lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,709
- 25,953
Chelsea kununua share chache kwenye timu ya Sporting Lisbon ili kumpata Manuel Ugarte. Sasa mchezaji hana choice, mktaba wa miaka 8 (2023-2030
Gazeti moja la Ureno la @lequipe limedai kuwa kama dili hili litakamilika basi UEFA wataingilia kati kuchunguza na hadi mkataba wa miaka 8 kwani madili kama haya hayajawahi kutokea kwenye football
Gazeti moja la Ureno la @lequipe limedai kuwa kama dili hili litakamilika basi UEFA wataingilia kati kuchunguza na hadi mkataba wa miaka 8 kwani madili kama haya hayajawahi kutokea kwenye football