Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Bingwa anafunga mabingwa; tutawafunga Man city kama tunavyofanya siku zotu tunapotaka kuchukua ubingwa;
Kamata tano Mwanangu!
Bingwa anafunga mabingwa; tutawafunga Man city kama tunavyofanya siku zotu tunapotaka kuchukua ubingwa;
Kamata tano Mwanangu!
Tunapenda kucheza gemu "kubwa" si gemu za kawaida;
Sisi tulicheza na Barcelona tukiwa pungufu pale kwao Camp Nou na tukafanikiwa kurudisha goli 2 zote tukiwa pungufu: Walifunga goli 2 tukiwa pungufu(JT) alitolewa kwa kadi nyekundu; Tulicheza pungufu na tukawatoa nje ya mashindano (Mabingwa Watetezi wa UCL);
2. Tulicheza fainali na Bayern Munich, tulifungwa tukasawazisha; kwenye penati tulianza kukosa; hatimaye wakakosa na wao penati 2, tukaangamiza palepale barazani kwao. Cheza mbali na Chelsea bhana.
3. Napoli walitufunga mechi ya kwanza nyumbani kwao 3-1; tukaja kuwaangamiza Darajani 4-1.
Hatutishiwi na Man City hata wao wanajua; beki ya Man City ni mbovu sana; mafundi wangu Oscar-Willian-Hazard watafanya kama walivyofanya juzi na "mashetani wekundu" wanawavuta adui alafu tunacheza pasi za kupenyeza; kwa ETO'O # 29; Man City walala hoi siku hiyo.:whip:
Kula tano nyingine Mwanangu!
Hawa jamaa sijui uwambieje ili wasikie Na kuelewa kua Chelsea na Mourinho kwa ujumla ni kiboko? Au mpk utumie lugha gongana ndo watakuelewa?!
Nkwela Mentor
Timu nyingine wafungaji wa magoli wanajulikana:
Liverpool mfungaji wao ni Suarez, ambaye pia ndo anayeongoza kwa kufunga katika ligi(kama sijakosea); lakini sisi wachezaji wote wanaweza kufunga magoli:
Hazard anafunga, Oscar anafunga, Willian anafunga, Eto'o anafunga, mabeki wanafunga, hata Mikel anafunga "anapopenda mwenyewe" yaani ndo maana sisi huwezi kutuzuia; maana tukitaka kufunga tunafunga: Kama mvua vile ikitaka kunyesha itanyesha tu.:whip:
No Beautiful soccer/futbo you can watch UNDER MOURinho....PROVED!!!!!!!!!!!!!!!waambie shkhe maana kila dakika mourinho mournho. Kocha gani mwenye kikosi cha wachezaji wakubwa lakini kila kukicha anapaki bus.
No Beautiful soccer/futbo you can watch UNDER MOURinho....PROVED!!!!!!!!!!!!!!!
against Man city nahisi Mou ataenda kutafuta Pointi 1..Man city wako vizuri Etihad msimu huu..hakuna timu inayoenda Etihad kutafuta point 3..
akiwa na kikosi kamili kwenye defence...na counter attacks za Hazard & willian
gemu bado mbichi sana
KTBFFH
waambie shkhe maana kila dakika mourinho mournho. Kocha gani mwenye kikosi cha wachezaji wakubwa lakini kila kukicha anapaki bus.
No Beautiful soccer/futbo you can watch UNDER MOURinho....PROVED!!!!!!!!!!!!!!!
Subiri Tarehe 22 mwezi Wa Tatu unakuja Darajani nikuchabange!
Wewe inaonekana hata shuleni hukuwa sawa; kwa nini timu inakuwa na mabeki 4 na washambuliaji wasiozidi 3? Kwa sababu ulinzi ni muhimu. Ndo maana kunakuwa na kipa golini,. Football ni tofauti na tennis ambapo mtu anapiga tu, anapiga tu mpira bila malengo. mpira una mbinu;
Watu wangu wa nguvu niambieni kwanini kocha wetu asingemuuza mata nje ya england kwani inauma sana kumuangalia akitesa mbele yetu au imekaaje hii nijuzen!