Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,468
- 14,621
Hivi MUDY pale kafanya nini 











Sababu ambazo huwa sizielewi ni hizi za Badiashile kuanzia bench.Badiashile na Chalobah wapo bench lakini eti RLC naanza kwenye back 3
Katika maamuzi mabov Boehly aliyowah fanya nikumleta Potter, na Pride yake ndio itakayofanya tuonekane ni team ya hovyo.Taratibu tu tutakuja kuzungumza lugha moja, Potter hana uwezo wa kuipeleka popote Chelsea labda kuishusha daraja.
Kocha tu ndio hamnazo, subir timu apewe kocha anaejielewa.Murdryk mlipigwa
Potter amewehukaSababu ambazo huwa sizielewi ni hizi za Badiashile kuanzia bench.
Potter hafai hata kuwa msimamizi wa mazoezi
Huyo Todd ndio tatizo lenyewe. Hakupaswa hata kuwa sehemu ya bidders wanaotaka kuinunua Chelsea. Mpuuzi tuKatika maamuzi mabov Boehly aliyowah fanya nikumleta Potter, na Pride yake ndio itakayofanya tuonekane ni team ya hovyo.
Roman alikuwa faster kurectify mistake ila Boehly kama anaamini Potter ni mtu sahihi asitegemee tutaweza shika hata no 4 miaka yote potter atakayokuwepo.
Kocha ambae hajawai prove chochote unasema unampa mda, upuuzi kabisa
Tunawachezaj wazuri ila hatuna Kocha,