Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,879
Mkuu wangu Ntuzu; mie namkubali Di Matteo si mchezo;
Sihitaji kumzungumzia kwa sababu kila mtu anajua alichofanya:
Kwa waisojua waulize Bayern Munich na Barcelona. Di Matteo na Gianluca Viali ni wachezaji wawili waliocheza Chelsea kwa mafanikio na wakaisaidia timu kuchukua makombe wakiwa Makocha.
Di Matteo #16.
Mkuu Nilikuuliza kwa kukuchokoza tu! Mimi mwenyewe sina namna ya kuweza kumzungumzia Huyu Di Matteo!
Mpk kesho natamani Abramovich amrudishe pale Chelsea angalau wampe kazi ya kusaka vipaji!