Hizo ni tetesi tu subiri mpaka dirisha lifungwe ndio uanze kubweka kwani umesahau dili la mudryk?Nyie ndugu zetu ,tuachieni Kai ,tuna kazi nae ,View attachment 2657453
Kai akienda Arsenal tutakuja kulia hapa, ni moja kati ya wachezaj wenye vipaji sema yupo kwenye team ambayo inaattacking mbov kwa sasa na inakosa kocha.Nyie ndugu zetu ,tuachieni Kai ,tuna kazi nae ,View attachment 2657453
Now tunafanya mambo kimya, huku tukijaribu kuuza.Kwanini mpaka Sasa ishu ya Caicedo mpo kimya ? Kuna Nini
Arsenal wamesema wakimaliza dili la Rice (£100m) wanamgeuia Caicedo ambaye anaondoka kwa £70-75m tu
Kwanini Chelsea wapo kimya ?
Kumbuka Caicedo anataka kucheza UCL
Hatuna mfumo maalum, ndio maana tunahangaika.Sisi tunaye mchawi pale darajani
Haiwezekani wachezaji waje wacheze vibaya huku na wakitoka wakacheze vizuri nje ya Chelsea
View attachment 2656404
Tunasajili 2 mid dirisha hiliKante kasepa
Kova anasepa
Gorginho alishasepa
Kiungo pekee mwenye Angalau Ni Enzo
Mnahitaji usajili wa makini kusuka Midfield, bado eneo la Attacking mnahitaji maboresho
Sio kwa ubaya ila naiona Chelsea iki struggle Tena msimu ujao
Kwahiyo hutaki tuzungumzie?Hizo ni tetesi tu subiri mpaka dirisha lifungwe ndio uanze kubweka kwani umesahau dili la mudryk?
Huyu ballera si type ya Liver kabisaNow tunafanya mambo kimya, huku tukijaribu kuuza.
Endapo tukisajil sasa, tutakuwa na pressure kubwa ya kuuza. Na lazima tuuze
Nahisi tutegemee 3-4 tutakaowasajil.
Ila ni vile tu kuna viungo wazuri wapo
Veiga,
Zubimendi
Florentino Luis
Lavia
Barella tho naona 80% anajiunga Newcastle
Newcastle wanakaribia kumsajili,Fikiriq kiungo cha Guimares,Barella na Joelinton.Huyu ballera si type ya Liver kabisa
Haendi huyo anabaki au real yye mjinga aende timu mbovu kabisaHatuna mfumo maalum, ndio maana tunahangaika.
Ili wachezaj waanze kufanikiwa lazima tuwe na style yetu ya uchezaji, mpira wa sasa umebadilika hii sioo 2010 kushuka chini,
Now team zinawekeza na zina style yao ya uchezaj sisi hatuna ndio maana ni ngumu kwa baadhi ya wachezaj kungara.
Ukitaka kuamini subir Kai aende Arsenal na ule uchezaj wao Tutaanza kulia.
Nilitaka kusema hii point, HAvertz na Mount kwenda kwenye rival team tunajitengenezea mauaji ya kimbari. Sisi tumeamini kabisa Havertz ni mbovu wakati sisi ndio wenye mfumo mbovu wa kushambulia na pia tuna wachezaji wengi wanaonungunika hasa baada ya UEFA 2021Kai akienda Arsenal tutakuja kulia hapa, ni moja kati ya wachezaj wenye vipaji sema yupo kwenye team ambayo inaattacking mbov kwa sasa na inakosa kocha.
Ila huyu Kai akienda pale kwa Arteta tutakuwa tumefanya mistake ile ile kama ya KDB n Salah.
Bado sana mkuu, wataendelea kushindania top 4, kwanza hii nguvu waliotumia msimu huu wa kuingia top 4 na ukachanganya watakuwa kwenye mashindano makubwa msimu ujao wataona nyota zoteNewcastle wanakaribia kumsajili,Fikiriq kiungo cha Guimares,Barella na Joelinton.
Naona kabisa Next season Newcastle target yao itakuwa ni kuanza kupigania makombe
Kabisa aisee wamenitisha sana hawa watuNewcastle wanakaribia kumsajili,Fikiriq kiungo cha Guimares,Barella na Joelinton.
Naona kabisa Next season Newcastle target yao itakuwa ni kuanza kupigania makombe
Leteni 70 hiyo tuipeleke kwa CaicedoKama kaongea Sami Mokbel Basi huenda mkatuuzia Kai
Hatupo mbali ,mkishusha Bei kidogo ,kazi Kwisha
[emoji599]Arsenal willing to pay 60m including addons for Havertz. Chelsea holding out for 70m. Arsenal willing to pay over 200k a week wages. Havertz keen on the move. Arsenal will go for Havertz once Rice Deal is done
(@SamiMokbel81_DM - Tier 1)
Mbona mna usongo wa kuwasajili hawa wachezaji mlikuwa mnawakandia sana? Ila kwa Kai mnapata mchezaji mwenye sifa zote, mrefu, intelligent, mfungaji wa magoli machache lakini muhimu. Pia ni passer mzuri kwenye difficult situationsKama kaongea Sami Mokbel Basi huenda mkatuuzia Kai
Hatupo mbali ,mkishusha Bei kidogo ,kazi Kwisha
[emoji599]Arsenal willing to pay 60m including addons for Havertz. Chelsea holding out for 70m. Arsenal willing to pay over 200k a week wages. Havertz keen on the move. Arsenal will go for Havertz once Rice Deal is done
(@SamiMokbel81_DM - Tier 1)
Chelsea ina wachezaji wazuri wengi Talent ,ila wamekosa mtu wakuwaunganisha , Kama unakumbuka lampard aliposhindwa ,Tuchel aliweza bila kusajili wapyaMbona mna usongo wa kuwasajili hawa wachezaji mlikuwa mnawakandia sana? Ila kwa Kai mnapata mchezaji mwenye sifa zote, mrefu, intelligent, mfungaji wa magoli machache lakini muhimu. Pia ni passer mzuri kwenye difficult situations
Kai mchezaji wa hovyo. Ass anal watupe tu hela tuwauzie, hat wakimtaka bure tuwape.Newcastle wanakaribia kumsajili,Fikiriq kiungo cha Guimares,Barella na Joelinton.
Naona kabisa Next season Newcastle target yao itakuwa ni kuanza kupigania makombe