Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,879
Nimekataa kuibiwa nasema..SITAKI!
Zile dakika (kwangu zilikuwa 12) za mwanzo walicheza mpaka nikapata wasiwasi hawa middle tablers wanataka kufanya nini!
But ukweli Carrick (16) na Januzaj (44) ndio wachezaji pekee kwangu kwa jana waliocheza vizuri kwa upande wa Man UTD. Wengine wengi walikuwa wanacheza bila kujua roles zao.
Shemeji na Wewe Acha wivu mpk kwa kaka za mkeo!
Mwanangu ni kweli Januzaj na Carrick Jana wamecheza mpira sn! Kiukweli bahati haikua Yao tu! Kwasababu ktk Hizo dakika za mwanzo walifika golini kwetu na kutengeneza nafasi kadhaa bila kupata goli!
Sisi ktk Hizo dakika tulifika golini kwao mara mbili na kupata goli! Alifika kwanza Ramires then Eto'o
Kwahiyo game ilikua ngumu! Sema Mourinho Akipanga mtu kucheza humpa majukumu kuyatekereza! Na ndivyo walivyo fanya kina Willian na Hazard na Oscar na Eto'o huku wakisaidiwa na Luiz na Ramires.