Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

@Mkohoti kwakuwa anakuja Arsenal au?

Caicedo nae mbovu?View attachment 2656389
Comparison ya Rice na Caisedo defensive aspects kwa msimu wa 22/23 kwa epl tu

Caisedo kamuacha mbali sana Rice mr Mpunga
1686683395838.png
 
Kante kasepa

Kova anasepa

Gorginho alishasepa

Kiungo pekee mwenye Angalau Ni Enzo


Mnahitaji usajili wa makini kusuka Midfield, bado eneo la Attacking mnahitaji maboresho

Sio kwa ubaya ila naiona Chelsea iki struggle Tena msimu ujao
 
Kante kasepa

Kova anasepa

Gorginho alishasepa

Kiungo pekee mwenye Angalau Ni Enzo


Mnahitaji usajili wa makini kusuka Midfield, bado eneo la Attacking mnahitaji maboresho

Sio kwa ubaya ila naiona Chelsea iki struggle Tena msimu ujao
Caseido anatua Chelsea na striker kati ya vlahovic au osimhen.
 
Kante kasepa

Kova anasepa

Gorginho alishasepa

Kiungo pekee mwenye Angalau Ni Enzo


Mnahitaji usajili wa makini kusuka Midfield, bado eneo la Attacking mnahitaji maboresho

Sio kwa ubaya ila naiona Chelsea iki struggle Tena msimu ujao
Caicedo anaenda Chelsea kwa sababu anataka kupata mafanikio uefa
 
Kwani hapo umeona Nini? Hiyo ni comparison ya Rice & Caicedo

Mm nawashangaa baadhi mnaoponda Uwezo wa Rice

Soon mtmponda na Caicedo
Nimeona defensive action parameter ambayo huwa haipo kwenye stats
Caisedo kwa mfano tu tackles za EPL anazo 100 wakati Rice anazo kwenye 79 kama sijakosea
 
Kante kasepa

Kova anasepa

Gorginho alishasepa

Kiungo pekee mwenye Angalau Ni Enzo


Mnahitaji usajili wa makini kusuka Midfield, bado eneo la Attacking mnahitaji maboresho

Sio kwa ubaya ila naiona Chelsea iki struggle Tena msimu ujao
Unaweza ukawa correct kwa sababu hawa wamarekani hawajitambui kabisa, mpaka timu ishuke daraja ndipo wajue nini cha kufanya kwa wakati sahihi. Too much much know
 
Kante kasepa

Kova anasepa

Gorginho alishasepa

Kiungo pekee mwenye Angalau Ni Enzo


Mnahitaji usajili wa makini kusuka Midfield, bado eneo la Attacking mnahitaji maboresho

Sio kwa ubaya ila naiona Chelsea iki struggle Tena msimu ujao
Wa maana tuliyempoteza hapo ni Kante tu
 
BREAKING NEWS:
Chelsea's striker search leads to talks for Villarreal's Nicolas Jackson. - the 21-year-old got 9 goals in his last 8 La Liga matches, - He is available and valued at around £30m:
1686742741001.png
 
Niliwahi kusema huu mwaka utakuwa wa kujiokotea wachezaji Chelsea ,baada ya kufanya Usajili wa kukurupuka

() Arsenal would be prepared to step up their interest in Havertz if his price tag dropped significantly,they are unwilling to pay more than about £50 million for him. (@Matt_Law_DT)
 
Kama tunamsajili huyu wakina FOFANA,BROJA wanafanya nini
Atakaye zubaa atauzwa for sure na nina wasiwasi na Broja
Kuna mashabiki ahwajui kuwa ununuzi wa mchezaji ni gambling. Hatuwezi acha kununua eti kwa vile tuna Broja au Datro wasipoishi kwenye matazamio ya kuwanunua. Hata hivyo tutahitaji striker sio chini ya Tatu, wawili first team na wa tatu backup. Huyo ambaye hatajituma tutamfanya backup au kumtoa mkopo. Kumbuka pia mchezaji anaweza kiwango chake kikapanda sana mara unasikia my drema team is Real Madrid au Barcelona kama alivyotufanyia Hazard. So wache wote waje mmoja akidinda tunauza
 
Inadaiwa Victor Osimhen hana mpango wa kusaini mkataba mpya na hivyo Napoli wanalazimika kumuuza.
Wakala wake ameshaitaarifu timu itaje bei kwa sababu kuna order ya Chelsea na PSG mezani

Mkataba wake unaisha 30 June 2025

1686751178550.png
 
@Mkohoti kwakuwa anakuja Arsenal au?

Caicedo nae mbovu?View attachment 2656389
Sijasema ni mbovu kisa anakuja arse88, angalia hat post zangu za nyuma kipindi cha nyuma anahusishwa na chelsea nilipinga kuwa ni mchezaji wa kawaida,. hata leo hii akaja chelsea bado atakua mchezaji wa kawaida, caseido amemwacha mbali sana ubwabwa.
Mkifanikiwa kumchukua Caceido mtakua mmechukua mtu, ila sio huyo Joghinho wa kingereza.
 
Kwanini mpaka Sasa ishu ya Caicedo mpo kimya ? Kuna Nini

Arsenal wamesema wakimaliza dili la Rice (£100m) wanamgeuia Caicedo ambaye anaondoka kwa £70-75m tu

Kwanini Chelsea wapo kimya ?

Kumbuka Caicedo anataka kucheza UCL
Ndoto y mchezaji ni kuchukua UCL sio kuja Arse88 kushiriki UCL. na kuishia kuchabangwa goli 10.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom