Unazungumzia "professional football" huku unaleta mifano ya mpira wa "ridhaa na bonanza"? sasa Mbeya City unalinganisha na Chelsea? Timu ambayo haina hata uwanja wa kuchezea mechi za ligi? Kweli umeishia mifano mwanangu; sasa naona unapagawa; wivu huo unakuchanganya unaanza kuweweseka ..ha haa ha.:laugh::laugh:
tapika tapika hadi povu la mwisho.. Timu gan inajihami hata ikicheza na mbeya city mtaweka watu 6 katika defence line