Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Done Deal
Screenshot_20230803-161501_Instagram.jpg
 
Mimi nimewaangalia Sana , Poch ni kocha mzuri Kama mtafanikiwa kusajili DM na CM wengine hata wawili ,Basi Mimi nawaweka ahead of manjesta ,mpira ni mchezo wa wazi, kocha mnaye ila mna shida kwenye recruitment

Sanchez sio GK wakumpa changamoto Kepa

Had leo hamna DM
Teh.. uzuri mimi kabl ya kuwa shabiki wa Chelse ni shabiki wa mpira. Ukimuweka Keppa na Sanchez huwe,i kuchagua Keppa lazima umchukue Sanchez kwa sababu ni mrefu futi 6, anaanzisha mashambiluzi, anapiga pass fupi na ndefu. Hivi ni vitu vichache ambavyo kwa Keppa ni mtihani mzito. Tuache kujiropkea ili mradi tu
 
Teh.. uzuri mimi kabl ya kuwa shabiki wa Chelse ni shabiki wa mpira. Ukimuweka Keppa na Sanchez huwe,i kuchagua Keppa lazima umchukue Sanchez kwa sababu ni mrefu futi 6, anaanzisha mashambiluzi, anapiga pass fupi na ndefu. Hivi ni vitu vichache ambavyo kwa Keppa ni mtihani mzito. Tuache kujiropkea ili mradi tu
Huu ushabiki utakuja kuwaua ,nakumbuka wakati mnamsajili Kepa nilikuwa nasema HUYU KEPA MMEPIGWA , ubishi ulikuwa mwingi Sana

Mpaka alipokuja kuwa dropped

Sanchez Hana anachomzid kepa sio kwenye shot stopping Wala footwork
 
Huu ushabiki utakuja kuwaua ,nakumbuka wakati mnamsajili Kepa nilikuwa nasema HUYU KEPA MMEPIGWA , ubishi ulikuwa mwingi Sana

Mpaka alipokuja kuwa dropped

Sanchez Hana anachomzid kepa sio kwenye shot stopping Wala footwork
Wewe huna unachojua. Ngoja ligi ianze uje uumbuke hapa
 
Kwa nilichokiona katika mexhi yetu dhidi ya Dortmund. Kwamza kiuchezaji naona wanajituma kitimu zaidi ila changamoto iliyopo bado kuna haja kubwa ya proper DM ndio maana Brighton wanatubania Caicedo kwa sababu hata wao wameona uhitaji tulionao. Tukija kwa mchezaji mmoja mmoja naumia sana na Sterling sijui ana shida gani jamaa. Mwaka jana nilidhani pengine sababu ni kocha ila kiukweli hata chini ya Poch sioni akibadilika. Mbaya zaidi hiki ni kipindi tunamuhitaji yeye zaidi kuliko anavyoruhitaji kwa sababu ya uzoefu zaidi
Mbona hujamsema Cucu, ana mguu wa laana yule, Silly mistakes ni Nyingi
 
Mimi nimewaangalia Sana , Poch ni kocha mzuri Kama mtafanikiwa kusajili DM na CM wengine hata wawili ,Basi Mimi nawaweka ahead of manjesta ,mpira ni mchezo wa wazi, kocha mnaye ila mna shida kwenye recruitment

Sanchez sio GK wakumpa changamoto Kepa

Had leo hamna DM
Japo hawawezi kumfikia Caicedo ila Lesley na Santos ni DM wazuri in one or two seasons to come kama tukiwapa muda wa kucheza this season au wapelekwe mkopo kwenye ligi yenye ushindani.
Galagher anafaa sana kwenye DM kama akiwa chini ya kocha anayejua kumnoa vizuri. Anajuhudi na hachoki kwenye kupress, tatizo lake ni umakini tu kwenye kukaba
 
Lesley Ugochukwu na Moises Caicedo wanafanana katika kukaba LAKINI Caicedo ni mwerevu na mwenye ufanisi kuliko Ugochukwu ambaye anakaba tu bila kuona mahali ambapo mpira unahitajika kwenda. Natumai ataimarika katika eneo hilo kadiri muda unavyosonga na kadiri anavyoendelea kupata uzoefu

1691128886024.png
1691128974655.png
 
Salama mkuu, Thankx, tunasubiria msimu uanze. Turudi hapa kushabikia chama letu

Zakaria alikuja kutalii darajani kwa mkopo amerudi Juve.

Can't wait to see your comments.

Ngoja tusubiri tuone.


Kumbe amerudi kwao jamani
Anaachaje mshahara wa bure mtam nyamnyam?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tupo pamoja mr. Hamisi 77. Pia utambue tu kuwa sisi kwenye ligi hatutakuwa na presure ya kugombania chochote ila ninyi mnakazi Sana
Unafikiri kwanini msiwe na presha?
You have all what it takes kugombea ubingwa.
Kocha mzoefu
A good squad on paper
Quality maeneo mengi
Good financial backup
A good history related to trophies recently

Mnachokosa kwangu mimi ni chemistry tu na sina wasiwasi poch atawaunganisha vizuri
 
Unafikiri kwanini msiwe na presha?
You have all what it takes kugombea ubingwa.
Kocha mzoefu
A good squad on paper
Quality maeneo mengi
Good financial backup
A good history related to trophies recently

Mnachokosa kwangu mimi ni chemistry tu na sina wasiwasi poch atawaunganisha vizuri
Kugombea ubingwa mzee hapana hatuna kikosi cha kuogopesha na bado tuna mapungufu eneo la kiungo matarajio yetu labda turudi top 4
 
Unafikiri kwanini msiwe na presha?
You have all what it takes kugombea ubingwa.
Kocha mzoefu
A good squad on paper
Quality maeneo mengi
Good financial backup
A good history related to trophies recently

Mnachokosa kwangu mimi ni chemistry tu na sina wasiwasi poch atawaunganisha vizuri
Hii rebuilding iliyofanyika na bado inaendelea kufanyika ni kubwa mno. Imechukua takribani wageni ni 80%
Wa first team ni kama 8/11 ambayo ni sawa na 82%
Katika estimate ya squad ya watu 25 only Broja, Silva, James, Chilwell na Kepa ndio wamebaki
Katika first team ni watatu tu ambao ni James, Chilwell na Silva
Sasa hii 80% ya wageni watahitaji chemistry ya maeneo kama sita (6)
  1. Chemistry ya Mchezaji kwa mchezaji ijengwe vizuri
  2. Wachezaji na kocha pamoja na benchi la ufundi
  3. Wachezaji na mji wa London
  4. Wachezaji na uwanja wa Standford Bridge
  5. Wachezaji na mashabiki
  6. Watahitaji pia ku adapt mikiki mikiki na playing style ya EPL
Hiyo chemistry itahitaji muda wa msimu mmoja hadi miwili kujengeka vizuri na kuanza kuwa title contendars
Ambacho tunaweza kugombea kwa sasa ni makombe madogo pamoja na top 4, Mungu akiwa upande wetu tunaweza rudi top 4
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom