Lenye mwanzo halikosi kuwa na Mwisho. Ila Kwenye Era yetu Ngolo Kante alikuwa ni Kiumbe cha aina yake. Yule ni Binaadamu wa Sayari yake tofauti na Hii Dunia. Heshima zote kwake siku zote na popote atakapokuwa katika maisha yake ya SokaThomas Tuchel on Kanté : "He is our Mo Salah, our Van Dijk, and our De Bruyne.“He is simply that player. He is our Neymar, our Kylian Mbappe; he is the guy who makes the difference, and if you only have him at 40 percent, it is a huge problem."Goodbye Legend.
View attachment 2648973
Aiseeeh....mabingwa wa kusajili,uwanjani SUFRI



Hakuna timu itamtaka huyu jamaa. Ukimuona hapo utasema bonge la mchezaji.-Fabrizio Romano reports
Malang Sarr won’t join AS Monaco on permanent deal and returns to Chelsea, director Paul Mitchell confirms #CFC
“Malang unfortunately got an injury, a muscular abdominal injury in training a few months ago _ Malang has already gone back to Chelsea”, via
@GFFN
.
View attachment 2650354
Sijui Chelsea waliona nini kwa huyo dogoHakuna timu itamtaka huyu jamaa. Ukimuona hapo utasema bonge la mchezaji.
Sisi Arsenal tunamalizia dili la Rice,had jumamos litakuwa tayariKuna kila dalili akina Boehly watafanya blunder kubwa kuliko ile ya mwanzo, na kama hizi hisia zangu ni kweli basi Chelsea itashuka daraja
Wewe unamuacha Kante aondoke na huku unashupalia mishahara ya chini hadi unpigwa bao ya Ugarte na sasa pia Arsenal wanaweza kutupiga bao la Caisedo. Lavia ni kiungo mzuri lakini hatakiwi aje kuwa regular starter
Huyu Colwill tulimtaka aje Arsenal awe starter kabisa mwaka Jana, Mkatubania , Maskauti walisema ni Moja ya LCB Bora kabisa ,Kama Brighton ndio wangekuwa wanamuuza Colwill wangemuuza kwa Mil ngapi za Paundi
Nadhani wangemuuza kwa Paundi mil 80, sasa kwa nini wao wanataka kutuibia kwa paundi mil 40?
Sema Chelsea wajanja Sana , hasara mliyokula msimu uliopita Kuna uwezekano asilimia kubwa mkairudishaMason Mount to Man U
Mason Mount = £50m + Harry Maguire
Unasemaje mwana Chelsea, si wangetoa hiyo 50 bila Magwaya?
Sis tunawataka wote msijipe mahope makubwa sana kihivyoSisi Arsenal tunamalizia dili la Rice,had jumamos litakuwa tayari
Kuhusu Caicedo ,Chelsea ndio wapo mbele zaidi , itategemea na uharaka wenu kumaliza dili
Japo tunawataka wote RICEDO ,
Rice Bei yake ni £75-80m tu, Safari hii tuna pesa ya kutumia Hadi £230m hivi
Bado naipa Chelsea asilimia kubwa kwenye dili la Caicedo
Rahm nae anabaki anafanya nni nae kwa nni asiuzwe tuMpango wa Chelsea kuwauza wachezaji wengi kwa mpigo unamadhara makubwa kwenye mapato ya timu kwani wanunuzi wataweka bei ya chini pungufu ya bei ya soko. Na Chelsea isipowauza wachezaji basi itazuia mpango wa kununua wachezaji hawa watatu; kiungo msaidizi wa Enzo, mshambuliaji wa daraja la dunia na golikipa wa daraja la juu pamoja na replacement ya akina Mount, Kante, Havertz, Kovacic nk.