Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Imetumika hela nyingi sana kusajili kundi la ng'ombe badala ya wachezaji. Usajili wote huo team bado inacheza hivi?

Huyu Jackson ni kiazi tu na kama mtamtegemea awape magoli basi mtasubiri sana.

Sterling ilitakiwa awe uarabuni huko..!
 
Imetumika hela nyingi sana kusajili kundi la ng'ombe badala ya wachezaji. Usajili wote huo team bado inacheza hivi?

Huyu Jackson ni kiazi tu na kama mtamtegemea awape magoli basi mtasubiri sana.

Sterling ilitakiwa awe uarabuni huko..!
Huyo big asser hakuna lolote
 
Imetumika hela nyingi sana kusajili kundi la ng'ombe badala ya wachezaji. Usajili wote huo team bado inacheza hivi?

Huyu Jackson ni kiazi tu na kama mtamtegemea awape magoli basi mtasubiri sana.

Sterling ilitakiwa awe uarabuni huko..!

Jackson Mchezaji mzuri sana, basi tu timu mbovu
 
Imetumika hela nyingi sana kusajili kundi la ng'ombe badala ya wachezaji. Usajili wote huo team bado inacheza hivi?

Huyu Jackson ni kiazi tu na kama mtamtegemea awape magoli basi mtasubiri sana.

Sterling ilitakiwa awe uarabuni huko..!
Ng'ombe wenzako wako London wewe uko Handeni baada ya kuswagwa na serikali na bado una guts ya kusema lolote hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom