Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu wangu Rockcity native, hoja yako ni kwamba "zilipendwa" huzitaki nimejibu post yako.
sasa kuhusu walifungwa wapi sidhani ni hoja ya msingi:
Kwenye msimu huu hakuna timu ya top 5 ambayo imeifunga Man City isipokuwa Chelsea peke yake:
Newcastle walifungwa mechi zote:
Newcastle walifungwa mechi ya kwanza 6-3.
Liverpool walifungwa 2-1.
Spurs walifungwa 6-0.
Man Utd walifungwa 4-1.
Sasa kuna timu moja tu kiboko ya Man City kati ya timu zote kubwa Uingereza, Chelsea ndo timu pekee kwenye top 5 ambayo imemudu kuifunga Man City; mpira ni magoli:

city alifungiwa darajani mkuu mbona unataka kuchafua cv ya the citizens etihad stadium
 
RVP na Rooney wangecheza mechi ya juzi unadhani mngeshinda? Kwa defense ile? Acha ushabiki.
Subiri kipigo Etihad tena dozi

Lazima tungeshinda tu! Manuel Pellegrine anaelewa kabisa shughuli itakayomkuta! Nakushangaa Wewe unaeibeza chelsea wakati city wenyewe hawaibezi Chelsea!

Subiri mmeje muone Jose atakavyoushangaza ulimwengu!
 
Lazima tungeshinda tu! Manuel Pellegrine anaelewa kabisa shughuli itakayomkuta! Nakushangaa Wewe unaeibeza chelsea wakati city wenyewe hawaibezi Chelsea!

Subiri mmeje muone Jose atakavyoushangaza ulimwengu!
Weekend sio mbali. Usije ukakimbia jamvi tu. Let's bet if you want to.
Dozi nyingine hiyo inanukia.
M. City 5 - Chelsea 2
 
Kama defence ya nastasic na zabaleta ilivo..haters bana!!!
Bossman, kama both defenses ni mbovu atakayeshinda ni mwenye more attacking fire power
Aguero + Silva + Navas + Negredo V/S Eto'o + Oscar + Torres
Jibu unalo. Dozi inanukia
 
RVP na Rooney wangecheza mechi ya juzi unadhani mngeshinda? Kwa defense ile? Acha ushabiki.
Subiri kipigo Etihad tena dozi


Ivi City wanawachezaji gani ambao wanatisha sn au kucheza mpira sn Km Fc Barcelona? City bado hamjafikia huo uwezo na pia ata mchezaji mmoja mmoja hawajafikia Km walivyo Wa Barc! Sana Sana ni wakuhesabu! Sasa hapo kwanini mjione Nyie ndo Nyie wakati Chelsea inaisimamisha Barc Na ubora wake?

Man Utd alifungwa na city kwasababu ya uwezo Mdogo Wa Moyes! Na arsenal hakujipanga vizuri na pia Yule Beki Wa Arsenal mahili aliumia ndo maana mkawaangukia! Lkn Km angekuwepo msingeshinda hivyo!

Liverpool mliponea chupuchupu lkn alikua awapige!

Hizo Everton na Spurs Mimi sioni Km wapinzani sn Kwahiyo siwezi kuzihesabu!
 
Ivi City wanawachezaji gani ambao wanatisha sn au kucheza mpira sn Km Fc Barcelona? City bado hamjafikia huo uwezo na pia ata mchezaji mmoja mmoja hawajafikia Km walivyo Wa Barc! Sana Sana ni wakuhesabu! Sasa hapo kwanini mjione Nyie ndo Nyie wakati Chelsea inaisimamisha Barc Na ubora wake?

Man Utd alifungwa na city kwasababu ya uwezo Mdogo Wa Moyes! Na arsenal hakujipanga vizuri na pia Yule Beki Wa Arsenal mahili aliumia ndo maana mkawaangukia! Lkn Km angekuwepo msingeshinda hivyo!

Liverpool mliponea chupuchupu lkn alikua awapige!

Hizo Everton na Spurs Mimi sioni Km wapinzani sn Kwahiyo siwezi kuzihesabu!
wewe uliponea chupuchup kwa City na Pool.
Kuhusu uwezo wa wachezaji wa City, subiri uende Etihad ndio utawajua uweza wao.
Kuhusu Barca, subiri atakavyoangukia pua kwenye Champions League siku atakapocheza na City
 
Weekend sio mbali. Usije ukakimbia jamvi tu. Let's bet if you want to.
Dozi nyingine hiyo inanukia.
M. City 5 - Chelsea 2


We kweli Mbhado sn!

Jose aliwahi kufungwa goli 5 na Fc Barc yeye akiwa Madrid! Niambie ni wapi tena aliwahi kufungwa goli nyingi Km ulivyoandika?
 
Bossman, kama both defenses ni mbovu atakayeshinda ni mwenye more attacking fire power
Aguero + Silva + Navas + Negredo V/S Eto'o + Oscar + Torres
Jibu unalo. Dozi inanukia


Yani Wewe Mbhado!
Hao uliowaandika Wa city uko sawa!
Wa Chelsea ni Willian + Oscar + Eto'o + Hazard.

Yani ni dozi mbaya!
 
wewe uliponea chupuchup kwa City na Pool.
Kuhusu uwezo wa wachezaji wa City, subiri uende Etihad ndio utawajua uweza wao.
Kuhusu Barca, subiri atakavyoangukia pua kwenye Champions League siku atakapocheza na City

Utakimbia hapa jukwaani!
 
Yani Wewe Mbhado!
Hao uliowaandika Wa city uko sawa!
Wa Chelsea ni Willian + Oscar + Eto'o + Hazard.

Yani ni dozi mbaya!
Haya bossman, panga utakavyopanga list yako. Lakini dozi huikwepi ng'ooooooooooooooooooooooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom