Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 4,912
- 12,988
Haya vijana wa Chelsea piteni mbele kwa majigambo
Sababu ambazo huwa sizielewi ni hizi za Badiashile kuanzia bench.Badiashile na Chalobah wapo bench lakini eti RLC naanza kwenye back 3
Katika maamuzi mabov Boehly aliyowah fanya nikumleta Potter, na Pride yake ndio itakayofanya tuonekane ni team ya hovyo.Taratibu tu tutakuja kuzungumza lugha moja, Potter hana uwezo wa kuipeleka popote Chelsea labda kuishusha daraja.
Kocha tu ndio hamnazo, subir timu apewe kocha anaejielewa.Murdryk mlipigwa