Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umesahau picha Mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mkuu I wish nikuone[emoji1787]
Huwa unanipa raha sana kwa kwenye huu uzi wa waja laana chelshit

Sent using Jamii Forums mobile app
Anne nimeipenda footer signature yako
 
Pochettino amemwambia Ian Maatsen anamuhitaji kwenye kikosi cha kwanza
Taarifa zinadai kuwa Maatsen akibaki atacheza No. 10 au winga wa kulia ambapo pia kuna Angelo Gabriel na Noni Madueke
Mwanzoni mwa mwezi wa sita kinda huyo wa academy mwenye miaka 21 sasa alitakiwa kuuzwa kwa pauni milioni 20 ila baada ya kufanya vizuri sana kwenye michuano ya pre-season kocha wake Pochettino amwemuweka sasa kwenye mipango yake ya kuichezea Chelsea kwenye nafasiz a ushambuliaji. Hata hivyo taarifa zinadai kuwa Chelsea inaweza kumruhusu kuondok kama anataka kwa sasa sera ya sasa ya uongozi wa timu na kocha ni kubasajili na au kuwabakiza wachezaji tu wanaopenda kubaki, kujitoa kwa timu na walio tayari kusikiliza na kutekeleza maagizo ya kocha.
1691255354869.png
 
Makipa woote wakifumaniwa huwa wanakaa kwanza kutuliza presure

 
Mpaka Sasa Chelsea wametumia €180m kwa usajili Kama sijakose

Sajili zenyewe ndio Kama hizi,[emoji107][emoji107][emoji107]

Dirisha likifungwa utasikia mmetumia €300m
20230806_060626.jpg
 
Huku mtaani/ground, mashabiki wa hii timu hawakijui kikosi chao.

Ukimuuliza mshabiki wa Arsenal, Nyumbu au Livekuku, atakutajia kikosi chote. Atakupa strong first 11, substitution, everything yani.

Ila mashabiki wa hii, hata first eleven yao hawaijui kulaaleki. Hawawajui wachezaji wao kabisaaaaaaaaa.

Chelshit=Wrexham
 
Huku mtaani/ground, mashabiki wa hii timu hawakijui kikosi chao.

Ukimuuliza mshabiki wa Arsenal, Nyumbu au Livekuku, atakutajia kikosi chote. Atakupa strong first 11, substitution, everything yani.

Ila mashabiki wa hii, hata first eleven yao hawaijui kulaaleki. Hawawajui wachezaji wao kabisaaaaaaaaa.

Chelshit=Wrexham
pre-season ni kujaribu kila mchezaji, ninyi hamna wachezaji wa kuwajaribu, timu ile ile ya ligi ndio inacheza pre season

Sisi tumecheza na Wrexham tukawabandua 5-0 na timu isiyojulikana. Tunegeweka first team tungewala 10+

Tuache longo longo, tukija mtaani hata ninyi manyumbu, masenali na malivakuku sio wote wa mtaani wanajua timu wengi fuata upepo hata hawafuatilii news za timu zao.

Humu jamii forums na wale wa twitter wengi wanajua timu zao kwa sababu wanafuatilia,
 
Sasa wakisajili pesa si zao unafikiri hao matajiri wana mkono wa birika kama kroenke kinachofanyika Chelsea huwezi kuelewa nyie kondoo
Acha ujuaji ,mpira mchezo wa wazi, hata last season mlikuwa wabishi baadae maji na mafuta yalijitenga ,

Hizi sajili za watoto na kuwatoa mikopo wakati senior team bado haijatengemaa itawagharimu, tuliona mliposajili kwa kukurupuka kina Cucurela ,Sterling, n.k kwa £600m Nini kilitokea ,

Kroenke sio bahili Kama unavyodai, kafatilie kaichukua Arsenal rasmi lini
 
Acha ujuaji ,mpira mchezo wa wazi, hata last season mlikuwa wabishi baadae maji na mafuta yalijitenga ,

Hizi sajili za watoto na kuwatoa mikopo wakati senior team bado haijatengemaa itawagharimu, tuliona mliposajili kwa kukurupuka kina Cucurela ,Sterling, n.k kwa £600m Nini kilitokea ,

Kroenke sio bahili Kama unavyodai, kafatilie kaichukua Arsenal rasmi lini
Hakuna unachojua kuhusu uwekazaji wa chelsea tulia hivyo hivyo hizo hela za usajiri hazitoki mfukoni kwako hao watoto wacha wasajiliwe na ndo mfumo wetu wa sasa
 
Chelsea still need💰£90M+Addons for Caicedo + £20M for Taylor Adams to improve their midfield with an undisputed starter and the bench players who would provide quality rotation. #CFC already have #EnzoFernandez, #Santos and #Gallagher at their disposal.
1691307828343.png
 
Majibu ya Roberto De Zerbi kuhusu Caicedo kurejea mazoezini yanaonyesha kuwa "Caicedo kwenda Chelsea" iko karibu na hivi karibuni tutasikia "Here we go"

Brighton wanasema Caicedo ana majeruhi lakini kambi ya Caicedo wao wanaema tofauti. Mchezaji kagoma kucheza ili ailazimishe Brighton kumruhusu ahamie Chelsea. Ukichanganya na majibu ya kinyonge ya kocha wake na story hii ya kambi ya Caicedo ukaunganisha dots utagundua kuwa wiki ijayo ni wiki ya kazi moto kweli kweli. Chelsea wakiboresha ofa yao, Caicedo anakuja darajani
1691352776684.png
 
Nyie wehu hawa YOSO mnao wasajili ndiyo wafanye nn EPL?
Mtakua wa 14 league ya 2023/24
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom