Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Haya bossman, panga utakavyopanga list yako. Lakini dozi huikwepi ng'ooooooooooooooooooooooo


Kocha wako Pellegrine anawaza Na kuumiza kichwa namna ya kuwazuia kina Willian Oscar Hazard na Eto'o Alafu Wewe unapiga kelele! Zabaleta Na Gail na wenzake wana kz kubwa!
 
Kocha wako Pellegrine anawaza Na kuumiza kichwa namna ya kuwazuia kina Willian Oscar Hazard na Eto'o Alafu Wewe unapiga kelele! Zabaleta Na Gail na wenzake wana kz kubwa!
Laabda Willian. Hao wengine magarasa tu.
Aguero atapiga hat trick.
Yaya Toure lazima atoke na moja.
Negredo lazima amtungue Petr kamoja
City 5
Chelshit 2
 
Laabda Willian. Hao wengine magarasa tu.
Aguero atapiga hat trick.
Yaya Toure lazima atoke na moja.
Negredo lazima amtungue Petr kamoja
City 5
Chelshit 2

Siku hiyo hutomuona Toure wala Negredo wala Aguero!

Yani ni kuvunja kabisa kamfumo koote Ka city!

Dawa yenu tumeshaiweka jikoni inatokota!

Mkipona sn droo! Zaidi ya hapo tunawapiga!

Chezea mkakati Wa Jose Mourinho Wewe?!
 
Madrid hakukimbia! Mpk kesho walikua wakimtaka!

Karudi nyumbani kwenye nyumba ya furaha always!
Kwa talent ile pale Madrid ivyokuwa loaded na last year hakushinda chochote! Kocha gani asingeweza kushinda kwa ile loaded talent ya Madrid?
Halafu unasema simjui Jose? Alikuwa mzigo Madrid. Guardiolla alimtesa sana. Ngoja Guardiola aje EPL ndio utaona ngebe za Jose wako
 
Siku hiyo hutomuona Toure wala Negredo wala Aguero!

Yani ni kuvunja kabisa kamfumo koote Ka city!

Dawa yenu tumeshaiweka jikoni inatokota!

Mkipona sn droo! Zaidi ya hapo tunawapiga!
In your own dreams and imaginations!!!!!
 
Kwa talent ile pale Madrid ivyokuwa loaded na last year hakushinda chochote! Kocha gani asingeweza kushinda kwa ile loaded talent ya Madrid?
Halafu unasema simjui Jose? Alikuwa mzigo Madrid. Guardiolla alimtesa sana. Ngoja Guardiola aje EPL ndio utaona ngebe za Jose wako

Wewe Subiri uone! Alafu huyo Guardiolla ni mtoto tu kwa Jose!
 
against Man city nahisi Mou ataenda kutafuta Pointi 1..Man city wako vizuri Etihad msimu huu..hakuna timu inayoenda Etihad kutafuta point 3..
akiwa na kikosi kamili kwenye defence...na counter attacks za Hazard & willian
gemu bado mbichi sana
KTBFFH
 
against Man city nahisi Mou ataenda kutafuta Pointi 1..Man city wako vizuri Etihad msimu huu..hakuna timu inayoenda Etihad kutafuta point 3..
akiwa na kikosi kamili kwenye defence...na counter attacks za Hazard & willian
gemu bado mbichi sana
KTBFFH

Tunakwenda kushinda Etihad na Hakuna kitu kingine!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom