Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Title contenders next season
  1. Man City
  2. Newcastle
  3. Arsenal
  4. Man united
  5. Liverpool
  6. Chelsea
City ni wa uhakika lakini hizo zingine itategemea na makosa ya kiutendaji kwa bodi, wamiliki au kocha hasa kwenye mahusiano na wachezaji na usajili wa wachezaji watakaoweza kuziba mapengo yaliyojitokeza msimu huu
Chelsea wakirekebisha makosa ya kiuzembe yaliyojitokeza msimu huu kwa wamiliki, bodi na maamuzi ya kumleta kocha asiyeweza kuvaa viatu vya Chelsea, tunaweza kuwa contender wazuri kweny ubingwa
 
Chelsea has now submitted to Sporting CP an official proposal for Manuel Ugarte with a bid which
@Record_Portugal can exclusively reveal matches €60m of the clause + another €5m through objectives.
1685441675531.png
 
U20 wa Chelsea wanaofanya vizuri worldcup
  1. Cesare Casadei - Italy
  2. Andrey Santos - Brazil
  3. Gabriel Slonina - USA
  4. Bashir Humphreys - UK
  5. Harvey Vale - UK
  6. Xavier Simons - UK
  7. Carney Chunkwuemeka - UK
  8. Kendry Paez - Ecuador
 
Tetesi
Nasikia kwenye majadiliano Pochettino amesema hamtaki Felix kwenye mradi wake wa Chelsea

1685445534170.png
 
Tetesi
Nasikia kwenye majadiliano Pochettino amesema hamtaki Felix kwenye mradi wake wa Chelsea

View attachment 2640240
João Félix will NOT stay at Chelsea next season. Pochettino has decided, João returns to Atléti.“We have been informed that Poch does not count with João Félix for Chelsea. He will return here, we’ll see… we’ve nothing planned”, Atlético president Cerezo has announced.
-Fabrizio Romano

Kama Pochettino kapata taarifa za ndani ya kitabia ya Felix iliyomfanya ashindwe kuelewana na Diego Simeone, nina hakika kapewa feedback na Muadjentina mwenzake. Felix anaweza kuwa mzuri kwenye mpira uwanjani lakini dressing room asiwe mzuri. Makjocha wanajua, akina Pogba uwanjani walikuwa ni wazuri lakini Dressing room walikuwa ni sumu ya kuwachonganisha makocha na wachezaji. Afanye hivyo pia kwa takataka zilzizoozea hapo Chelsea wanaoharibu dressing room wote waondolewe Chelsea izaliwe upya

1685467302408.png
 
Kabla ya World Cup, Todd Boehly na Behdad Eghbali walishakuwa na makubaliano ya mdomo na Mount ila baada ya uteuzi wa Paul Winstanley na Lawrence Stewart upepo ukabadilika ghfla. Uwepo wa magwiji wa usajili kama akina Paul Winstanley, Joe Shields na Christopher Vivell na pia baada ya akina Todd Boehly na Behdad Eghbali kuachana na kufanya shughuli za kila siku. Hawakuona umuhimu wa timu kuingia tena kwenye matumizi makubwa na hivyo kulazimisha yale makubaliano ya mwanzo yafe kifo cha mende. Uuzwaji wa Mount na baadhi ya majina makubwa pale Chelsea itasaidia sana sio tu kubalance vitabu kwa ajili ya FFP lakini pia itatoa mwanya wa kusajili wachezaji wazuri na kwa bei poa.

1685475239427.png
 
Inavyoelekea Chelea hawana mpango wa kumsajili Kante
Naona wanaweka kipaumbele kwa wachezaji wapya
Manuel Ugarte na Moisés Caicedo

Kwenye 4-3-3
Itakuwa hivi next season

Sterling --------------- Nkunku ---------------Madueke

Enzo ------------------Caisedo ----------------Manuel

Chilwell -------- Badiashile --------Silva ---------James

----------------------- Onana -----------------------

AU 4-2-3-1

------------------New Striker-------------------------

Sterling --------------- Nkunku ---------------Madueke

-----Enzo -------------------------------Manuel-----

Chilwell -------- Badiashile --------Silva ---------James

----------------------- Onana -----------------------

AU 3-4-2-1


------------------New Striker-------------------------

Nkunku --------------- ----------------------Madueke

Chilwell-----------Enzo -----------Manuel----- James

------ Badiashile --------Silva ---------Fofana------

----------------------- Onana -----------------------

Sub
  1. Kepa
  2. Justo
  3. Wesley Fofana
  4. Koulibally
  5. Cucurella
  6. Chalobah
  7. Lewis Hall
  8. Ian Maatsen
  9. Galagher
  10. Andrey Santos
  11. Carney Chunkwuemeka
  12. Mykhailo Mudryk
  13. Havertz
  14. Broja
On loan
  1. Gabriel Slonina
  2. Cesare Casadei
  3. Bashir Humphreys
  4. Harvey Vale
  5. Xavier Simons
For sale or free agent
  1. Azpilicueta
  2. Cheek
  3. Mason Mount
  4. Mateo Kovacic
  5. Hakim Ziyech
  6. Ngolo Kante
  7. Edourd Mendy
  8. Marcus Bettineli
  9. Aubameyang
  10. Christian Pulisic
  11. Romelo Lukaku
  12. Levi Colwill
  13. Ethan Ampadu
  14. Tiemoué Bakayoko
  15. Callum Hudson-OdoiLeft
  16. Malang Sarr
  17. Abdul-Rahman Baba

1685476829762.png
 
Thiago Silva…

"My whole family have fallen in love with Chelsea. My sons both play for Chelsea - Isago has extended his contract here for the next two seasons, which means we are going to be here for two years. We just hope it’s more!"

1685480342599.png
 
Inavyoelekea Chelea hawana mpango wa kumsajili Kante
Naona wanaweka kipaumbele kwa wachezaji wapya
Manuel Ugarte na Moisés Caicedo

Kwenye 4-3-3
Itakuwa hivi next season

Sterling --------------- Nkunku ---------------Madueke

Enzo ------------------Caisedo ----------------Manuel

Chilwell -------- Badiashile --------Silva ---------James

----------------------- Onana -----------------------

AU 4-2-3-1

------------------New Striker-------------------------

Sterling --------------- Nkunku ---------------Madueke

-----Enzo -------------------------------Manuel-----

Chilwell -------- Badiashile --------Silva ---------James

----------------------- Onana -----------------------

AU 3-4-2-1


------------------New Striker-------------------------

Nkunku --------------- ----------------------Madueke

Chilwell-----------Enzo -----------Manuel----- James

------ Badiashile --------Silva ---------Fofana------

----------------------- Onana -----------------------

Sub
  1. Kepa
  2. Justo
  3. Wesley Fofana
  4. Koulibally
  5. Cucurella
  6. Chalobah
  7. Lewis Hall
  8. Ian Maatsen
  9. Galagher
  10. Andrey Santos
  11. Carney Chunkwuemeka
  12. Mykhailo Mudryk
  13. Havertz
  14. Broja
On loan
  1. Gabriel Slonina
  2. Cesare Casadei
  3. Bashir Humphreys
  4. Harvey Vale
  5. Xavier Simons
For sale or free agent
  1. Azpilicueta
  2. Cheek
  3. Mason Mount
  4. Mateo Kovacic
  5. Hakim Ziyech
  6. Ngolo Kante
  7. Edourd Mendy
  8. Marcus Bettineli
  9. Aubameyang
  10. Christian Pulisic
  11. Romelo Lukaku
  12. Levi Colwill
  13. Ethan Ampadu
  14. Tiemoué Bakayoko
  15. Callum Hudson-OdoiLeft
  16. Malang Sarr
  17. Abdul-Rahman Baba

View attachment 2640796
Mpka na lev nae mnataka auzwe?
 
Kabla ya World Cup, Todd Boehly na Behdad Eghbali walishakuwa na makubaliano ya mdomo na Mount ila baada ya uteuzi wa Paul Winstanley na Lawrence Stewart upepo ukabadilika ghfla. Uwepo wa magwiji wa usajili kama akina Paul Winstanley, Joe Shields na Christopher Vivell na pia baada ya akina Todd Boehly na Behdad Eghbali kuachana na kufanya shughuli za kila siku. Hawakuona umuhimu wa timu kuingia tena kwenye matumizi makubwa na hivyo kulazimisha yale makubaliano ya mwanzo yafe kifo cha mende. Uuzwaji wa Mount na baadhi ya majina makubwa pale Chelsea itasaidia sana sio tu kubalance vitabu kwa ajili ya FFP lakini pia itatoa mwanya wa kusajili wachezaji wazuri na kwa bei poa.

View attachment 2640782
Hao magwiji wa usajiri ndio tatzo wanasajili watu wa hovyo na makocha nao hawatumiii
 
Klabu yetu tukubali ama tukatae imeharibiwa na ile zile sajili za hovyo hovyo na kukurupuka. Tumesajili wachezaji wa kawaida sana imagine leo hii yule Fofana tunataka kumtoa kwa mkopo, yaani wachezaji wengi ni wakawaida sana.
Kabla ya World Cup, Todd Boehly na Behdad Eghbali walishakuwa na makubaliano ya mdomo na Mount ila baada ya uteuzi wa Paul Winstanley na Lawrence Stewart upepo ukabadilika ghfla. Uwepo wa magwiji wa usajili kama akina Paul Winstanley, Joe Shields na Christopher Vivell na pia baada ya akina Todd Boehly na Behdad Eghbali kuachana na kufanya shughuli za kila siku. Hawakuona umuhimu wa timu kuingia tena kwenye matumizi makubwa na hivyo kulazimisha yale makubaliano ya mwanzo yafe kifo cha mende. Uuzwaji wa Mount na baadhi ya majina makubwa pale Chelsea itasaidia sana sio tu kubalance vitabu kwa ajili ya FFP lakini pia itatoa mwanya wa kusajili wachezaji wazuri na kwa bei poa.

View attachment 2640782
 
Hao magwiji wa usajiri ndio tatzo wanasajili watu wa hovyo na makocha nao hawatumiii
Ni wageni makosa yalishafanyika hata kabla wao hawajaanza kazi
Hata ule wa usajili wa Kiangazi na january haukuwa mbaya na tatizo la Chelsea kwa sehemu kubwa haiko kwa wachezaji. Liko kwenye maamuzi mabaya ya matajiri kusajili wachezaji wa kocha huyu halafu kocha anatimuliwa kocha mpya anakuja kuwaridhi wachezaji wa kocha mwingine tena ni wageni wengi wao. Jumlisha na makosa mengine mengi iliyowaacha wachezaji discouraged

performance mbaya huwezi kumlaumu kocha au wachezaji, Mangement ilifanya maamuzi mabaya bila kujali factors zingine

Sasa kwa maelezo inaonyesha akina Boehly na wenzake hawatashiriki tena kwenye day to day activities basi hao magwiji wa usajili na scouting team tuwahukumu baada ya haya makosa ya nyuma kufanyika
 
Mpka na lev nae mnataka auzwe?
Soma taarifa, Levi mwenye haitaki Chelsea na mashabiki wamekasirishwa na interview aliyofanya baada ya Chelsea nafikiri kufungwa na Manure. Yeye anataka kubaki Brighton na tukilazimisha kumleta anaweza asicheze kama alivyocheza Brighton. So always kuna options nyingi nio vyema kubaki na wachezaji ambao watakuwa Loyal kwa timu, amshabiki na kocha
 
Ni wageni makosa yalishafanyika hata kabla wao hawajaanza kazi
Hata ule wa usajili wa Kiangazi na january haukuwa mbaya na tatizo la Chelsea kwa sehemu kubwa haiko kwa wachezaji. Liko kwenye maamuzi mabaya ya matajiri kusajili wachezaji wa kocha huyu halafu kocha anatimuliwa kocha mpya anakuja kuwaridhi wachezaji wa kocha mwingine tena ni wageni wengi wao. Jumlisha na makosa mengine mengi iliyowaacha wachezaji discouraged

performance mbaya huwezi kumlaumu kocha au wachezaji, Mangement ilifanya maamuzi mabaya bila kujali factors zingine

Sasa kwa maelezo inaonyesha akina Boehly na wenzake hawatashiriki tena kwenye day to day activities basi hao magwiji wa usajili na scouting team tuwahukumu baada ya haya makosa ya nyuma kufanyika
Unafikiri matajiri hawa wa kimarekan wanaweza wakajitenga na shughuri za mpira kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom