Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wivu utakuua! Wawe wameanza 2004 au 1905 shida yako nini? kUna mtu amekuita kuja kutembelea Chelsea Fc thread? Acha uzushi; wewe kama kweli mtu wa la liga unaumiza roho kujibizana na watu wa Premier league? Shabikia Man utd jumapili hiyo pia timu yako.
Hata msimu wa 1994 walikuwa wapi?epl au,kasomeni data sio mnashabikia chelsea wengi wenu baada ya Abramovich kununua timu,binafsi ninaamini wengi wa washabiki wa chelsea ni mamluki na wameanza kushabikia mwaka 2004,hata everton wanashika nafasi nzuri kila msimu na hawasajili majina makubwa.
 
Hivi muda wa kuanza kushabikia timu nao ni kigezo siku hizi!??

Ingalikuwa hivyo basi mashabiki wangekuwa wakihama timu kila siku. Acha ushamba gutierez, tafuta reasonable arguments hiyo ya plastics fans ishachuja!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mentor !! Asante sn kulipamba jukwaa.

Happy One anasema game ya J2 ni mchezo hatari. Anasema tunakwenda kucheza na timu sio iko nyuma point 11 Kutoka kwa timu inayoongoza ligi! Tuna kwenda kucheza na Timu kubwa, tunakwenda kucheza na Bingwa!

Safi sn Jose. Ameanza kujenga wachezaji kisaikolojia ili waweze kua makini na kujituma uwanjani sn. Na wasiizarau hiyo game au kuizarau Man Utd.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu agosti 8 na Mentor huyo sijui Guterezo ukweli unamuumiza! Hiyo post Yangu aliyoiquote imezungumzia zama za timu kwa England. Sass Km hataki muacheni! Yani sisi tutakua tunampiga za USO na timu yetu inazidi kufanya kweli!

Ukiwa Chelsea fans bhana Yani kila siku ni FURAHA tu.

Viva Chelsea. Viva Jose Mourinho.
 
Last edited by a moderator:
Tusome data mara ngapi? Unafikiri kama wewe ni Barcelona hujawahi kufulia? Nikuulize ulikuwa unashabiki Barca wakati walipotandikwa 4-0 kwenye fainali ya 1994 na AC Milan? Unafikiri hajutui kwamba Barca tangu 2000-2003 haikuwahi kuchukua taji lolote katika kipindi hicho?
Ulikuwa wapi enzi za Diportivo la Coluna wakicheza Champions league na Barca kubaki mashabiki tu?
Unafikiri hatujui kwamba Barca imekuwa bingwa wa UCL kwa mara ya kwanza mwaka 1992? Kabla ya hapo ulikuwa mshabiki wa timu gani? Mkuu nakuheshimu; ni vizuri ukaleta hoja zenye akili; sisi pia vichwa vyetu vimejaa akili: chezea wengine
Hata msimu wa 1994 walikuwa wapi?epl au,kasomeni data sio mnashabikia chelsea wengi wenu baada ya Abramovich kununua timu,binafsi ninaamini wengi wa washabiki wa chelsea ni mamluki na wameanza kushabikia mwaka 2004,hata everton wanashika nafasi nzuri kila msimu na hawasajili majina makubwa.
 
Blue is the colour, Chelsea is the name, Football is the game, Victory is our aim; Chelsea the Champions:
Wakuu agosti 8 na Mentor huyo sijui Guterezo ukweli unamuumiza! Hiyo post Yangu aliyoiquote imezungumzia zama za timu kwa England. Sass Km hataki muacheni! Yani sisi tutakua tunampiga za USO na timu yetu inazidi kufanya kweli!

Ukiwa Chelsea fans bhana Yani kila siku ni FURAHA tu.

Viva Chelsea. Viva Jose Mourinho.


 
Hata msimu wa 1994 walikuwa wapi?epl au,kasomeni data sio mnashabikia chelsea wengi wenu baada ya Abramovich kununua timu,binafsi ninaamini wengi wa washabiki wa chelsea ni mamluki na wameanza kushabikia mwaka 2004,hata everton wanashika nafasi nzuri kila msimu na hawasajili majina makubwa.


Yani wewe ndugu Chelsea itakuumiza tu kichwa.

Ebu kua mkweli na unijibu swali langu! Timu Ambayo iliwahi kusajili majina makubwa ni R Madrid wakati Wa Figo, Zidane, Beckham Na R de Lima. Sasa tangu amekuja Abramovich Chelsea ni mchezaji gani Mwenye jina kubwa Km Hao nilio wataja amewahi kusajiliwa Chelsea? Au Chelsea inanunua wachezaji then inawategeneza na kupata majina makubwa na kua nguli?
Ukinijibu hayo maswali Yangu vizuri ntakuona una busara. Vinginevyo utakua wale HATERS...!
 
Hivi muda wa kuanza kushabikia timu nao ni kigezo siku hizi!??

Ingalikuwa hivyo basi mashabiki wangekuwa wakihama timu kila siku. Acha ushamba gutierez, tafuta reasonable arguments hiyo ya plastics fans ishachuja!

Mkuu muacheni huyo gutierez atuongezee wingi Wa page kwenye thread yetu.
 
Last edited by a moderator:
Wewe timu yako Barcelona:
Chelsea vs Barcelona statistics:
Total matches played = 15.
chelsea won =5
Barcelona won = 5
Drawn = 5
Sasa una lipi la kuidharau Chelsea FC?:boxing:
Hata msimu wa 1994 walikuwa wapi?epl au,kasomeni data sio mnashabikia chelsea wengi wenu baada ya Abramovich kununua timu,binafsi ninaamini wengi wa washabiki wa chelsea ni mamluki na wameanza kushabikia mwaka 2004,hata everton wanashika nafasi nzuri kila msimu na hawasajili majina makubwa.
 
Lengo lako kwenye mpira ni kushika nafasi nzuri au kubwa bingwa?
Lengo lako ni kusajili wachezaji wa mchangani ili timu iwe ya 7 au 8 ili iweje?
Kumbe ndo maana mmemchukua Moyes kwa sababu mnapenda kuwa #7 au 8?
Karibu sana Gutierez ndo kwanza tunaanza ...njoo tena utoe hoja zako ..
Hata msimu wa 1994 walikuwa wapi?epl au,kasomeni data sio mnashabikia chelsea wengi wenu baada ya Abramovich kununua timu,binafsi ninaamini wengi wa washabiki wa chelsea ni mamluki na wameanza kushabikia mwaka 2004,hata everton wanashika nafasi nzuri kila msimu na hawasajili majina makubwa.
 
Wewe timu yako Barcelona:
Chelsea vs Barcelona statistics:
Total matches played = 15.
chelsea won =5
Barcelona won = 5
Drawn = 5
Sasa una lipi la kuidharau Chelsea FC?:boxing:

Yah. Huo ndio ukweli! Na zote Hizo alizoshinda Fc Barcelona alishinda kwa FITINA KUBWA. Lazima Kadi nyekundu itoke na Chelsea wawe nusu! Na baadhi ya game walikua wanapewa barcelona penalty.
 
Lengo lako kwenye mpira ni kushika nafasi nzuri au kubwa bingwa?
Lengo lako ni kusajili wachezaji wa mchangani ili timu iwe ya 7 au 8 ili iweje?
Kumbe ndo maana mmemchukua Moyes kwa sababu mnapenda kuwa #7 au 8?
Karibu sana Gutierez ndo kwanza tunaanza ...njoo tena utoe hoja zako ..

Mwanangu unampiga za USO vibaya.!!!!!

Teh Teh Teh Teh! Harudi tena huyo!

Mi nataka aniambie mchezaji gani Mwenye jina kubwa Km hayo niliyo mtajia aliwahi kusajiliwa Chelsea?

Akijibu tu basi tutajua ukweli! Au anaweza akasema Eto'o? Na Torres?
 
Kuna dalili kubwa Eto'o anaweza akaanza! Maana ameanza kuvuta makumbukumbu ya kuwafunga Man Utd na kuwasumbua Akina Vidic pale Italy Mwaka 2009.

Km akianza itakua poa sn then aingie Torres dakika ya 70 ivi.
 
Kuna dalili kubwa Eto'o anaweza akaanza! Maana ameanza kuvuta makumbukumbu ya kuwafunga Man Utd na kuwasumbua Akina Vidic pale Italy Mwaka 2009.

Km akianza itakua poa sn then aingie Torres dakika ya 70 ivi.


Etoo akianza itakuwa poa, tatizo Torres wameshamzoea amecheza nao mechi nyingi sasa, huyo Eto'o watamkaba sana kama kawaida yao, watawapa mafundi mwanya wa kufunga kirahisi sana; Willian-Oscar-Hazard hiyo ni balaa kubwa sana.
 
Etoo akianza itakuwa poa, tatizo Torres wameshamzoea amecheza nao mechi nyingi sasa, huyo Eto'o watamkaba sana kama kawaida yao, watawapa mafundi mwanya wa kufunga kirahisi sana; Willian-Oscar-Hazard hiyo ni balaa kubwa sana.

Safi kabisa Mkuu!

Man Utd wanaweza wakawakosa Wayne Rooney na RVP. na majukumu yote akapewa Danny Welback!
 
Man Utd hawatoki jumapili, ningependa kama tungewatandika 5-0 kama tulivyofanya mwaka 1999.
Man Utd wamechangannyikiwa huu ndo wakati wa kuwachanganya zaidi.:boxing:
 
Tarehe 3 Feb tutakua ugenini Etihad.

Jose Mourinho atakwenda kumuonesha Manuel Pellegrine kabumbu ya kukata na shoka.
Man Utd alipigwa 4/1
T spurs 5/0
Arsenal 6/3
Liverpool 2/1
Chelsea ???????

Mourinho na Chelsea katu hawatokubali kwa namna yeyote ile! Yani tukiwakosa wapate droo Vinginevyo tunawapiga hapo hapo Etihad! Kwasababu tukimaliza game ya J2 tu basi mkakati Wa kuivaa City utaanza!
 
Tarehe 26 mwezi huu tutakua na Stoke City FA Darajani na Tarehe 29 tutakua na West Ham Darajani EPL. Then ndio tumfate Man City Etihad!
 
Mkuu huyo Sizinga asikuumize kichwa! Wewe si unamuona anasema haelewi anaona madudu tu!
We Ntuzu hembu waambie wenzako watulize mzuka...manake hawajui ushabiki, wanaprovoke sana, kuwachalenji kidogo tu wanajaa kaa fuu la mkaa...Dah washabiki mav.i hawa, hili Jukwaa sio kabisa.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
We Ntuzu hembu waambie wenzako watulize mzuka...manake hawajui ushabiki, wanaprovoke sana, kuwachalenji kidogo tu wanajaa kaa fuu la mkaa...Dah washabiki mav.i hawa, hili Jukwaa sio kabisa.

Ndio ujue mtu anapenda timu yake kweli kweli!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom