Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sasa hivi Wenger analalama eti ilikuwa siyo fair Chelsea kumwuza Mata Man Utd.

Hiki kibabu kinakera kaa nini vile. Kama alikuwa nazo si angemnunua yeye?

lengo la wenger kusema hivyo ilikua kureflect kitendo cha mourhnho kumkatalia Bà kwenda asenal kwa minajili ya kwamba anampa adui silaha sasa kwanin awape man u mata?
 
Sasa hivi Wenger analalama eti ilikuwa siyo fair Chelsea kumwuza Mata Man Utd.

Hiki kibabu kinakera kaa nini vile. Kama alikuwa nazo si angemnunua yeye?


Mtu mpk aseme kitu ujue yuko na sababu ya msingi! Siwezi kuzarau kauli za Wenger huenda anasababu za msingi!
 
Wakuu tumeona hivi Karibuni umuhimu Wa kiungo mkabaji ktk timu na tumewaona baadhi ya viungo wakabaji mahiri sn ktk historia ya mpira Wa miguu Na jinsi walivyotekereza majukumu Yao kikamirifu!

Leo Ningependa tujaribu kuona umuhimu Wa Attacking Midfielder ktk timu!

Na kwa kuanza tungeanza na safari ya Mzee mzima Zenedin Zidane ingawa alianzia mbali ktk soccer ila mi nataka tuangalie kazi yake nzuri aloifanya akiwa Juventus, Madrid na Mchango wake ktk timu ya Taifa ya France Pamoja na nafasi Yake alio nayo sasaiv ktk club ya Madrid , Je anaweza kujenga timu nzuri ikafika ktk kiwango alichokua nacho yeye?

Na Je kuna viungo wengine waliwahi kufikia au kukaribia kiwango cha Zidane? Kwa mfano Clarence Seedorf etc?
Na Je tutakuja pata viungo Km Zidane au Seedorf ktk soccer la hivi Karibuni au itatuchukua muda mrefu sn?
Waku

Cc rockcity Native Mentor agosti 8
Belo Sizinga Balantanda Nzi Wacha Mbu DullyJr ndetichia na wengine wote wapenda mpira, nawakilisha.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu tumeona hivi Karibuni umuhimu Wa kiungo mkabaji ktk timu na tumewaona baadhi ya viungo wakabaji mahiri sn ktk historia ya mpira Wa miguu Na jinsi walivyotekereza majukumu Yao kikamirifu!

Leo Ningependa tujaribu kuona umuhimu Wa Attacking Midfielder ktk timu!

Na kwa kuanza tungeanza na safari ya Mzee mzima Zenedin Zidane ingawa alianzia mbali ktk soccer ila mi nataka tuangalie kazi yake nzuri aloifanya akiwa Juventus, Madrid na Mchango wake ktk timu ya Taifa ya France Pamoja na nafasi Yake alio nayo sasaiv ktk club ya Madrid , Je anaweza kujenga timu nzuri ikafika ktk kiwango alichokua nacho yeye?

Na Je kuna viungo wengine waliwahi kufikia au kukaribia kiwango cha Zidane?

Waku

Cc rockcity Native Mentor agosti 8
Belo Sizinga Balantanda Nzi Wacha Mbu DullyJr ndetichia na wengine wote wapenda mpira, nawakilisha.

kwa nafasi yake pale madrid ni vigum sana kwa watu walio nje ya timu ya madrid kujua mchango wake. Ila kuna vijana kama varane,rodriguez ni sehemu ya mchango wa zizou pale madrid.. Ila ukitaja attacking midfilderz usimsahau george Haggi.
 
Last edited by a moderator:
kwa nafasi yake pale madrid ni vigum sana kwa watu walio nje ya timu ya madrid kujua mchango wake. Ila kuna vijana kama varane,rodriguez ni sehemu ya mchango wa zizou pale madrid.. Ila ukitaja attacking midfilderz usimsahau george Haggi.


Ni kweli Mkuu lkn kwa Wapenzi Wa soka Lazima waone Mchango wake ktk ufundi na kusaka vipaji!

Eeh Huyu George Haggi alikua na kiwango cha kumzidi babu Zidane?
 
Huyu Mromania George Haggi amecheza soccer Mara ya mwisho 2001 akiwa Garatasaray ya Uturuki Na pia amewahi kuchezea Madrid Na Barcelona! Nae ni miongoni mwa viungo washambuliaji mahiri sn!

Kwa wale wanaomfahamu vzr G Haggi mnaweza mlinganisha na Zizou?
 
lengo la wenger kusema hivyo ilikua kureflect kitendo cha mourhnho kumkatalia Bà kwenda asenal kwa minajili ya kwamba anampa adui silaha sasa kwanin awape man u mata?

That was 2013. Kwani Wenger alimtaka Mata kwenye transfer ya Januari 2014 akakataliwa?
 
Mtu mpk aseme kitu ujue yuko na sababu ya msingi! Siwezi kuzarau kauli za Wenger huenda anasababu za msingi!

Sababu za msingi ndiyo zipi hizo? Kwa nini asiseme hizo sababu za msingi akasikilizwa? Anazificha za nini? Ni siri?

Nimemsikia pia kocha wa Man City akilalama, but it is not Chelsea's fault.

Mtu akija na pesa nzuri huwezi kumkatalia eti kwa sababu the player will play against Arsenal/Man City mara tatu.

Walio-set huo muda wa usajili should have known that na kama wanaona kuna tatizo warekebishe.

Sasa Wenger anailalamikia Chelsea kwani wao ndiyo wanaoset hizo transfer timetables? Apeleke malalamiko yake sehemu husika.

Kocha wa Man City anakuja na argument kuwa the best way is to sell the player abroad?

Why abroad? What kama mchezaji anataka kubakia in the Premiership?

Why sell the best players abroad? I would like the best players to remain in the Premiership rather than being sold abroad.
 
Wakuu tumeona hivi Karibuni umuhimu Wa kiungo mkabaji ktk timu na tumewaona baadhi ya viungo wakabaji mahiri sn ktk historia ya mpira Wa miguu Na jinsi walivyotekereza majukumu Yao kikamirifu!

Leo Ningependa tujaribu kuona umuhimu Wa Attacking Midfielder ktk timu!

Na kwa kuanza tungeanza na safari ya Mzee mzima Zenedin Zidane ingawa alianzia mbali ktk soccer ila mi nataka tuangalie kazi yake nzuri aloifanya akiwa Juventus, Madrid na Mchango wake ktk timu ya Taifa ya France Pamoja na nafasi Yake alio nayo sasaiv ktk club ya Madrid , Je anaweza kujenga timu nzuri ikafika ktk kiwango alichokua nacho yeye?

Na Je kuna viungo wengine waliwahi kufikia au kukaribia kiwango cha Zidane? Kwa mfano Clarence Seedorf etc?
Na Je tutakuja pata viungo Km Zidane au Seedorf ktk soccer la hivi Karibuni au itatuchukua muda mrefu sn?
Waku

Cc rockcity Native Mentor agosti 8
Belo Sizinga Balantanda Nzi Wacha Mbu DullyJr ndetichia na wengine wote wapenda mpira, nawakilisha.

Hii post sioni kama ni relevant saana kwenye huu uzi.

Ungekuwa unawaongelea viungo wa Chelsea labda ungeeleweka.

Lakini kama unawaongelea viungo in general, then hapo nafikiri utahitaji thread yake.
 
EMT umepotea sana mwanga; karibu lakini! Ok ngoja tuchangamshe agenda kidogo: kuhusu viungo washambuliji wa timu yetu na mchango wao katika timu:

Kwa chelsea kwa sababu tumeaumua kucheza 4-2-3-1; nafikiri hapo mkuu ntuzu utakuwa unazungumzia "wale watatu" Hazard-Oscar-Willian au Hazard-Oscar-Schurrle, au Hazard-Oscar-Mo Salah. au vipi? Yaani nani anaweza kucheza vizuri eneo hilo?
Hii post sioni kama ni relevant saana kwenye huu uzi.

Ungekuwa unawaongelea viongo wa Chelsea labda ungeeleweka.

Lakini kama unawaongelea viongo in general, then hapo nafikiri utahitaji thread yake.
 
Karibu mwana jamvini; duuh muda mrefu sana mkuu.
Hii post sioni kama ni relevant saana kwenye huu uzi.

Ungekuwa unawaongelea viongo wa Chelsea labda ungeeleweka.

Lakini kama unawaongelea viongo in general, then hapo nafikiri utahitaji thread yake.
 
Sababu ya msingi ndiyo ipi hiyo? Kwa nini asiiseme hiyo sababu ya msingi akasikilizwa? Anaificha ya nini? Ni siri?

Nimemsikia pia kocha wa Man City akilalama, but it is not Chelsea's fault.

Mtu akija na pesa nzuri huwezi kumkatalia eti kwa sababu the player will play against Arsenal/Man City mara tatu.

Walio-set huo muda wa usajili should have known that na kama wanaona kuna tatizo warekebishe.

Sasa Wenger anailalamikia Chelsea kwani wao ndiyo wanaoset hizo transfer timetables? Apeleke malalamiko yake sehemu husika.

Kocha wa Man City anakuja na argument kuwa the best way is to sell the player abroad?

Why abroad? What kama mchezaji anataka kubakia in the Premiership?

Why sell the best players abroad? I would like the best players to remain in the Premiership rather than being sold abroad.


Mkuu kutokana na maoni yako Naona Wenger na Pellegrine hawakupenda man Utd ipate mchezaji Wa kiwango kikubwa na kwakua wanatakiwa kukutana na Man Utd Wao hawajapenda!

Kitu kingine sijapata sababu za Wenger na Pellegrine za undani Kwanini wanapiga kelele?!
 
Mimi nimemwelewa Wenger; Bada hajarudiana na Manchester United; eti anaogopa Mata anaweza kuleta madhara kwenye timu yako pindi watakapokutana. Huo ndo uoga wa Wenger. Hoja ya MP nayo haina msingi; nafikiri MP ana "mtima nyongo" na JM.
Sababu ya msingi ndiyo ipi hiyo? Kwa nini asiiseme hiyo sababu ya msingi akasikilizwa? Anaificha ya nini? Ni siri?

Nimemsikia pia kocha wa Man City akilalama, but it is not Chelsea's fault.

Mtu akija na pesa nzuri huwezi kumkatalia eti kwa sababu the player will play against Arsenal/Man City mara tatu.

Walio-set huo muda wa usajili should have known that na kama wanaona kuna tatizo warekebishe.

Sasa Wenger anailalamikia Chelsea kwani wao ndiyo wanaoset hizo transfer timetables? Apeleke malalamiko yake sehemu husika.

Kocha wa Man City anakuja na argument kuwa the best way is to sell the player abroad?

Why abroad? What kama mchezaji anataka kubakia in the Premiership?

Why sell the best players abroad? I would like the best players to remain in the Premiership rather than being sold abroad.
 
Hii post sioni kama ni relevant saana kwenye huu uzi.

Ungekuwa unawaongelea viongo wa Chelsea labda ungeeleweka.

Lakini kama unawaongelea viongo in general, then hapo nafikiri utahitaji thread yake.

Ni kweli Mkuu lkn mi nilipenda kuiweka humu na kuwaalika wenzetu na ktk kuchambua tungeweza kuwafikia mpk wachezaji Wa Chelsea Km Lampard etc!

Kwa kuchangamsha Thread yetu nilifikiri hivyo!

Unaweza ukaendelea na Mchango!
 
Sababu za msingi ndiyo zipi hizo? Kwa nini asiseme hizo sababu za msingi akasikilizwa? Anazificha za nini? Ni siri?

Nimemsikia pia kocha wa Man City akilalama, but it is not Chelsea's fault.

Mtu akija na pesa nzuri huwezi kumkatalia eti kwa sababu the player will play against Arsenal/Man City mara tatu.

Walio-set huo muda wa usajili should have known that na kama wanaona kuna tatizo warekebishe.

Sasa Wenger anailalamikia Chelsea kwani wao ndiyo wanaoset hizo transfer timetables? Apeleke malalamiko yake sehemu husika.

Kocha wa Man City anakuja na argument kuwa the best way is to sell the player abroad?

Why abroad? What kama mchezaji anataka kubakia in the Premiership?

Why sell the best players abroad? I would like the best players to remain in the Premiership rather than being sold abroad.
Acha ushabiki, tafuta details ya nini Wenger aliongea!
 

Kwa chelsea kwa sababu tumeaumua kucheza 4-2-3-1; nafikiri hapo mkuu ntuzu utakuwa unazungumzia "wale watatu" Hazard-Oscar-Willian au Hazard-Oscar-Schurrle, au Hazard-Oscar-Mo Salah. au vipi? Yaani nani anaweza kucheza vizuri eneo hilo?

Hazard-Oscar- William. Hao wengine ni substitutes au kama hao watatu wameumia.

Personally, I think William is better than Mata, hasa kwenye working rate.

Mata mzuri sana wakati timu yake ikiwa na mpira lakini ni liability kubwa pale ambapo timu yake haina mpira.

He can't even tackle. Unakumbuka jinsi Yahaya Toure alivyokuwa anam-bully?
 
Ni kweli Mkuu lkn kwa Wapenzi Wa soka Lazima waone Mchango wake ktk ufundi na kusaka vipaji!

Eeh Huyu George Haggi alikua na kiwango cha kumzidi babu Zidane?

kwa kiwango bado zizou yupo juu ila mara nyingi zizou alikua na back up nzuri kuanzia juve,madrid na timu ya taifa. Ila kama haggi naye angepata back up nzuri kama ya zizou nadhani angelindwa vizuri
 
Acha ushabiki, tafuta details ya nini Wenger aliongea!

Sasa kama alitoa sababu kwa nini huyo niliyemjibu alisema alikuwa na sababu za msingi kusema it was unfair?

Badala ya kurukia you should have read my post in the context ya niliyem-quote. Otherwise, ni kujipendekeza.
 
EMT umepotea sana mwanga; karibu lakini! Ok ngoja tuchangamshe agenda kidogo: kuhusu viungo washambuliji wa timu yetu na mchango wao katika timu:

Kwa chelsea kwa sababu tumeaumua kucheza 4-2-3-1; nafikiri hapo mkuu ntuzu utakuwa unazungumzia "wale watatu" Hazard-Oscar-Willian au Hazard-Oscar-Schurrle, au Hazard-Oscar-Mo Salah. au vipi? Yaani nani anaweza kucheza vizuri eneo hilo?

Mkuu i thought nimesoma mahali Mo Salah atakuwa akigombea namba na Hazard kama ambavyo Schurlle atagombea na Willian...?
 
Mkuu kutokana na maoni yako Naona Wenger na Pellegrine hawakupenda man Utd ipate mchezaji Wa kiwango kikubwa na kwakua wanatakiwa kukutana na Man Utd Wao hawajapenda!

Kama ni hivyo then nani alaumiwe? Chelsea? Mourinho?

Kwani wao ndo walioweka January transfer?

Kwani Man City na Arsenal walimtaka Mata, Chelsea wakakataa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom