Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chalobah amekataa ofa kutoka Intermilan, amesema yuko tayari kubaki Chelsea na kupigania nafasi yake
Anatarajia kukutana na Pochettino kujadili nafasi inayomfaa pale kwenye first team

View attachment 2643033
MChezaji wa hovyo, Aende tu. Mchezaji gani asiyejua kupga pasi.
Huyu akipangwa first team ndio nitaanza kumtilia mashaka Poch na uwezo wake wa ukocha.
 
MChezaji wa hovyo, Aende tu. Mchezaji gani asiyejua kupga pasi.
Huyu akipangwa first team ndio nitaanza kumtilia mashaka Poch na uwezo wake wa ukocha.
Kocha akisha sema anamtaka ameona kitu kwake. Huyo Chalobah mimi sioni tatizo lake, errors anazofanya kwa umri wake huwa inatokea kwa baadhi ya wachezaji. The positive side ya Chalobaha anajituma sana na ni mpambanaji. Mfano alipocheza kwenye RB alicheza vizuri kuliko anavyocheza kwenye nafasi ya CB. Namini Pochettino atamgroom
 
Chelsea could offer Brighton the chance to sign Levi Colwill on loan as part of a deal for Moisés Caicedo.

1685728593820.png
1685728603821.png
 
Real Madrid wameonyesha nia ya kumsajili Havertz
Chelsea wako wazi kwa timu yeyote itakayomuhitaji Havertz ila sio kwa bei ndogo wala mkopo
Chelsea kwa sasa inamdhaminisha Havert kwenye Mil 75

1685729867300.png
 
Huu utapeli ambao mnataka kuwafanyia manjesta Pepo mtasikia tu


Mount kwa €80m?

Roy Keane:

"Sioni mount akitoboa manjesta,Kama mount alishindwa kuingia kwenye kikos Dhaifu Cha Chelsea ,€80m utakuwa utapeli wa kutisha "
🤣🤣🤣 Acha tuwapige kama waliweza kupigwa na Ajax kwa Antony paund 100M sisi ni nani tusiwapige
 
Enzo Fernandez kakaa tu miezi minne darajani lakini kashavunja rekodi nyingi, je akikaa miaka 10?
Kwa rekodi hizi Benefica tumewaibia kwa hiyo Paundi mil 106 (Potter alisema kwa hiyo bei amekuwa overpriced, hajui asemalo). Huyu ndie top player, hahitaji kuadapt kwenye ligi mpya kama hao wengine, Hahitaji kocha fulani ndie wa kuendana naye. Kocha yeyote na ligi yeyote, surely yeye ni GOAT
  1. Enzo Fernandez signed by a British record fee
  2. Registered more successful long balls (133) than ANY other player in the Premier League since his debut in February for Chelsea
  3. Registered more successful attacking third passes (318) than ANY other player in the Premier League since his debut in February for Chelsea
  4. Registered more progressive passes (168) than any other Chelsea player managed all season in the Premier League.
  5. Registered most through balls completed (11) by any Chelsea player this season though out the whole Premier League season.
  6. Registered more passes (1,418) in the Premier League than the likes of Casemiro (1,412), Christian Eriksen (1,391), Mateo Kovacic (1,309), Kevin De Bruyne (1,357) and Joao Palhinha (1,267).
  7. Registered more successful long balls (133) and more successful attacking third passes (318) than ANY other player in the Premier League since his debut in February for Chelsea
  8. completing more successful long balls per 90 in the Premier League (7.7)
  9. Created 20 chances for Chelsea this season in the Premier League since February
1685780968233.png
 
Real Madrid wanatoa Dola mil 75 kwa Havertz
Wengine mnasemaje, auzwe asiuzwe?
Topokee tukatae?
1685782003883.png
 
Hakuna mchezaji ananikera na sitaki kumusikia ni huyu.. kama hawezi kuuzwa atolewe hata kwa mkopo.
Wewe uangalii mpira, Kai anahold mpira na pia anajua kuangalia uelekeo wa mpira shida kubwa ni hatuna mchezaji wa mwisho hivyo analazimishwa kuwa mchezaji wa mwisho. Mchezeshe Kai nyuma ya mshambuliaji utaona vitu vyake.
 
Wewe uangalii mpira, Kai anahold mpira na pia anajua kuangalia uelekeo wa mpira shida kubwa ni hatuna mchezaji wa mwisho hivyo analazimishwa kuwa mchezaji wa mwisho. Mchezeshe Kai nyuma ya mshambuliaji utaona vitu vyake.
Mnamtetea tu mchezaji gani kalegea kama anakula mlenda.
 
Wewe uangalii mpira, Kai anahold mpira na pia anajua kuangalia uelekeo wa mpira shida kubwa ni hatuna mchezaji wa mwisho hivyo analazimishwa kuwa mchezaji wa mwisho. Mchezeshe Kai nyuma ya mshambuliaji utaona vitu vyake.
mimi huwa nashangaa watu wanaangaliaga mpira kutokea wapi. Kai Hvertz akicheza wide ni mzuri, tatizo huku chelsea tumemfanya striker na muda mwingi yuko out of position akijaribu kucheza wide na kwa mtindo huo lazima ataacha nafasi yake. Mbali na kuhold mipira bado mzuri kwenye kupitisha mipira hadi zile impossible passes
 
Sources za uhakika kule Ureno zinadai deal la Manuel Ugarte ni kama tayari
Offer ya mshahara Chelsea wamepandisha hadi mil 3.5

Sporting - Notícia Record: negócio está fechado e Ugarte vai ser reforço do Chelsea

Kwa kiingereza

Deal closed and Ugarte will join Chelsea



- @Record_Portugal

Chelsea, advancing on Manuel Ugarte deal and very confident — negotiation not closed or completed yet. There are still things, details left to get it sealed

#CFCChelsea cautious on Ugarte deal until they arrive to documents stage after Enzo saga with Benfica in January.

-Fabrizio Romano

1685822634906.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom