Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mimi naona hata kama tukiwa na wachezaji wazuri sana, bado msimu ujao tutastrugle sana, tukibahatisha sana ni Conference au tukikaza zaidi ni Europa
Sababu kuu, kila mtu pal,e atakuwa ni mgeni hadi kocha
Mwenyeji pale ni wachezaji wanne tu
  1. Kepa
  2. Silva
  3. Chilwell
  4. James
Ila 2024/25 tutaanza kutamba
 
Mimi naona hata kama tukiwa na wachezaji wazuri sana, bado msimu ujao tutastrugle sana, tukibahatisha sana ni Conference au tukikaza zaidi ni Europa
Sababu kuu, kila mtu pal,e atakuwa ni mgeni hadi kocha
Mwenyeji pale ni wachezaji wanne tu
  1. Kepa
  2. Silva
  3. Chilwell
  4. James
Ila 2024/25 tutaanza kutamba
Issue wala sio ugeni mbona TT kaja ndani ya miezi 6 ya mwisho nakabeba UEFa champions league jambo zuri ni kwamba team itaanza kujengwa kuanzia pre season
 
Issue wala sio ugeni mbona TT kaja ndani ya miezi 6 ya mwisho nakabeba UEFa champions league jambo zuri ni kwamba team itaanza kujengwa kuanzia pre season
Nazungumzia ugeni wa pande zote, TT alikuta Squad ilishakuwa ikicheza pamoja muda mrefu
Hata preseason haitasaidia kuwaleta wachezaji kujenga chemistry ya haraka haraka. Kumbuka tuko kwenye ligi yenye ushindani mkubwa, any small missing details inaiacha timu mkiani hata kama ina talents wazuri
 
Mimi naona hata kama tukiwa na wachezaji wazuri sana, bado msimu ujao tutastrugle sana, tukibahatisha sana ni Conference au tukikaza zaidi ni Europa
Sababu kuu, kila mtu pal,e atakuwa ni mgeni hadi kocha
Mwenyeji pale ni wachezaji wanne tu
  1. Kepa
  2. Silva
  3. Chilwell
  4. James
Ila 2024/25 tutaanza kutamba
Pochetino akiwa na plan nzuri, tunaweza leta ushindani
Ratiba inatufavour 1 game per week ni jambo zuri.

Conte alitumia advantage hiyo kuleta Premier league.

If Poch anaweza tumia hiyo advantage itakuwa vizuri

Cha muhim ahakikishe pre season anaitumia vizuri
 
Tanzania imejaa wajinga kweli wewe kiongozi wao,mshabiki yupi wa Chelsea katoa Hela mfukoni ,usijipe ownership ya club kama sio life time membership.Chelsea walipaswa kununua hata Kwa 1 m$ sawa tu.
2021/22 Chelsea walipata £84m kwenye TV rights. Sub-Saharan inakadiriwa kuwa na watazamaji 276m wanaotazama EPL na % kubwa ya hawa hawana membership kwenye timu wanazoshabikia.

Kusema mashabiki wa Chelsea hawachangii usajili wa timu yao ni uongo. Mapato ya timu hayatokani na membership subscription pekee.
 
Potter kuna baadhi ya wachezaji walimchoma kiongozi wao alikuwa Havertz
Angekuwa PEP angeacha huo utumbo? no. Potter naye alikuwa hana akili. Mchezaji anakuchoma halafu unambeba tu. Naomba Poche asije kuwa kama Potter wa kumvumilia mchezaji hadi anazamisha jahazi
Hiyo nafasi ya Havertz angepewaga Datro Fofana angetubeba hata kwa uchanga wake
 
Noni Madueke:“

A lot of changes are out of the players’ hands, but you roll with the punches,” says Madueke of a turbulent season at Chelsea. "

“I guess when the club wants to do something a bit special, there are bound to be changes. We’re trying to create a squad that can compete for the next 10 years."

“I definitely performed well and showed my ability, but next season you’ll see the real me."

“Next season, I want to contribute massively to Chelsea winning. That’s it. We’re all buzzing to come back in pre-season with the new manager, forget last year, and bring Chelsea back to where they’re meant to be: fighting for titles.”

Kiswahili

Pamoja na kwamba mabadiliko mengi hayapo mikononi mwa wachezaji, lakini unaviringishiwa ngumi na makonde,” anasema Madueke kuhusu msimu uliokuwa mbaya sana kwa Chelsea. "

"Nadhani klabu inapotaka kufanya kitu maalum, lazima kutakuwa na mabadiliko. Tunajaribu kuunda kikosi ambacho kinaweza kushindana kwa miaka 10 ijayo."

"Hakika nilifanya vyema na kuonyesha uwezo wangu, lakini msimu ujao utamuona Madueke halisi."

"Msimu ujao, nataka kuchangia sehemu kubwa ya ushindi wa Chelsea. Ni hivyo tu. Sote tunapigania kurudia ubora wetu kuanzia kwenye pre-season na meneja mpya, tusahau ya msimu uliopita na kuirejesha Chelsea pale ilipotakiwa kuwepo: kupigania mataji.”

ASANTE SANA MADUEKE
Muda mfupi tu na umegeuka kuongea kama Legend
Huu uzalendo huwezi ona kwa watu kama Mason Mount, Ziyech, Havertz, na wenzake. Ni watu wanaojali tu maslahi yao kwanza.

Hii hali utaikuta kwa akina
  1. James
  2. Enzo japo naye bado mgeni
  3. Rudiger - kahama lakini sidhani kama alipanga kuhama ni hali tu ya ban ilimfosi kuondoka
  4. Kante - Mungu amjalie maisha mema
  5. Na wale wa zamani kama akina Lampard,Terry, Drogba, na wengineo walikuwa wengi
  6. Hichi kizazi cha sasa kuwapata hawa malegend wazalendi ni nadra sana
1687444142516.png
 
Kai Havertz and Mason Mount replacement:
Sources:
Chelsea have a shortlist of potential replacements ready if they sell both Kai Havertz and Mason Mount.
The shortlisted names are
  1. Mohammed Kudus of Ajax,
  2. Florian Wirtz of Bayer Leverkusen, and
  3. Dominik Szobozlai of RB Leipzig.
  4. James Maddison of Leicester City, and
  5. Gabri Veiga of Celta Vigo.
1687462736524.png
 
Kai Havertz and Mason Mount replacement:
Sources:
Chelsea have a shortlist of potential replacements ready if they sell both Kai Havertz and Mason Mount.
The shortlisted names are
  1. Mohammed Kudus of Ajax,
  2. Florian Wirtz of Bayer Leverkusen, and
  3. Dominik Szobozlai of RB Leipzig.
  4. James Maddison of Leicester City, and
  5. Gabri Veiga of Celta Vigo.
View attachment 2665801
Huyo Szobozlai awe ndo priority maana anakua sana sana.
 
Huyo Szobozlai awe ndo priority maana anakua sana sana.
Hapo mimi ningempendekeza Madison, sababu tunao tallents wadogo wengi kwenye hiyo nafasi, pili Madison ana uzoefu kwenye EPL. Kumchukua Madison itakuwa na uwianoi mzuri wa umri kwenye timu ambayo hadi sasa wengi wao ni U23. So succession itakuwa homogeneous kutoka kwa Madison/Nkunku kwenda kwa akina Mudryk, Chunwuemeka, Casedei NK. Hao waliobaki akina kudus, veiga, florian na Dominik ni wazuri ila wote ni 22 kwenda chini ambao wote wanakosa uzoefu wa EPL
 
Daily news roundup - 22/6/23 :

OUTGOING NEWS :

Manchester United are hoping Chelsea accept a bid for Mount that comes close to £60m. (@JacobSteinberg )

Lukaku’s lawyer insists that Lukaku wants to stay in Europe. No talks with AC Milan. Chelsea want clubs who are interested in the player to present a “firm offer” (@FabrizioRomano)

Inter Milan hold a strong interest in Azpilicueta. (@DiMarzio)

Club to club talks have already been held about Azpilicueta, it could be another outgoing. (@FabrizioRomano)

AC Milan want to re start talks for Loftus Cheek. (@MatteMoretto) #

Chelsea have been directly informed Mount wants to move to Man United. Another bid, the third one, will arrive shortly. (@JacobsBen)

Cesar Azpilicueta wants to leave and try something new. (@FabrizioRomano)

——————————————-

INCOMING NEWS :

Chelsea are still working on Moises Caicedo, as things stand, Caicedo wants Chelsea. Personal terms “almost” agreed. (@FabrizioRomano)

“Chelsea are working on Mason Mount sale, and then will bid for Caicedo” 👀 🔵 (@FabrizioRomano on Instagram)

Chelsea feel they are in control with Caicedo, Caicedo has said YES to Chelsea, but still no bid as Chelsea are VERY busy with the Saudi deal, it’s 3 players at once, new communication and lots of contracts to check. (@FabrizioRomano)

——————————————-

CLUB NEWS :

BREAKING NEWS : Chelsea FC have acquired a stake in Strasbourg. It’s done. (@Romain_Molina)

Chelsea’s new owners have provided detailed information to the Premier League who are satisfied there is no conflict of interest between PIF and the Chelsea ownership group. (@Tom_Morgs @TeleFootball)

Chelsea have purchased close to a 100% stake in Strasbourg. Reports suggest the deal is worth £65m. (@JacobSteinberg @ed_aarons)

Blueco's goal, supported by the Clearlake fund, is to invest at the first team or academy level in a financially sound club with high growth potential. With these new means, Strasbourg hopes to stabilize between 4th and 8th place in Ligue 1. (@lequipe)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom