Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mimi nimemwelewa Wenger; Bada hajarudiana na Manchester United; eti anaogopa Mata anaweza kuleta madhara kwenye timu yako pindi watakapokutana. Huo ndo uoga wa Wenger. Hoja ya MP nayo haina msingi; nafikiri MP ana "mtima nyongo" na JM.

Now kwa nini Chelsea walaumiwe kwa hili? Kama Moyes akija na offer ya kumtaka Hazard ambayo ni kubwa to the extent that you can't turn it down, utakataa kufanya biashara kisa eti itakuwa so "unfair" kwa Arsenal?
 
kwa kiwango bado zizou yupo juu ila mara nyingi zizou alikua na back up nzuri kuanzia juve,madrid na timu ya taifa. Ila kama haggi naye angepata back up nzuri kama ya zizou nadhani angelindwa vizuri


Je ktk timu ya Arsenal au Chelsea tumewahi au tutapata viungo Km Zizou?
 
Kama ni hivyo then nani alaumiwe? Chelsea? Mourinho?

Kwani wao ndo walioweka January transfer?

Kwani Man City na Arsenal walimtaka Mata, Chelsea wakakataa?

Hawapaswi kumlaumu mtu! Ila ni kutokujiamini tu kwa Hao wanaopiga kelele!
 
EMT umepotea sana mwanga; karibu lakini! Ok ngoja tuchangamshe agenda kidogo: kuhusu viungo washambuliji wa timu yetu na mchango wao katika timu:

Kwa chelsea kwa sababu tumeaumua kucheza 4-2-3-1; nafikiri hapo mkuu ntuzu utakuwa unazungumzia "wale watatu" Hazard-Oscar-Willian au Hazard-Oscar-Schurrle, au Hazard-Oscar-Mo Salah. au vipi? Yaani nani anaweza kucheza vizuri eneo hilo?

Yap ata Hao Mkuu tunaweza kuwazungumzia huku tukijaribu kulinganisha na nguli wengine duniani!
 
Je ktk timu ya Arsenal au Chelsea tumewahi au tutapata viungo Km Zizou?

bado sijaona kama atapatikana ila kuna watu kama joe cole alikua vizuri sana ktk nafasi hiyo alipokua westham ila alipoenda chelsea akawa anawekwa kama winga ila kama angekua anacheza kama alivokua westham halafu akawa na watu wa kumlinda lazma angekua mbali sana joe cole.
 
bado sijaona kama atapatikana ila kuna watu kama joe cole alikua vizuri sana ktk nafasi hiyo alipokua westham ila alipoenda chelsea akawa anawekwa kama winga ila kama angekua anacheza kama alivokua westham halafu akawa na watu wa kumlinda lazma angekua mbali sana joe cole.

Ni kweli Mkuu!

Vipi watu Km Frederick Lumbarg na Frenky Lampard-viwango vyao Hao watu unavionaje?
 
Kwa Uingereza kiungo ambaye hata Zizzou mwenyewe alikuwa akimkubali ni Paul Scholes.....huyu jamaa, kwa Uingereza hadi sasa hakuna kiungo kama yeye....

467790fc55e14e20bac3e65d5446c623.jpg
 
Kwa Uingereza kiungo ambaye hata Zizzou mwenyewe alikuwa akimkubali ni Paul Scholes.....huyu jamaa, kwa Uingereza hadi sasa hakuna kiungo kama yeye....

467790fc55e14e20bac3e65d5446c623.jpg

Mkuu Nzi Asante sn kwa Mchango wako ata Mimi Naikumbuka kz ya Huyu mtaalamu vizuri sn Hasa Lile goli lake ktk game ya UCL second leg dhidi ya Barcelona pale Old Traford baada ya uzembe aliofanya Zambrota na Paul akatumia nafasi hiyo kuwaazibu Barc kwa goli Zuri sn!

Mbali ya ufungaji Wa magoli mazuri alikua ni mtoaji mzuri Wa pasi na kukaba pia!
 
Last edited by a moderator:
:fish: nyinyi pigeni kelele weee,mou anafanya yake na mimi nasubiria gemu na man city tu ndio kipimo chaNGU TOSHA NDANI YA ETIHAD NIKIWAFUNGA NDIO NJIA YA UBINGWA NYEUUUPEEEE,arsenal hawezi chukua hii ndoo ngumu sana anagemu ngumu sana hapo kati kabla hajakutana na bayern so watch it out meeeen:A S 27:
 
Ni fitna za mou hizo kuibust kidogo man u ambao wamelala ili yeye asogee pale juu kufanikisha kampeni zake,kama alikuwa muuzaji why asingemuuza mapema mpka kasubiri game ya man u imeisha ndio kamuuza?why aligoma kuwapa Ba arsenal?
Fitna za mou muulize AVB na Brendan rodgerz,amewageuza wenzie maskauti wa kutafuta wachezaj yeye abebe kiubwete,hapana chezea makonde yule ni shidah
 
mmh!bado bado kdg ingawa mi ntaenda italy kuna jamaa anaitwa Pirlo,huyu ni hatari



Mkuu kwa Pirlo uko sawa Mkuu! Kazi yake na Mchango wake yeye na jamaa Yake Seedorf Hasa wilipokua pale Milan ulikua mkubwa sn! Pirlo ni Fundi Mkuu!
 
Ni kweli Mkuu!

Vipi watu Km Frederick Lumbarg na Frenky Lampard-viwango vyao Hao watu unavionaje?

hapa mtoe huyo msweden mweke Steven Gerrad,paul schols,yaya toure,juninho,xavi hernandez
 
FRANK LAMPARD hana mpinzani; ni kiungo aliyefunga magoli mengi zaidi kwenye PREMIER LEAGUE.
Ni kweli Mkuu!

Vipi watu Km Frederick Lumbarg na Frenky Lampard-viwango vyao Hao watu unavionaje?
 
Jose Mourinho = Genius "the special one"
Ni fitna za mou hizo kuibust kidogo man u ambao wamelala ili yeye asogee pale juu kufanikisha kampeni zake,kama alikuwa muuzaji why asingemuuza mapema mpka kasubiri game ya man u imeisha ndio kamuuza?why aligoma kuwapa Ba arsenal?
Fitna za mou muulize AVB na Brendan rodgerz,amewageuza wenzie maskauti wa kutafuta wachezaj yeye abebe kiubwete,hapana chezea makonde yule ni shidah
 
nimesikia kuwa match yetu na man city imepelekwa mbele, naomba nijuzwe wadau itakuwa lini
 
Ntuzu nashukuru kwa taarifa,
arsenal leo wametoa suluhu, sasa tupo kwenye nafasi nzuri ya kuendelea kupanda juu, maana naona arsenal ameamua kutuachia njia kabla hajakutana na man u anayoiogopa kwa kuuziwa matta
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom