Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ninachopenda na kufurahi ni zile kauli za akili za Jose!

Hii inatujenga kiakili sn!

Timu nyingi zimekua zikifika Etihad zinafungwa kubwa na Ndogo vibaya sn tena kwa idadi kubwa ya mogoli lkn kwa timu yetu Hilo halitotokea! Mkakati Wa kuwafunga city na kuwakaba kabisa mpk wapoteane uko jikoni Na unapikwa!
 
Timu ni muhimu kuliko mchezaji? Timu = wachezaji. Mchezaji mmoja siyo timu. Timu ni wachezaji wote, uongozi, kocha na mashabiki. Juan Mata ameikuta na ameiacha Chelsea; kwake kucheza kombe la dunia ni muhimu kuliko sisi kushinda mataji. :shock:
Ninachopenda na kufurahi ni zile kauli za akili za Jose!

Hii inatujenga kiakili sn!

Timu nyingi zimekua zikifika Etihad zinafungwa kubwa na Ndogo vibaya sn tena kwa idadi kubwa ya mogoli lkn kwa timu yetu Hilo halitotokea! Mkakati Wa kuwafunga city na kuwakaba kabisa mpk wapoteane uko jikoni Na unapikwa!
 
Ninachopenda na kufurahi ni zile kauli za akili za Jose!

Hii inatujenga kiakili sn!

Timu nyingi zimekua zikifika Etihad zinafungwa kubwa na Ndogo vibaya sn tena kwa idadi kubwa ya mogoli lkn kwa timu yetu Hilo halitotokea! Mkakati Wa kuwafunga city na kuwakaba kabisa mpk wapoteane uko jikoni Na unapikwa!


Jose Mourinho alimwambia kijana abadilike ili apate nafasi ya kucheza. timu ikifungwa anafukuzwa kocha siyo mchezaji. ni vizuri washabiki tuelewe hilo. Mtu wa kumhurumia sana ni kocha kwa sababu yaye anabeba mzigo wa lawama kama timu haifanyi vizuri. Kocha ana mamlaka ya kupanga kikosi ambacho anaamin kitaleta ushindi. Our legends like Didier Drogba alikaa Chelsea miaka 8. Hakuwa na haraka hadi akahakikisha analeta ndoo ya Champions League ndo aende. Frank Lampard alikuwa tayari kukatwa mshahara ili mradi apate mkataba wa kuendelea kutumikia Chelsea.
 
ili Manchester United wamtumie Mata itabidi wabadili mfumo wao: Man United wamezoea 4-4-2 au mara chache wanacheza 4-2-3-1. Sasa ili Mata apate nafasi ya kuanza na kuleta matunda nawashauri:

Itabidi Man Utd wacheze 4-3-3.
Maana yake itabidi "watani" wachezeshe washambuliaji 3; Mata-Rooney-Van Persie.
Lakini kwa sababu Mata hawezi kucheza pembeni kwa mafanikio itabidi Rooney acheze pembeni? MKifanya hivyo Rooney atakimbia Man Utd mwezi wa 7.
Mata atasababisha United wabadili mambo mengi. Yeye hataki kubadilika ila anataka timu ibadilike kwa ajili yake. Subirini mtaona.
 
Kweli kabisa.
Mkuu ninachoshukuru mashabiki Wa Chelsea wana Imani Kali sn na hii inajengwa Na Jose!

Yani tumejengwa kila kitu! Na ukisoma maelezo ya Jose baada ya kupangwa ratiba Jana utaona wazi kabisa dhamira Yake ni Nini.

Safi sn Mkuu! Tuko na wakati mzuri sn sasaivi na tunakwenda kuushangaza ulimwengu!

Hizi game zanikumbusha Kipindi kile ratiba ya Chelsea na Barcelona Mara kwa Mara au Chelsea na Liverpool marakwamara kwenye UCL!

In Chesea and Jose We trust!
 
Hatuna cha kubishana na Man City, tutaenda kuwaonyesha pale pale kwao Etihad mara 2. Kwanza kwenye ligi, halafu baadae kwenye FA.
Baada ya gemu "songi" letu maarufu THE LIQUIDATOR litakuwa linaimbwa mwanzo mwisho; namna hii;

clap, clap, clap, clap,

Chelsea!

clap, clap, clap, clap,

Chelsea!

clap, clap, clap, clap,

Chelsea!:violin::violin::violin::clap2::clap2::clap2::horn::horn:
Ninachopenda na kufurahi ni zile kauli za akili za Jose!

Hii inatujenga kiakili sn!

Timu nyingi zimekua zikifika Etihad zinafungwa kubwa na Ndogo vibaya sn tena kwa idadi kubwa ya mogoli lkn kwa timu yetu Hilo halitotokea! Mkakati Wa kuwafunga city na kuwakaba kabisa mpk wapoteane uko jikoni Na unapikwa!
 
our fixtures:
3 Feb: A v Man City (league)

8 Feb: H v Newcastle (league)
11 Feb: A v West Brom (league)
15-16 Feb: A v Man City (FA Cup)
22 Feb: H v Everton (league)

26 Feb: A v Galatasaray (Champions League)

 
Maneno ya kocha Jose Mourinho kuhusu Manchester City:

:fencing:"We want to play in their stadium; the stadium where they win every game."
 
ili Manchester United wamtumie Mata itabidi wabadili mfumo wao: Man United wamezoea 4-4-2 au mara chache wanacheza 4-2-3-1. Sasa ili Mata apate nafasi ya kuanza na kuleta matunda nawashauri:

Itabidi Man Utd wacheze 4-3-3.
Maana yake itabidi "watani" wachezeshe washambuliaji 3; Mata-Rooney-Van Persie.
Lakini kwa sababu Mata hawezi kucheza pembeni kwa mafanikio itabidi Rooney acheze pembeni? MKifanya hivyo Rooney atakimbia Man Utd mwezi wa 7.
Mata atasababisha United wabadili mambo mengi. Yeye hataki kubadilika ila anataka timu ibadilike kwa ajili yake. Subirini mtaona.

Rooney hana shida hata beki anacheza,Mata anaweza kucheza winga kushoto au kulia tatizo Jose alikuwa anamlazimisha arudi kukaba
 
We will face Man City at Etihad in this next around of FA on the weekend of 15/16 Feb, match-up that suits him just fine.

That is a good draw "Mourinho said" Our priority for the season is to emprove, and the best way to emprove is through difficult things, To play against the best team twice in 15 days in their stadium, where they win every game, smash every team, score four or five goals every game, even against arsenal, spurs, man Utd, It is good thing for us.

If we lose, we lose against the best, if we don't lose then it is fantastic. We are ready to go there, and enjoy go there with a good attitude with nothing to lose. They have everything to lose because they are the team made to win, like we were in my first time!--Jose Mourinho.

Inaleta faraja sn kusikia maneno yenye hekima na ujasiri yenye kila aina ya kujenga na kutia moyo na Ushindi Kutoka kwa Jose Mourinho!
 
our fixtures:
3 Feb: A v Man City (league)

8 Feb: H v Newcastle (league)
11 Feb: A v West Brom (league)
15-16 Feb: A v Man City (FA Cup)
22 Feb: H v Everton (league)

26 Feb: A v Galatasaray (Champions League)


Imekaa vizuri sn tutaonesha ubora wetu ktk hii ratiba!
 
Subiri utaona; na utaamini nisemayo; kuhusu Mourinho kumlazimisha kukaba ni falsafa ya kocha; sasa unataka akabe nani?

Atawafaa nyinyi msije kushuka daraja buree.
Rooney hana shida hata beki anacheza,Mata anaweza kucheza winga kushoto au kulia tatizo Jose alikuwa anamlazimisha arudi kukaba
 
Hatuna cha kubishana na Man City, tutaenda kuwaonyesha pale pale kwao Etihad mara 2. Kwanza kwenye ligi, halafu baadae kwenye FA.
Baada ya gemu "songi" letu maarufu THE LIQUIDATOR litakuwa linaimbwa mwanzo mwisho; namna hii;

clap, clap, clap, clap,

Chelsea!

clap, clap, clap, clap,

Chelsea!

clap, clap, clap, clap,

Chelsea!:violin::violin::violin::clap2::clap2::clap2::horn::horn:

Ni kweli Mkuu haina haja ya kubishana nao! Wao wakae wasubiri waje waone!
 
Rooney hana shida hata beki anacheza,Mata anaweza kucheza winga kushoto au kulia tatizo Jose alikuwa anamlazimisha arudi kukaba


Mkuu kukaba ndio msingi Wa timu kwanza then ndo unaangalia kushinda! Sasa kwa Mata hapo ndo alipwaya!

Kweli ni mchezaji mzuri lkn yeye anafikiria Zaidi kupata nafasi ktk timu Yake ya taifa kuliko mafanikio ya Club! Na ndio maana hakulizika kukaa bench!

Km kusingekua na world cup Mata asingeleta vurugu hivyo pale Chelsea!

Na pia hata Mimi mpk Saiz najiuliza pale man Utd akacheze wapi? Na kwa nafasi ya nani? Na Je anaweza kuisaidia timu? Ukishajiuliza haya yote utaona Moyes kachemka!
 
Mkuu kukaba ndio msingi Wa timu kwanza then ndo unaangalia kushinda! Sasa kwa Mata hapo ndo alipwaya!

Kweli ni mchezaji mzuri lkn yeye anafikiria Zaidi kupata nafasi ktk timu Yake ya taifa kuliko mafanikio ya Club! Na ndio maana hakulizika kukaa bench!

Km kusingekua na world cup Mata asingeleta vurugu hivyo pale Chelsea!

Na pia hata Mimi mpk Saiz najiuliza pale man Utd akacheze wapi? Na kwa nafasi ya nani? Na Je anaweza kuisaidia timu? Ukishajiuliza haya yote utaona Moyes kachemka!

Kukaba ni philosofy ya Jose hilo liko wazi timu nyingine the best way of defence it to attack,
Kitu cha ajabu Mata aliweza kupangwa na AVB,Di Mateo na Rafa na hakuna mtu aliyekuwa anasema Mata hakabi na alikuwa kipenzi cha mashabiki wa Chelsea.Kwenye timu sio lazima kila mchezaji akabe.Mfano Ozil,CR7,Gaucho,

Back to Man United, timu nzima inafanyiwa overhaul Nani,Young,Giggs,Kagawa,Cleverley huenda wakaondoka mwisho wa msimu
Hebu nitajie nani atamweka benchi pale Man United?
Mata hawezi kumaliza matatizo ya United kwa sasa but still ni usajili mzuri.
 
Umesema vizuri Belo; lakini inaonekana kipindi cha "mateso na majonzi" kwenu bado kirefu. Kwa sababu kama hana utatuzi wa haraka atashindwa kumtumia Mata vizuri. Tatizo la Man Utd kwa sasa ni pale kwenye ulinzi wa kati 4 na 5. pia kule mbele ni uzembe wa kocha ..anamweka Chicharito benchi wakati ndo mwokozi wenu huyo. Aisee. Mtaimarika msimu ujao 2014/2015.
Kukaba ni philosofy ya Jose hilo liko wazi timu nyingine the best way of defence it to attack,
Kitu cha ajabu Mata aliweza kupangwa na AVB,Di Mateo na Rafa na hakuna mtu aliyekuwa anasema Mata hakabi na alikuwa kipenzi cha mashabiki wa Chelsea.Kwenye timu sio lazima kila mchezaji akabe.Mfano Ozil,CR7,Gaucho,

Back to Man United, timu nzima inafanyiwa overhaul Nani,Young,Giggs,Kagawa,Cleverley huenda wakaondoka mwisho wa msimu
Hebu nitajie nani atamweka benchi pale Man United?
Mata hawezi kumaliza matatizo ya United kwa sasa but still ni usajili mzuri.
 
Kukaba ni philosofy ya Jose hilo liko wazi timu nyingine the best way of defence it to attack,
Kitu cha ajabu Mata aliweza kupangwa na AVB,Di Mateo na Rafa na hakuna mtu aliyekuwa anasema Mata hakabi na alikuwa kipenzi cha mashabiki wa Chelsea.Kwenye timu sio lazima kila mchezaji akabe.Mfano Ozil,CR7,Gaucho,

Back to Man United, timu nzima inafanyiwa overhaul Nani,Young,Giggs,Kagawa,Cleverley huenda wakaondoka mwisho wa msimu
Hebu nitajie nani atamweka benchi pale Man United?
Mata hawezi kumaliza matatizo ya United kwa sasa but still ni usajili mzuri.

Mkuu Km Umeona maelezo yng vzr Hakuna sehem nimemzarau Mata! Na Labda niseme tu huu msimu haukuanza vizuri kwa Mata.

Na pia ameshindwa kuonesha kiwango kizuri Km ilivyo kwa Essien na pia sababu kubwa iliyomfanya aondoke ni kukaa bench! Mata hataki!

Na Nikija ktk falsafa za mpira ziko nyingi! Lkn iyokubwa ni kukaba! Mfano, Arsenal imeweza kufika hapa Kwasababu wanakaba kwa Pamoja Karibu wote! Kwahiyo Mata Km kiungo anapaswa kukaba!

Shida ya Man Utd iko kwa Kocha na baadhi ya sehemu! Beki za Kati haziko vizuri na pia viungo Wa Kati wamechoka!
 
Mou ni mjanja sn! Kamtoa De Bruyne na Essien kaingiza Matic na Salah.

Kwa upande Wa Mata Km winga tuko na watu watatu kwa nafasi Hizo! Willian, Hazard na Schuller!
 
Umesema vizuri Belo; lakini inaonekana kipindi cha "mateso na majonzi" kwenu bado kirefu. Kwa sababu kama hana utatuzi wa haraka atashindwa kumtumia Mata vizuri. Tatizo la Man Utd kwa sasa ni pale kwenye ulinzi wa kati 4 na 5. pia kule mbele ni uzembe wa kocha ..anamweka Chicharito benchi wakati ndo mwokozi wenu huyo. Aisee. Mtaimarika msimu ujao 2014/2015.

Tatizo kubwa la Man United ni kiungo hasa defensive midfielder but msimu huu almost timu nzima imekuwa mbovu,wachezaji wote wanacheza chini ya kiwango ukiacha De Gea,Rooney na Januzaj
Tatizo lingine ni majeruhi RVP,Wazza,Carick,Rafael,Jones walikuwa muhimu last season wameumia msimu huu na wengine wameshindwa kuziba nafasi zao
 
Mou ni mjanja sn! Kamtoa De Bruyne na Essien kaingiza Matic na Salah.

Kwa upande Wa Mata Km winga tuko na watu watatu kwa nafasi Hizo! Willian, Hazard na Schuller!

Sasa hivi Wenger analalama eti ilikuwa siyo fair Chelsea kumwuza Mata Man Utd.

Hiki kibabu kinakera kaa nini vile. Kama alikuwa nazo si angemnunua yeye?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom