mijadala mbali mbali hasa hii game ya Leo! Na ktk michango mingi tuligusia kua Lazima na wao vichwa vinawauma ni namna gani wawazuie Chelsea! Huu ukweli unadhihirika toka kwa Mourinho mwenyewe akitia mkazo Wa kushambulia tu na kuwahimiza wachezaji wake kutumia uwezo wao kushambulia na kucheza mpira!

Maneno km haya ametoa Fenandinho kwamba unapo cheza na timu kubwa Lazima uwe makini na ucheze kwa tahadhari Kwani Ukifanya kosa kidogo Lazima upigwe! Kwahiyo Fenandinho anaangalia ni namna gani ya kuweza kuwazuia wachezaji Wa Chelsea!

Ni mchana sasa muda unazidi kujongea kuelekea Etihad!

Cc agosti 8 Mentor


Leo kocha kapanga kama ninavyotaka: kati atacheza Nemanja Matic na Lampard. Kushoto atacheza beki wa ajabu "the wonder boy" Cesar Azp.#28, ili awachanganye vijana wa City. Babu Eto'o atasimama karibu kabisa na goli..kumbukeni tulivyowafanya Mwanitesa United. Etooooo
 
MKuu Ntuzu hakuna sare pale matokeo yatakuwa 3-2 au 2-1 au 3-1. Subiri muda ufike.


Mkuu kushinda Hilo ndo lengo letu! Ila nilikua namuweka sawa huyo Kigogo kutokana na ubezaji wake kwa chelsea wakati ulaya kwenyewe watu kura zinaharibika!
 
Last edited by a moderator:
Baada ya Matic na Lampard mbele kidogo wapangwe Hazard William Ramires na Eto'o

Ili sub tuwe na Oscar Obi Schuller na Ba Luiz na Cole na kipa mmoja!
 
Bila Shaka sura pale mbele zitakua Negredo, Dzeko, Silva, J Navas, Toure, Fenandinho. Mbadala Wa Hawa ambae ni tegemezi ni nani?
ndetichia
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom